Ndo ivo, nimetoka kulipia bill ya salon Tsh 12,000! Japo uchumi unabana, ila nimeona pana unafuu na invoice niliyopigwa na yule wa mwanzo aliyeniambia nimtumie Tsh laki moja kwa ajili ya salon, na...
Habari zenu,
Tangu najiunga JF miaka miwili nyuma nimekua nikiona tabia ya baadhi ya member humu wakiwa na tabia ya kubeza wenzao kwamba ni watoto ama ni wadogo na wengi wamekua wakipata gadhabu...
hebu tukumbushane baadhi ya mikwale tulalowapinga wazazi wakati tukiwa shuleni na vyuoni ili tujipatie pesa kwa visingizio ,hakuna asiyejua maisha ya shule yalivyo mangumu ni zaid ya magufuli...
Nawpa tahadhari tu Mademu... Mkienda getto Kwa jamaa ZENU msipende kufagia Kila KARATASI unayoiona.....
Ukikuta karatasi imeandikwa
Man utd #win
Psg #win
Liverpool #lose
Napoli #win
Arsenal...
Hiv ikitokea tu ndo unajikuta unamiaka kumi ndo kwaaanza unaamshwa uende shule yaaani muda wote huo ambao we unajiona umekuwa mkubwa kumbe ulikuwa unaota tu
UTAFANYAJE?
Ninakaribia kuanza kusoma postgraduate na nitakuwa huko kwa zaidi ya miezi tisa. Nitajifungia mitandao mingi ikiwemo Jamii Forum.
Je, nitakosa nini nikiikosa Jamii Forum kwa miezi yote zaidi ya tisa?
Kuna mwanamke Wa jf haachi kunifuata pm every time and now!
Anadai ametokea kuvutiwa Na jina langu Na anapenda tuonane ana kwa ana!
Nimejaribu kumuelewesha kuwa tayari Niko booked haelewi!
Najua...
Uzi huu utakuwa maalumu kwa ajili ya kuweka matukio ya mechi za watani wa jadi, Simba na Yanga!
Imekuwa ni desturi timu hizi zinavyokutana basi, kunakuwa na vituko na matukio ya aina tofauti...
Amani iwe nanyi wapendwa katika bwana,
Husika na kichwa hapo juu kinavyosomeka,
Vibosile huwa ni vikwazo sana kwa wapendanao.
Unaweza ukawa na msichana wako mkali tu tena mnapendana kinoma...
Tarehe kama ya leo, 27.10. siku ya jumapili miaka 26 iliyopita Bi. Aisha, akiwa mjamzito, alitoka kidogo nyumbani akifanya mazoezi kama ilivyo ada ya kina mama Wajawazito. Katika mazoezi yake...
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Leo nimeamua nije ya maada ya kufa mtu yaan ya kukata na shoka
Heshima ya mwanaume ni kupiga pu:mbu kweli...
Aman iwe nanyi wapendwa katika
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Ngoja niache maneno mengi nitililike na story moja kwa moja
Hii story lazima iwakonge kumoyo
Ilikuwa hivi,
Nilikuwa...
Ni kweli daktari ni mtu anayelipwa mshahara mkubwa na serikali au hata sekta Binafsi!
Engineers hawalipwi hela nyingi kama daktari....swali linakuja je kwanini sasa wahandisi wengi ni matajiri...