JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hakuna kitu kigumu💩 Jamii Forums Kama kupewa like...👎 👀 😯 👉👍
8 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani habari zenu? Kwa muda mrefu nimekua nikila chakula maeneo ya cafeteria iliyoko ndani ya mabibo hostel. Lakini niliamua kuacha kabisa kula cafeteria baada ya siku moja kuona paka...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ilikuwa nikipata pesa tu nikimaliza kutoa mahitaji madogo madogo nyumbani ikiwemo pesa za matumizi kwa mke wangu Basi hata kama nitakuwa na laki mbili zote nitazimaliza bar kwa kujenga heshima...
21 Reactions
115 Replies
6K Views
Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula[emoji899][emoji510] kurudi kazini kamkuta mkewe amevaa kanga imeandikwa *UKISUSA WENZIO WALA* ilipofika asubuhi mke akavaa kanga imeandikwa *UKITOKA...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, huu ni uzi kwa wale wote ambao wanahisi wanagundu yaani no bahati. Tiririkeni hapa na hayo magundu yenu. Mimi binafsi sijawahi kupata demu mtandaoni, hili...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
Mwenye contact na huyu dada mfikishie salamu [emoji395] [emoji396] [emoji394] [emoji181] Asante [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Nakumbuka siku moja nimekaa na bibi muda wa jioni tunabadilishana mawazo ya hapa na pale,katika zile stori tukaongelea kuhusu kuoa mwanamke na maisha baada ya kuoa ,akasema "Mjukuu wangu fanya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Dha sitokuja kusahau, kuna kipindi tulikua tumepanga sehem kulikua kuna wapagaji kawa 4 tulikua tuna share choo na bafu, kuna siku nilichelewa kulala nilikua naangalia movie usiku, mida kama saa 5...
0 Reactions
2 Replies
920 Views
Huu ni uzi wa kujibu hoja bila kuweka hitimisho,yaani kuiacha hoja hewani hewani,na itakuwa vizuri zaidi kama haitaeleweka. Zingatio : Chunga heshima za watu,tumia lugha nzuri na tusitiriane...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hello maladies and gentlemen! Karibuni hapa tujuzane ladha uipendayo ya kilaji ukipendacho, na pia kupeana uzoefu wa ladha mpya ya vilaji! Yawezekana ukataja kilaji ukipendacho na mdau mwenzako...
1 Reactions
51 Replies
4K Views
Nadhani wengi mmewahi kusoma somo la sayansi mada ya uzalishaji kwa shule za msingi au Reproduction kwa secondary Wewe kama mwalimu wa somo husika wa darasa husika kuna mwanao yumo, Wewe mzazi...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
208
Kudate na vitoto vya shule kazi sana ...Nimekuta text "baby naomba 208" baada ya kama nusu saa hivii ndo nikaja kuelewa alichomaanisha .. Eti "baby naomba tuonane"...
5 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa nini ni WANAUME tu ndio tunahama kuunga mkono juhudi? Inawezekana hata NDOA nyingi tunaziyumbisha sisi wanaume. Tunatia AIBU si kidogo.
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Msichana akitaka PERUVIAN HAIR mpya wala hahangaiki sana...Anaingia kwenye PHONEBOOK yake anachagua Madanga yake 20 anayoyaamini kwamba hayawezi kumuangusha...AnaCOMPOSE Meseji Tamuuu ambayo kila...
2 Reactions
37 Replies
7K Views
Naomba kila aseme atafanyaje kuchukua hizi pesa NYUMA YA HUO MLANGO KUNA DOLLAR BILLION 15.. UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KUINGIA KWA KUPITIA HUO MLANGO... KAMA NDO WEWE UTAFANYAJE???? (...
2 Reactions
36 Replies
8K Views
Ni mwenye akili timamu ila najiuliza, mwanadamu huyu anawezaje kuflash choo kwa maji wakati yeye mwenyewe anaondoka bila kutawadha na akijaribu Sana anajifuta kwa tishu! Hii nii akili matope?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Italian Relationship: 1st day= Sex 2nd day= Sex again. French Relationship: 1st day = movies & kiss 2nd day = Sex 3rd day = Sex again British Relationship: 1 day= hangout & kiss 2nd day = kiss...
11 Reactions
37 Replies
3K Views
Humu jukwaani kulikuwa na mtu muhimu sana anaitwa masai dada sikuhizi simwoni... au simu yake imepandisha mori haiingii Jf? Mwenye taarifa zake atujuze.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari ya jumapili wakuu. Niende kwenye mada moja kwa moja Kuna mambo ambayo huwa najiuliza, pengine na wewe huwa unajiuliza lakini unakosa majibu au unapata majibu yasiyojitosheleza. Mambo...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Nawapenda,kila mmoja nitahakisha nawapitia kwa mda wake,mjiandae kisaikolojia
7 Reactions
252 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…