Hii mada ni kwaajili yetu wanaume tu sasa mdada ukija hapa usije lalamika kwasababu nimeshatoa angalizo.
Wakuu kuna kitu kidogo hapa nimeona niwadokeze kwa ufupi.
Kutokana na...
Ama ni dhahabu nimeiokota kwenye kokoto nyingi sana,ila usijezidisha mahaba nikapagawa nikawa mwehu wa mapenzi,nipe kidogo nisijekutafuna mpaka mifupa,wajua toka nimekuwa nawe damu yangu...
Najua mnanisoma hapa,
Nimefuga rasta miaka 15 hadi kukua then naleta CV zangu kumbe mnanichora tu, mkiniambia nikanyoe kwanza nimenyoa na kazi sijapata hata kuitwa kwenye interview sikuitwa...
Kuuliza si ujinga, naomba unisaidie kupata majibu ya maswali haya manne 4:-
1. Aliyechora ramani ya Dunia alipo kuwa anaichora yeye alisimama wapi?
2. Mtu wa kwannza kutengeneza pesa, yeye...
Ukimuona mtu anajitafunia vyake usione kavipata kirahisi rahisi tu,hakika wanaume tunapitia mengi sana kwenye mitongozo
Unaweza kutuma msg 40 hakuna inayojibiwa hata moja ila tunapambana...
Tumsifu Yesu Kristu!
Nina Jambo Nataka Kuwashirikisha Ndugu Zangu!
Naandika Maneno Haya nikiwa na Huzuni Kubwa Moyoni...Huzuni inayosababishwa na Kutotimiza Ndoto yangu Kubwa ya Utotoni...
Dogo wa miaka 8 alishtakiwa kwa kubaka.Mahakamani,wakili wake ambaye alikuwa ni wa kike,alikatoa kauume ka dogo nje kama ushahidi na kukashikilia,akasema"ndugu hakimu angalia,anaweza kubaka...
Wakuu kwema Heri ya mfungo huu unaoendelea na heri ya Sabato pia.
Niingie kwenye maada kabla sijazama ndani naomba wajuzi wa mambo watadadafua nini maana ya vituko na Beach.
Kwa mimi vituko...
Huku mtaani kwangu kuna wanawake wako bize kuulizia muda ambao kombe la Dunia litakuwa linachezwa
Jamani, Wambieni wake zenu muda ambao kombe la dunia litakuwa linachezwa
Ule wakati uko chuo ndiyo umeanza kuonja pombe, mnaitana vyumbani Jumamosi au Ijumaa jioni mnaanza kunywa bapa kabla ya mtoko ili mkifika club unywe moja tu kubana matumizi.
Umeanza kupenda wine...
Napenda kufahamu ni upi muda sahihi/mzuri wa kupima afya zenu kwa wapenzi, je ni kabla ya mwanamke au mwanaume kumkubalia kwenye mahusiano, au ni baada ya kuwa kwenye mahusiano na sasa wanataka...
Unamkaribisha mtu ndani kwako anaanza tv nzuri umenunua wapi na mimi nikainunue kochi zuri na mimi lazima nilinunue, mwingine utasikia nguo hii nzuri umenunua wapi na mimi niinunue. Hii pia iko...
Kuna mambo mengine ni madogo sana lakini yanaweza kukufanya ukose confidence kabisa kwenye public.
Hizi wallet kwa kawaida hua ni maalum kwa kutunzia fedha. Lakini ukiangalia muundo wake utaona...
Hamna kitu kinanikera kama
“nakuona online”,
“[emoji848] blue tick no reply”,
“mzee baba unasoma meseji zangu hujibu”
Ninaudhika sana hivyo nimeamua sitaki tena whatsapp tuma meseji ya...
I can guess your real age, kwa kutumia hesabu, unatakiwa tu kufuata maelekezo yangu,
Hatua ya kwanza: Chukua namba yoyote kati ya 1-9, yani 1 2 3 4 5 6 7 8 9 1, chukua namba yoyote moja tu kati ya...
Jana mke wangu ameamua kufunguka akisema "Kabla ya mwaka 2015 alipokuwa anachukua nguo zangu kufua alikuwa anakuta kwenye suruali na mashati,elfu 5000,2000,1000,20000, na 500
Lakini siku hizi...