Habari zenu wanajamvi,
Niende moja kwa moja kwenye mada Mie nashukuru Mungu nimefanikiwa kupata Kibanda nje kidogo ya jiji la Bashite nimehamia kama mwaka sasa hapa,
Sasa kuna Jirani yangu mmoja...
Mfano Ray vanny ni kijana wa kuigwa kulingana na mafanikio yake lakini very humble hata ukimuangalia na Izo bnes mtakubaliana na mimi. Msinitukane plz ni maoni yangu tuu.
Binadam wana utaratibu wao kutongozana na hadi wanapofanya mapenz.........lakini wanyama nao wana utaratibu wao,na ndege nao wana utaratibu wao,mathalan KUKU,jogoo anapotaka kukutana kimwili na...
Mwaka 2017 ndio huoooo unayoyoma hakika huu mwaka umekuja na unatuacha na mengi.
Umetuletea marafiki na maadui.
Kwa kuuaga huu mwaka TUMA SALAAM kwa watu watatu. Wape na ujumbe kuelekea 2018...
Leo asubuhi niliamka vizuri kujiandaa kwenda ibada.wakati naendelea kujiandaa kuna binti akanitumia ujumbe kwamba anaitaji kushinda na Mimi siku ya leo .Mara papuu roho ikadunda ni kweli au...
Nimekutafuta kwa muda mrefu, sijafanikiwa kukupata!! Naamini kabisa utakuwa member hapa JF.. and this is the only way for me to confess and let you to know the truth!! I got ur number kupitia...
wasichana wenzangu amani ya Mungu iwe juu yenu.
Kuna habari fulan mtu kanieleza imepelekea niamue kuwashauri juu ya hili.
Ni hivi,
Nawashauri kama una rafiki yako mnapendana kiasi cha kuwa kama...
Wengi tumesoma na tunajiendeleza kielimu ili ku secure nafasi zetu za ajira maofisini.
Elimu zetu zimekuwa ni matumbo joto kwa mabosi tuliowapita kisomo.
Elimu zetu zimetujengea maadui wengi...
habari wana JF!
Nmekua naona wanaume /wanawake wanaotaka kuwa kitu kimoja(kuoana) kuna kamsemo ''ndio chaguo langu'' kumbe mtu anaangalia vigezo vya maslahi.
Hili lipo zaidi kwa akina dada...
Nasikia ni kubaya, na hakufai kwenda, mm sijawai kwenda Lock up wala jela. Ila siku moja nilienda kumwona mshikaji selo, harufu niliyoikuta kule dah! Mpaka leo napaogopa hata kwenda kuona...
Hivi ni njaa au?sijamuona kama wiki 2 hivi nilikuwa safarini,jana nafika tu dodoma nikadaka tax breki ya kwanza kwake,nikarudishiwa buku 5 na dereva tax,nikajua ndo kianzio cha asubuhi ninapoenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.