JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Katika Luninga Kuna Kipindi kimoja Kilikuwa kinaitwa TAZAMENI" Kwenye hiko Kipindi nilikuwa mpenzi sana Wa Series ya Kubadilishana kazi.. Mfano Fundi Bomba Anabadilishana Kazi Na kinyozi Au Mama...
3 Reactions
20 Replies
4K Views
ya jioni wapenzi wasomaji! Tunawajulisha kuwa hivi punde tutawaletea mkabala mubashara Na Mrembo luckyline!
3 Reactions
152 Replies
7K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Husika na kichwa cha habar hapo juu Ni ijumaa nyingine tena, ijumaa ya upendo na furaha tunakutana kwenye show la kibubwa show la kibabe na beira baby boy...
3 Reactions
29 Replies
4K Views
USHAURI WA BURE kama ni mtumishi wa umma au idara ya serikali, ukiamka asubuhi kabla hujajiandaa kwenda kazini kwanza pitia social media "unaweza save nauli yako" kuanzia maisha ya kesho yake...
5 Reactions
2 Replies
1K Views
Yaani mnajua kabisa kwamba GENTAMYCINE siku zote naishi huku Kisiwani Puerto Rico na tokea jana tumekumbwa na Kimbunga kimoja kibaya sana kiitwacho Maria ambacho kimeharibu karibia miundombinu...
0 Reactions
6 Replies
869 Views
Uliwaza nn kabla
1 Reactions
0 Replies
966 Views
Hawa jamaa ...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zilizotufikia hivi punde simba wako kwenye kikao kumtafuta mchezaji wa mbao mwenye kadi 3 za njano* Hadi muda huu mabishano ni makali zaidi uongozi unataka kumtuma haji manara mwanza...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
VIJEMBE, UZANANIFU, UTANI, UMBEA
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndio umebahatika kufahamiana na wanawake hawa wawili na wote wanakupenda. Nani ungechagua kumuoa? Tujaribu kuchambua na tabia zao ili iwe fundisho/ushauri kwa wanaotarajia kuoa. Karibuni
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Natafuta mwanasheria wa kunisaidia nataka kuwafungulia kesi ya madai tigo wanilipe fidia million mia mbili kwa kunisababishia Usumbufu. Ni hivi ilikuwa Jumapili ya tarehe 12 mwezi huu wa tisa 2017...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Wasalaam wana jamvi. Hakika hili neno la be the first to joseverest, nimekuwa nikukutana nalo na nashindwa kulielewa kwakweli na huwa nakutana naolo. Bado najiuliza huyu Joseverest ni nani na nini...
4 Reactions
40 Replies
3K Views
JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke akamwambia mumewe; "Tupige magoti tusali", Wakapiga magoti…: MKE: Eee baba msaidie mume wangu...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Ninaamini hata wewe msomaji wa thread hii hunijui[emoji12] [emoji13] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji40]
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Waliokua mabachela kama mie naomba Tujadili kidogo hapa kuhusu ubachela
0 Reactions
9 Replies
814 Views
1. Makapuku Forum 2. Wamwisho ndiyo mshindi 3. Uzi wa kupeana likes 4.......ongeza wakwako.
16 Reactions
78 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu .Niende kwenye maada Ni hivi kuna msichana mmoja nimetongoza yapata miaka 2 lakini Leo amenipa green ligh/amekubali.Kuonyesha amekubali ameniomba tu date kwa siku ya kesho yaani...
0 Reactions
156 Replies
7K Views
Habari Wakuu, Mtu aliyeumizwa sana katika kile kitu ambacho aliweka moyo wake wote, iwapo atakosa msaada wa karibu sana kutoka kwa watu wengine, itapelekea yeye kuathirika kisaikolojia kama tu...
3 Reactions
38 Replies
4K Views
Chungwa nikalimega nikadhani chenza Kumbe limeshamegwa tayari na waume wenza Heri chungwa angeweka limao ili lifanane na chenza Kwani ungeniambia ni chungwa unafikiri ningekuacha? Mbona wengi...
2 Reactions
96 Replies
18K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…