JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ni hivi sasa hivi nipo mbioni kuja Dar es salaam, pia nitakaa kama mwezi mmoja hv, sasa wasiwasi wangu ni kwamba ni mitaa gani nitakuwa napata chakula (vyakula kama vya huku mikoani)maana naogopa...
1 Reactions
11 Replies
904 Views
Mmeanza kudate na mwenyewe umeridhika kuwa nae, mmekutama chuo na jamaa ni kupanga anakusaidia assignment. Umeona si vibaya kwenda nae nyumbani ukiamini kuwa hii pia security yako kuwa...
1 Reactions
9 Replies
827 Views
Mmh. sina cha kuongeza!!! Nilienda kumzika ibilisi wangu! Ilikuwa ni ajali kubwa na hata mimi sijui niliweza vipi kupona. Dereva na mke wangu walifia pale pale kwenye eneo la tukio. Tulikuwa...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Nasikia eti ugali wa dar ni mlaini kiasi kwamba ukitumbukiza sarafu ya shilingi hamsini, inazama...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Dah! Nikimkumbuka Uyu Mtu Huwa Naenjoy Mbayaa,,,,,, Nlipenda Tafsiri Yake Ya Kuvunja Mbavu Ila Pale Anapomalzia Jina Lake Ndo Utamu Wa Kuendlea Kuangalia Movie Unaponijia,,,,, Rufufuuu,,,, Rest In...
2 Reactions
15 Replies
4K Views
Msimu mpya Wa DJ sepetu interview unazinduliwa rasmi jumapili hii! Katika moja Na mbili ni DJ sepetu akiwahost members wote Wa kike Na kiume msimu huu. We are very humble kuwatangazia kuwa msimu...
8 Reactions
436 Replies
20K Views
My mom called me a son of a bitch, so I slapped the shit outta her cuz aint nobody talkin like that about my mom, Then I hit my self cause no one hits my mom, Then my mom hit me cause no one hits...
2 Reactions
2 Replies
852 Views
[emoji121] NAOMBA SOTE TUITIKIE DUA NJEMA WAKUU, [emoji120][emoji120][emoji120] NAOMBA FORM 4 WANAOTARAJIA KUANZA MTIHANI WA TAIFA KESHO WAPATE ALAMA ZA KUWAWEZESHA KUJA KUBETI TU ILI TUPATE...
0 Reactions
3 Replies
851 Views
Kumekucha na makucha yake tunapambana na hali zetu nipo na mrembo matata kapeace
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Kila kitu kipo wazi maelezo yapo wazi
22 Reactions
235 Replies
17K Views
Natarajia kuja morogoro NAHTAJI lodge bei kuanzia elfu 10-15 lakin iwe karbu na stand ya msamvu asanten
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Wadau kuna muda unajikuta uko mapenzini kabisa na hawa watu maarufu, iwe kwenye burudani siasa au michezo. Inafika muda huli hulali unamuwaza yeye, kutwa kucha unashinda kwenye page zake za...
2 Reactions
47 Replies
6K Views
Habari wandugu! Nimekuwa nikipitia comments kadhaa humu jamvini. Siku za hivi karibuni kuna neno linatumika sana humu jamvini hususani kama mada inamhusu ndugu yangu mmoja hivi. Wengi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
wakuu habarini za mida hii... tumeshaskia/tumeona mara nyingi sana sifa za wanaume wa dar vs sifa za wanaume wa mikoani na imefikia hatua mpaka matabaka yanajitokeza kwenye thread...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Mademu mkienda geto kwa boy friend zenu mnapokuwa mnafanya usafi siyo kila karatasi ukiona lazima utupe, ukiona: Man U ..lose Arsenal ov2.5 Chelsea..win Man city..win Usitupe, hiyo ni nauli yako...
8 Reactions
29 Replies
3K Views
jamaa mtu mzima kakaa anawapigiwa stori washkaji zake! "kuna siku tupo porini niko nakatakata nyama ya swala nipakie garini nikakata mguu na paja nikaweka mabegani"mara ghafla simu ya jamaa ikaita...
16 Reactions
24 Replies
4K Views
SIRA 9:17-18 Kazi ya mtu mwenye juhudi itapata sifa;kiongozi wa watu sharti awe hodari katika maneno yakem Mtu aropokaye ni kitishio mjini kwake;mtu mwenye maneno ya hovyo huchukiwa.
0 Reactions
2 Replies
795 Views
Habari wakuu. Tunapokaribia kuumaliza mwaka nimeona sio mbaya nikashiriki nanyi hii list ya wana Jf watano walionikosha kwa mwaka 2016. 5. MSAGA SUMU Huyu jamaa ni umiza kichwa usije ukamchukulia...
8 Reactions
165 Replies
9K Views
Katika maisha kuna wakati unafanya maamuzi lakini mwisho wa siku pasipo kutarajia,Maamuzi hayo yanatoa matokeo mabaya mara nyingine ya kuumiza sana unabaki tu kujutia. Niliwahi kupewa story na...
0 Reactions
45 Replies
3K Views
Back
Top Bottom