Habar za usiku wana JF,
Jioni ya leo nikiwa natoka kazini kuelekea nyumban nikiwa na kisura chenye bashasha, baada ya kupata kahela kidogo ambacho kwa hesabu za haraka kalikuwa kananipeleka...
Kuna huyo comedian wa kenya anajiita MCA TRICKY yaani yuko vizuri mno tena sana na anajua kuchekesha haswa, kwa sasa aina ya comedy anayoifanya iko vizur mno tofauti na hizi zetu za mara kuvaa...
Vyuma kuzidi kukaza na kukazana ndo watu wanazidi kuumiza vichwa ili kuwaingiza mkenge watu wengine japo wengi tushakuwa makini make huu mwaka kila mtu anatafuta wa kumalizana nae kama mimi jamaa...
Enzi zile za utoto kule kijijini tulikuwa tunalazimishwa kuchamba kwa kuburuzika chini kwenye udongo...
Yaani ulikuwa unawahi sehemu imebinuka kidogo kisha unapachika tako huku na huku...
*Upo ndani ya daladala na
1.chris brown
2.rick ross
3.nicki minaj
4.beyonce
5.rihanna
6.msaga sumu
Mara paap!! umeibiwa kasimu chako cha techno,utamuhis nan????*
Huwa natamani sana watu wa jf tuanzishe jamhuri yetu tuishi huko.
Naiona ikiwa ni sehemu yenye Upendo, ushirikiano,burudani na kusaidiana sana sana.
#jamhuri ya watu wa jf
Huyu mwalimu kakomolewa kweli✔
Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!* *Ishawahi kutokea Pale nilipokutana njiani na mwalimu aliyekufundisha MATHS secondary afu akaniambia...
Upo ndani ya daladala na
1.chris brown
2.rick ross
3.nicki minaj
4.beyonce
5.rihanna
6.msaga sumu
Mara paap!! umeibiwa kisimu chako cha tecno,utamuhis nani hapo????
:):):):):):):):):)
Ninapenda sana kujua habari za watu, kuanzia macelebrity mpaka majirani zangu. Ninapenda kusoma habari hizo mitandaoni mpaka kwenye magazeti. Ninaweza kununua gazeti sh10,000 mradi tu nijue Oprah...
Naandika hii baada ya habari ya kijana mmoja jirani yetu anayefanya kazi Tanga kutangaza kwamba baba yake kamloga ndio maana maisha yake hayaendi vizuri.
Niliwaza na kushangaa sana niliposikia...
Mtaa wa Lindi na Shauri moyo kuna hiz taaa za trafic light jirani kabisa na stand hii kubwa ya mwendo kasi, cha ajabu hizi taa zinasumbua inakimbilia mwez sasa hazifanyi kazi. Sasa cha ajabu kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.