Kwa upande wangu mimi sitokuja kusahau siku nilitembea na mke wa mtu baada ya kufika nyumbani nashika nyeti zangu nakuta hamna kitu, kusema kweli nilipagawa ila nashukuru zilirejea baada ya siku...
[emoji121]
WAKUU,
KAMA WEWE MI MSELA, UNAISHI GHETTO
HALAFU UNATANDIKA KITANDA KINANYOOKA KAMA RULA,
UNAPIKA WALI LAINI,
UNAUNGA MBOGA NA NAZI,
UNADEKI GHETTO NA TAMBARA LA DEKI HADI GHETTO...
Neno maarufu hapa JamiiForums lililozoeleka sana na kutumika karibu mara kwa mara na kila mtu neno hilo ni mkuu, neno mkuu linatumika kila siku na katika kila comments 5 basi 3 zina neno mkuu...
Agizo kwa Wanaume wa Dar toka kwa Wanaume wa Mikoani.
Kumekuwa na Tabia kila msiba unapotokea Dar mnajazana kuja kijijini kuzika...
+Mkifika hamchimbi kaburi.
+Hamumlilii marehemu
+Hamumswalii...
Kina dada wazuri naomba mnitumie picha zenu pm Nina shughuli ya kufanya lengo ni zuri watakao tuma watakuna na muamala mzuri tu Wa M-PESA tigo pesa na Airtel money!
Karibuni warembo wazuri!
Kuna madada wawili watatu nawajua ambao walikuwa na maringo balaa siku za nyuma lkn oversudden nawaona wanabadilika kwa kasi ya 4G.
1.Mfano kuna mmoja nilisoma nae siku za nyuma,alikuwa montress...
*Ukiona kila siku kuna pesa inapotea ktk wallet yako wakati unapo ondoka home asubh. Nunua Pc 1 ya Dume au salama, katafute na PREGNANT TEST inayo soma Positive weka kwenye wallet yako then relax...
Habari wana jamvi.
Haya maswala ya ubuyu, aka ushilawadu yanazidi kushamili kwa kasi hapa nchini. Haipiti saa wala dakika ukakosa kuuona ubuyu mitandaoni, hi inaonesha wazi kuwa vijana...
#AnnoyingAfricanHabits
When your parents are shouting at you and they ask you a question ,when you try to answer "Don't argue with me,you shut up when talking to me"
#AnnoyingAfricanHabits
When...
Habari za mida wakuu.
Nipo kwenye boti mda huu kutoka Dar kuelekea Zanzibar kubwa kuliko yote nahitaji dua kwa imani yako ili nifike safari yangu salama.
Mzungu aliuguliwa na mbwa wake akampeleka Kanisani ili aombewe. MCHUNGAJI akamkaripia kwa ukali hatuombei mbwa hapa! Mzungu akauliza ni wapi wanaombea? maana nina sadaka ya sh. MILLION 5 kwa...
Hizi ni baadhi ya sehemu za kwenye ile filamu ambayo nahisi ni moja kati ya filamu bora sana kuwahi kutengenezwa hapa duniani. Ina masaa matatu lakini huwa sichoki kuangalia na kuirudia. Japo ni...
Hello JF,mambo zenu,,weekend mida ya mchana Jumamosi nilikua Free Sana,and kukaa home nikaona michosho,,nikapata Wazo la kwenda Ledger Plaza kupumzika,swimming..si unajua weekend in Dar es salaam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.