JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
.
0 Reactions
0 Replies
348 Views
Hellow guys kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Natafuta marafiki wa kike wa kuweza kubadilishana nae mawazo. Sijali dini, kabila wala rangi na hata elimu. Asanteni.
0 Reactions
4 Replies
820 Views
[emoji53][emoji53][emoji53]
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwann warabu walibya wana kua na roho mbaya kiasi hichi..nini chanzo ya hivi vyoteee mpaka watu weusi tuna fanywa kama wanyama,mbona wao wanaishi kama wafalme nchi zingine kama wafalme hasa Tanzania..
0 Reactions
13 Replies
812 Views
Eti Kale kamsemo kanakosema *Pambana na hali yako* kwa kingereza si Katakua *"cotton-and & condition of you"* Maana kuna mzungu naona ananiletea mazoea Mabaya Hope Atanielewa tu
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari za Asubuhi wanandugu, Jamani iko hivi mimi hapa mwenzenu kuna sabuni au mafuta nikitumia natokwa na vichunusi/vipele flani hivi na nikitumia sabuni mf rungu/family vipele hivo huisha Ni...
0 Reactions
3 Replies
705 Views
Mkuu MAGU hali ni tete nilikuwa natafuta ni mbinu gani ya kulainisha hivi vyuma vilivo kaza mkuu umesaidia sana kutujuza tutumie GILISI... sasa Mkuu MAGU vyuma vyangu vimekaza mnoooo naomba ile...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Magaidi waliingia kanisani wakawakuta waumini 150 wakiwa katika ibada. Kiongozi wa magaidi akatangaza kuwa atawaua watu 100 kati ya 150. Akaongeza kuwa atawaua kulingana na mpangilio wa majina yao...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
1 Reactions
5 Replies
859 Views
Wajameni naombeni mnisaidie kwa kunitajia majina ya zile nyimbo maarufu za Kwaito zinazopendwa sana kwenye harusi nyingi za kibongo, nataka kuzitafuta nizi-download...
0 Reactions
27 Replies
54K Views
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni muda mrefu sasa sijamsikia huyu mzee VUTA-NKUVUTE jamani yuko wapi? Au na yeye ameamua kujiuzulu kuandika habari humu ili kumuunga mkono Rais. Maana kumekuwa na wimbi la watu kuachia nafasi zao...
1 Reactions
1 Replies
664 Views
Wakuu Habari za usiku Kama thread inavyosema Nahitaji Kitambulisho cha utaifa, Nipo Dar es salaam Je Gharama yake ni sh ngapi? Inachukua Muda Gani Mpaka Kukipata Kitambulisho Na Hatua za kufuata...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Wakuu habari ya Mapumziko ya mwisho wa wiki..!,basi kama uko mzima ni jambo la kumshukuru Mungu,Binafsi nahitaji msaada kwa yeyote mwenye namba ya mkurugenzi,mkuu wa shule au mwalimu yeyote...
0 Reactions
0 Replies
569 Views
Wassalaam! Wakuu kwa taarifa nilizozipata hivi punde ni kuwa bei ya GREASE imepanda ghafla na pia pamoja na kuwa bei ni kubwa bidhaa hiyo imekuwa adimu sana. Taarifa zaodi zinakuja punde.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuna nadharia aliitoa Dr shika kuwa ukimtizama aliyelala usoni anaamka kusema kweli nilifanyia tafiti nadharia hio hapa nyumbani na kweli nilimtizama jamaa aliyesinzia usoni akaamka,ase huyu jamaa...
5 Reactions
8 Replies
1K Views
Maisha ya mitando mm naamin yanaweza kubadili maisha ya m2 kwa kiasi kikubwa hasa anapojtambua na kuchukua hatua ya matumiz bora ya mitandao
0 Reactions
11 Replies
1K Views
1 Reactions
2 Replies
1K Views
habari wadau.. mkesha wa mwaka mpya kutoka 2016 kuingia mwaka 2017... nilikuwa na malengo makubwa sana.. na nilipanga piga ua lazima 2017 nitoboe... niwe na biashara nzuri yangu mwenyewe...
10 Reactions
72 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…