JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jana nikiwa kwenye ofisi za kampuni za mabasi za Adventure na Saratoga jijini Mwanza niliona kituko cha kumalizia mwezi wa Julai, 2018 kutoka kwa kaka ambaye alijigamba kuwa ni mkurya na kweli...
18 Reactions
142 Replies
9K Views
Nimejaribu kujiuliza maswali haya nashindwa kupata majibu sahihi 1) akianza kukutongoza kama hamfahamiani,ukimuuliza vipi una mke ,mchumba au mpenzi Majibu: kama ana mke,"Alinizengua tukapigana...
2 Reactions
38 Replies
2K Views
Aisee hakuna kipimo kigumu cha utu Kama kupokea pesa kimakosaa... Wachache Sana hurudishaa pesa hizo kwa Muhusika Mimi nakumbuka nilikuwa Nipo kwenye Mitihani ya mwisho ya chuo mwaka Jana hapo...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
1. Kiss Kwanini uombe mwanamke akukisi. Ni wajibu wake kukukis sasa kwanini unajilainisha lainisha.. Bebi naomba unikis huo ni ushamba. wajibu wake kukikis. Tabia zenu za kuomba omba kukisiwa...
11 Reactions
24 Replies
2K Views
Namshukuru Mungu muumba Mbingu na nchi. 1.Naomba siku yangu ya kuzaliwa niisherekee tofauti kabisa na Wanajf wenzangu. 2.Naombeni nikaribishe maswali kutoka kwenu uliza chochote nitakujibu? Acha...
17 Reactions
345 Replies
12K Views
Kwenye kikosi hiki
4 Reactions
84 Replies
8K Views
Wakuu habari za kushinda, kama ilivyo ada binadamu tumeumbwa na upendo sio mbaya tukatakiana njozi njema na baraka tele usiku huu...mwenyezi mungu atupe ulinzi wake kwa ubaya wowote ule usitufikie...
2 Reactions
368 Replies
49K Views
Kuna mtu ambaye hajawahi kuongopa wajameni. Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu. Naombeni jibu uongo ni nini? Eti mapenzi bila uongo hayaendi? HAYAFANIKIWI. JAMANI KWANI UONGO NI NINI? Mrs...
3 Reactions
48 Replies
4K Views
Leo nimeamini wanawake wenye kazi wanadumu kwenye ndoa . Hawaombi ombi helaa hovyo kwa wanaume maana mishahara inawastiri. Wanawake wa kileo wasio na kazi ni pasua kichwaa si etiiii eeeh wanaume...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Hakuna kitu kinachompa binadamu majuto moyoni mwake kama siku moja akakumbuka yote aliyoyafanya yalikuwa ni kuupoteza muda wake tu. Alitumia nguvu nyingi, aliacha vyote kwa ajili ya kitu kimoja...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
❤ _ Coffee.Code.Sleep.Repeat _ 712
1 Reactions
35 Replies
1K Views
Humu tuna-interact na watu wa aina mbalimbali, na kulingana na jinsi watu wanavowasilisha mada, ku-comment au avatar walizoziweka, watu hujenga akilini mwao taswira ya jinsi huyo mtu alivyo. So...
2 Reactions
48 Replies
3K Views
Hawa nao tuwaiteje sasa[emoji848]
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari ya muda huu wakuu.., Niko nawaza hapa mzungu asiejua kiswahili hata kidogo ikitokea yupo Tanzania na akapata shida flani ya kumfanya akatafute msaada kituo cha polisi nina imani atapata...
1 Reactions
13 Replies
822 Views
Heshima Yenu wakuu, eti mashine ya Kutengeneza au Kuprint Id/vitambulisho ni sh ngapi na kwa anayejua jina lake na upatikanaji wake tafadhali anielekeze
0 Reactions
4 Replies
3K Views
nilikuwa nikiona ndege(aeroplanes) zinapita natamani siku moja idondoke jirani na homu ili niione kwa karibu na niokote vitu. watoto wa kitaa, ujinga unawazwa tangu hatujui mema na mabaya.
3 Reactions
82 Replies
4K Views
Mji wa Rombo siyo jina lake kamili bali ukiligeuza kutoka mbele kurudi nyuma ndiyo usahihi wake wa kutukuka. Nawasilisha.
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Hili suala limekithiri sana,na marejeo yangu ni humu humu jf. Kwa kukithiri kwake mpaka imefikia hatua kuhisi kama vile wanatuchora au wanafanya utafiti fulani,yaani kwa ufupi hawako serious...
0 Reactions
24 Replies
1K Views
Back
Top Bottom