JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Unaanza maisha umepata zari la kuzawadiwa kimoja, gari au nyumba, unachagua kipi??
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ni wiki sasa kuna masuala nafatilia taasisi fulan ila ukweli watu wanaringa sana wakikalia viti vya kuzunguuka Yan ofisi ya umma mtu anasema amejipangia utaratibu wa kufanya kazi yake, kaz fuln...
1 Reactions
6 Replies
925 Views
Enyieee watoto wa baba jesca,mshahara utakao toka week inayokuja ndio,utakao fanikisha sherehe za Christmas,boxing day,mwaka mpya,kulipia watoto ada,Kodi ya nyumba,kushafirisha mama na baba...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Katika tembea yangu kwenye majukwaa mengi JF, moyo wangu umempenda mdada mrembo asili yake ni Tanga, lakini kwasasa hayupo Tanga. Yupo active sana kwenye kila uzi hasa Jukwaa hili nazani...
5 Reactions
477 Replies
37K Views
[emoji3] [emoji3] [emoji3] dah brave Baada ya Mange kupotea hewani kama weeks 3 ivi watu wengi hasa kundi kubwa la vijana limeingiwa na wasiwasi juu ya Mange.baada ya kurudi fans wake wameingia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hi great thinkers hivi kwanini waganga hawaachi kuagiza Jogoo?Mimi nikiagizwa huwa sirudi. Nawapenda wanaoagiza kuku halafu kuku namla mwenyewe wale waganga wanaomchukua kuku wanaudhi sana...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Naomba tukumbudhane maneno Na misemo ikiyotamba mwaka 2017. Expansion joint by Elius Mwakalinga 900 itapendeza by Dr. Luis Shika Vyuma vimekaza Makinikia Mpaka mwezi wa saba mtakywa mmerudi...
3 Reactions
75 Replies
8K Views
Timu ya chelsea nchini England imejitoa EPL kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Manchester city katika kuania kombe la EPL
5 Reactions
8 Replies
1K Views
Sijui usiku hamlali, au mnafanya kazi sana au ni nini ttzo, Tena mnaachia midomo duu, mijasho chapa. Sio wote lakini mnazinguaa Huyu bibi wa pembeni yangu kma sio faiza foxy bahati
0 Reactions
12 Replies
930 Views
Usichojua kuhusu #TECNO ni kwamba ubovu wa camera yake unaweza kupiga picha na suti ukatokea kifua waziiiii......
0 Reactions
3 Replies
810 Views
Paukwa ya hizo hadithi zipi zilikuvutia?
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Mahitaji 1. Computer 2. Printer 3. Kitunguu swaumu 4. Manyoya ya kichwani ya kondoo 5. Sindano 3 6. Chumvi 7. Unga wa zaumbi uliyofungashwa kwa kipande cha kaniki 8. Mafuta ya zaituni Lita 1...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Aman iwe nanyi wapendwa Eti kwako mdau ni mdau ni ngoma gan huwez lala pasipo kuisikia au huwez maliza week bila kuisikia Mimi ni ngoma ya BABY JOSEPH MADAHA AMOURE hiyo ngoma ni noma sana...
0 Reactions
47 Replies
3K Views
2018:NINAOMBA SELIKARI ISIMAMIE YAFUATAYO. 1.Mimba Zipunguzwe Miez Badala Ya 9 Ziwe Miez 4. 2.Nauli Ya Ndege Kwenda South Afrika Iwe Bure Make Ni Mteremko. 3.Sukuma Wiki Ichunguzwe kwa Nini...
6 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu Leo kwenye taarifa ya habari azam tv ,kuna habari wamerusha ya mtoto wa darasa la 3 huko ruvuma kua alibakwa na kupelekea kupata mimba, Wazazi wake wala walimu hawakugundua hilo mpaka mimba...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Amani kwenu wapendwa. Tijivue gamba la siasa kidogo,tuweke dini pembeni kidogo,tubake wanaadamu tu. Huwezi kujiuliza huyu ni nani isipokuwa humjui huyo mtu. Katika jamii kila Nani anaweza kuwa...
0 Reactions
8 Replies
806 Views
Kuna ka staili hivi nakutanako nako kwa wanawake hasa wenye smartphone. Nimekaona kwa wanawake nilikua nao zaidi ya watatu. Yani unakuta mwanamke mkizinguana anaweka picha ya kijeba kingine...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
Aisee huyu binti kama yupo humu aniwie radhi ila siamini kama kuna mwanaume hamtamani kwa uzuri wake. Najua waku diss hawakosekani ila kimoyomoyo wanajua Wema ni mashine nyingine... Ningepata...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wiki iliyopita nimekuwa mtu wa kuandamwa sana na paka mtu.Kila siku analialia ovyo kama mtoto aliyenyimwa maziwa na mama yake. Jumapili nikamwekea mtego wa maneno. Usiku wa manane akaanza...
9 Reactions
24 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…