Leo kwa wale mabingwa wa kidhungu tutajifunza sentesi ngumu za kizungu,tunaanzia hapa:
1)chungulia ndani ya chungu-POT CRY INSIDE THE BITTER.
2)nyooka,kata kona,kisha piga simu-SNAKE,CUT THE...
MBUNGE ULAYA: Mheshimiwa Spika napenda kujua ni lini serikali itakarabati barabara ya Adam's court?
WAZIRI: Mheshimiwa Spika napenda kumhakikishia mbunge kuwa barabara hiyo itajengwa katika...
Tanzania ndio nchi pekee ambayo jangwani kuna mafuriko.
Tanzania ndio nchi pekee ambayo risasi inapigwa juu inaua chini.
Tanzania ndio nchi pekee ambayo...
Endelea
Nipo njiani naelekea shamba kuvuna mpunga kwakua ndio nilio upanda.
Kumbuka kutenda mema kwa sasa ukiwa na uhai hapa dunia kwa kuwa ndio mavuno yako hapo baadae...
Imezoeleka /mara nyingi pombe hasa Konyagi humiminwa na hunywewa kwenye glass ikiwa na kipande cha limao au barafu.
Nimeshangaa sana kumkuta jamaa anakunywa konyagi anaimimina kwenye kikombe cha...
Hope wote mu wazimaa.....
ila kusema kweli jamani nimeimiss JAMII FORUM mpaka machozi YANANICHURUZIKA semaa huyu boss mpyaa anatupeleka mchaka mchaka mpaka nasahau kushika simu
All in all...
Habari zenu waungwana?
Naomba mnisaidie jinsi ya kuyaepuka haya matangazo maana nimekua nikikosa raha kabisa niwapo online.
Yamekuwa yakijitokeza kila baada ya sekunde 3, 2, 1 yaani...
Habari za majukumu wakuu wenzangu na wadogo zangu pia.
Sababu ya kusema hivi ni kwamba nimeangalia wanajamvi kwenye huu mtandao ni wengi mno ila wanao anzisha mada ni wachache sana.
Kwanza...
Harakati za kujikubali na kujiamini na mwili wako hata uwe wa size kubwa kiasi gani ambao kwa nchi za wenzetu wanaita body positivity imezidi kupamba moto mpaka kufanya wanawake kutojali miili yao...
Hope wote mu wazimaa.....
ila kusema kweli jamani nimeimiss JAMII FORUM mpaka machozi YANANITIRIRIKA semaa huyu boss mpyaa anatupeleka mchaka mchaka mpaka nasahau kushika simu
All in all...
Bila shaka mko poa sana wadau wangu wa JF,ebuana ni ghafla katika kutulia zimenijia fikra majina na avatar za hawa wadau #stunter na #nyaningabu wako wapi hawa?,hususani huyu stunter alikuwa...
Habari za majukumu wakuu.
Napenda tushee kwa pamoja hili suala maana kila mmoja kuna kitu anapenda na akikiona roho yake inatamani hapa nazungumzia kwa upande wa juisi tu.
Mimi binafsi hata kama...
*Timu zilizo ingia Fainal ni*
Simba
Azam
Croatia na
France
Kama hujaona team yako *Utapata tabu sana*
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ronaldo ni mjanja sana, ameona kipindi hiki anachoelekea kuchuja na miaka ikienda mbio ( kwao miaka 30+) ni uzee, ameona apige dili la mwisho la maana kwenye mpira wa miguu kama kazi yake.
Kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.