Wadau
*This is for funny*
Msimu huu wa sikukuu za Xmas na mwaka mpya kuna majina mtu akikuita usikubali kuitika hata kidogo ni bora ukimbie haraka sana.
1.Mkubwa
2.Tajiri wangu
3.Kiongozi...
Ndugu wanajamii naombeni msaada wa vyakula visivyofaa baada ya kulewa, jan I likuw sk yang ya kwanza kunyw pombe baada ya hapo nikarudi zangu home nikakuta wf kaanda samaki na ugali, km kawaida...
Habari wana JF.
Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu.
Issue Iko hivi , binafsi sina dini yoyote hapa duniani.
Sasa naomba msaada.
Naomba Kama mnataka niingie kwenye dini-
Like huu uzi
Na...
Jamani najaribu kuangalia hii kafulila style of love na mkewe
Joyce kishoaa najiuliza hivi kuna
Mapenzi ya kweli hapaa
Hebu fikiriaa mume yupo ccm
Ila mke yupo chadema lakini sasa
Mke anaipinga...
Hii party imekua kama utamaduni wa watu wa Jamii forums baadhi lakini kukutana sehemu kujuliana hali.Je mwaka huu 2015 itafanyika lini.
cc@KakaKiiza
lara 1
@ Mtambuzi
Watu8
Madame B...
Ukiingia tu JF kwa wale wapenzi wa jukwaa pendwa MMU hata urefresh vipi utakutana juu na nyuzi za kuwakandia ama za kuwasema hawa watani wetu.
Mnawaminya na kuwatesa bila kujua mtu anatafuta...
je unavyo vigezo?
thubutu kukutwa na millionea
.pete hiyo ndo atayokuvika..imetengenezwa kwa madini ya Tsavorite green na almasi pure.
pete hiyo imebuniwa paris na mbunifu mkubwa wa jewellery...
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Kuna wanaume ni marofa wa kutupwa, iv inakuwaje mtoto wa kiume uliyekamilika unaanza kumufatilia mwanaume...
*Ndoto zingine aki ni mbaya.. Niliota nikidrive ma new Mercedes Benz alafu ikakwama kwa matope... Ikabidi niisikume.. Kuamka [emoji15] nipo na kitanda jikoni*
[emoji17][emoji17][emoji17]
Q: What's the difference between cricketers and condoms?
A: Cricketers drop the catches and condoms catches the drops.
Q: What three things are common between the sun and woman's...
Sijaelewa mpaka mida hii
; nimekaa na dada mmoja kwenye daladala wakati anateremka akanikanyaga kwa nguvu nikamuuliza vipi? Kanipa bonge ya sonyo na kuniambia nilidhani bubu mbona muda wote...
Nimekaa darasani miaka 15, ila sijawahi kugundua hii kitu...
"NEWS PAPER" ni kifupi cha
N- NORTH
E- EAST
W- WEST
S- SOUTH
P- PAST
A- AND
P- PRESENT
E- EVENT
R- EPORT
#bang ya leo sijui...