JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari za mchana wanajamiiforum. Mimi ninawatakia Jumamosi njema warembo wote mliopo humu JF.
0 Reactions
0 Replies
632 Views
Habari wana JF hope mko vizuri. Niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna mama mmoja hapa mtaani from nowhere kaniita chek bobu, nimeumiza sana kichwa kujua maana ya hilo jina ila nikakumbuka kuwa...
0 Reactions
20 Replies
8K Views
Wakuu kitovu kinawasha tangu juzi. Nimekisafisha vizuri kabisa(hakikuwa kichafu sababu nasafisha daily lakini nimefanya tu just incase) lakini hakijaacha. Kinawasha kila baada ya muda kidogo na...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
kwa mim na Demiss raha tunazopata sijui tu japo yeye sijajua kama ni kweli na mshana wake ila kupendwa raha nyie hasa mwanaume anapojitambua hamuwezi amini nishamsahau hata ulimwengu kuna watu...
8 Reactions
139 Replies
7K Views
Wapenda kalibuni kesho ni cku njema kwangu kwa kuzaliwa cku hiyo. viumbe kama hicho hapo chini vitakua vingi, Kalibuni sana.
0 Reactions
2 Replies
651 Views
*TEACHER:* Jacob; Give An Example Of Business Failure Due To Careless Management. *JACOB:* One Example Is When A Prostitute Becomes Pregnant. *TEACHER:* Stupid, Get Out of My Class...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za siku tele marafiki! Baada ya kuwa nje ya Jf kwa muda leo nimepata wasaa kuwa nanyi tena. Ni hivi... Majuzi nimekutana na rafiki yangu wa zamani ambaye tumekuwa wote tukasoma wote...
1 Reactions
39 Replies
4K Views
Unaweza kushangaa na kuona ni kitu cha ajabu lakini hii imetokea ambapo mwanamke ambaye alifanya mapenzi na samaki aina ya Dolphin ikiwa ni sehemu ya utafiti wa kisayansi amezungumza kwa mara ya...
3 Reactions
63 Replies
10K Views
Inasikitisha sana, ukute ndiyo boss.. Watu wasema ohh boss bwabwa
1 Reactions
2 Replies
1K Views
huyu jamaa kuna mtu imekuwa ikisemwa sometime dish linayumba na kupoteza network. lakini pia nimemsoma mtu mmoja anasema kuna kisaikolojia kuna nyaya itakuwa loose kwenye ubongo wake.. so kama mtu...
2 Reactions
8 Replies
884 Views
Sina hakika ila nadhani Mkuranga ndio sehemu yenye wapiga chabo wengi kuliko sehemu yeyote Tanzania. SO NEXT UKIJA Mkuranga kuchepuka usiseme sikukujulisha. Afu jamaa wana ushirikiano balaa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii bana nmekutana nayo pahali jamaa kaulizwa pesa kwa ajili ya nn alichojibu sasa
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nakutakia usiku mwema bint mrembo, (naita dhahabu ndani ya kariakoo nzima - Dully ), Mungu akuepushe na vishari vya usiku, Mungu akulinde na mafundo kwa wenye kupuliza, Mungu akulinde na hasidi...
7 Reactions
423 Replies
13K Views
Jamani jamani uchochezi so mzuri
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Leo game ya Chelsea na Barcelona nilienda kuchek mitaa yaTabata Magengeni nikiwa na washakaji zangu na mahasimu mashabiki wa Man United, waliniita tujumuike kwenye Bar flan maarufu maeneo hayo. Na...
1 Reactions
30 Replies
2K Views
You dump a guy for cheating on you then you date another guy who was dumped because of cheating then you say you moved on. My sister that's cross multiplication [emoji23][emoji23][emoji23]
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za mda huu Kuna kitu kinanishangaza saana yaani mimi huwa nafananishwa saana na watu yaani zaidi ya watu wasiopungua 10 walishawahi kinifanisha na watu wanaowajua au wafahamu Hii imekaaje...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Mi ni mpare wa milimani Na Nina amini muda umewadia tutakapokutana milimani Na watu kama mange kimambi mwanasiasa machachari Na mshana Jr. Mwana Jf Kwenye msaada mkubwa hasa Kwenye mambo ya...
12 Reactions
90 Replies
11K Views
Makamera man walikuwa majeuri kishenzi yaani! Kwanza unakuta hii Kamera ina likamba fulani jeusi inaning'inizwa shingoni..... Kameraman ana kabaskeli kake hapa... nyuma kana begi lina picha za...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Binafsi naitafuta Sekenke naelekea zangu Musoma na mashine aina ya Prado TX. Pande zipi popo wenzangu mpo wakati huu?
2 Reactions
9 Replies
926 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…