JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
KWA SEKUNDE 40 hizi ondoa stress.
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Salaam wadau. Nipo Rock City now. Nataka nipige mishikaki ya pale salma cone. Last time nilikuja mwanza 2016 na kupata fursa ya kutembelea pale Salma Cone na kula mishikaki...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Salam wana jf kuna dem nilimuelewa sana nilivomtokea alinikataa kata hata sikuamin da wadau npo bench kupenda usikopendwa jau
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Habari enu wakuu, Ati PM yangu ina shida gani mbona haipokei message toka kwa wadada wa JF? Mods et PM yang mmefunga isipokee PM za wadada? Angalieni tatzo liko wapi mrekebishe Wadada embu...
1 Reactions
62 Replies
2K Views
Wawe na uwezo wa kujichanganya, tutakuwa tuna kutana kila Friday na kualikana kwa mmoja wetu. Host atapika chakula na kununua vinywaji. Anaweza kutu entertain na mziki au home cinema. Hakuna...
29 Reactions
136 Replies
7K Views
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Hakika nilijisikia vibaya na mnyonge sana baada ya JF kutokuwa hewani kwa takribani miezi miwili na ushee. Nilitamani hata niache kabisa kuingia kwenye mtandao...
0 Reactions
22 Replies
1K Views
Habari zenu wandugu, Wakati nasubiri chai leo home nikasema nisikilize radio,nikaweka Choice FM,basi nikasikia kuna session inaitwa mahabara ya mapenzi,yaani unawatumia message kwenye kipindi kuwa...
15 Reactions
115 Replies
7K Views
Hamna watu wanasumbua kama Wanaume wanaonunuliwa bia Bar kidogo tu“ tuitie manager wako unataka kumwibia boss wangu,mara bar gani hii wahudumu wamenuna kama wamepata msiba” Yaani matusi kibao...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Matatizo ni sehemu ya maisha, lkn tatizo la kuishi bila kuperuzi JF ni tatizo ambalo limenivuruga. Haya haya wakuu tuambizane ,kipindi JF ilipofungiwa kwa wiki tatu hizi ni member yupi ulimmiss...
18 Reactions
469 Replies
20K Views
Kwanini? mmiliki aliamua kuiita kampuni yake DICK SOUND :):) hakufikilia hili jina maana yake?
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Nisaidieni kujua alipo huyu dada amepotea humu ghafla hadi natetemeka.
1 Reactions
27 Replies
1K Views
Binafsi niliitumbua Hela ya Ada niliyopewa na kule ambako nilitegemea kuipata nyingine mipango ' ikabuma ' hivyo ikanibidi niingie katika dhambi ya Kudanganya ambapo nilimseti Askari mmoja kuwa...
3 Reactions
6 Replies
799 Views
Ni matumaini yangu mko salama salmini wakuu, kuna kitu huwa kinanishangaza sana, unaweza kuwa huna shida na mtu flani ukawa unamuona mara kwa mara lakini siku utakapomuhitaji tena unakuta una...
1 Reactions
4 Replies
838 Views
Wakuu, Nimekuwa nikiona watu wana mabeb zao humu kwa muda mrefu... Sasa nimekuwa mpweke humu JF kwa muda mrefu! Sasa natangaza vita kwa watu wenye mabeb zenu kuwa nakwapua mimi. Hasa wewe...
14 Reactions
203 Replies
7K Views
KWANINI UFE MASIKINI? BEI YA FIGO NI MILIONI 500-900 UZA FIGO MOJA KWA MILIONI 700 CHUKUA MILIONI 500 KABETI MECHI 2 ZA ODDS 2.4 MFANO MPE BAYERN WIN NA BARCA WIN UTAPATA KAMA BILION 2.1 CHUKUA...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Tangu naanza kusikia habari za samsoni na delila sijawahi fanikiwa kumwona mdada anaeitwa ivo, kwaiyo namtafuta huyo mdada kama vp tuanzishe mahusiano, Naitwa Samson
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Naulizia tu kuwa amepotelea wapi huyu mwanaJF mwenzetu?
4 Reactions
48 Replies
5K Views
Hivi karibuni kumekuwa na katabia cha kuwekana kwenye magroup ya Whatsapp bila kupata ridhaa ya mtu, unaweza ukaamka ukajikuta umewekwa tu kwenye Magroup ya ajabu ajabu bila kuridhia Sasa kuna...
22 Reactions
51 Replies
8K Views
Jana Mchana Nililala Katika Muda Mfupi wa Kulala nikaota ndoto napita kama kwenye uchochoro ninaofahamu Nikakuta Nyoka Mkubwa Jamii ya Chatu Chini ya Kivuli cha mti.. Nikarudi Nyuma taratibu...
0 Reactions
3 Replies
952 Views
Back
Top Bottom