JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nimecheka sana haijawahi kutokea hadi nikawa natokwa na machozi Pitia hii interview ambayo haijawahi kutokea Beth live interview on DJ sepetu show!!! Many peoples entered in the trees because...
7 Reactions
163 Replies
8K Views
Mwanaume mmoja ameunguzwa makalio yake baada ya kwenda haja kubwa. Alienda haja kubwa baada ya kinyesi kutoka na kudondoka kwenye maji ulitokea mlipuko mkubwa uliovunja sinki la choo vibaya na...
3 Reactions
33 Replies
2K Views
Demu akiingia tu geto au wee ukienda kwake toa betri kwenye simu yake ya Tach ( smartphone ) yasikukute makubwa
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Wakuu, kama wewe ni mwanamume bikra au mwanamke bikra, comment chochote hapa kujivunia bikra yako hapa. Ila utambue kwamba, Virginity is not dignity, its just lack of an opportunity. wale ambao...
0 Reactions
81 Replies
8K Views
Habari wana Jf, Niliwamiss sana sana. Ninatumaini wote wazima kabisa... Mimi Nina endelea vizuri wana jf,kwa kweli ninashukuru sana kwa maombi yenu since June mpaka September nilikuwa ninauguza...
14 Reactions
152 Replies
6K Views
Unakuta mwanamke hata akivaa khanga moja tako hata halitikisiki. Sijui inasababishwa na nini ila mimi sipendi tako unakuta limeganda tuu kama la mwanaume. Pia hiki kimekua chanzo cha kuachana na...
6 Reactions
94 Replies
14K Views
KARIBU KWENYE SALUNI YA JF. BEI ZETU NI KARIBU NA BURE:Kinyozi wa muda ni Washawasha.Wasaidizi Excellent na Free Thinker 1.KUNYOA NDEVU TSH 1000/= 2.KUNYOA PUNK TSH 1450/= 3.KUNYOA KIPARA TSH...
25 Reactions
337 Replies
23K Views
Habari Leo nimekumbuka mpenzi wangu wa zamani. Huyu nilipokuja kujua kwamba alishapataga gonjwa la zinaa (chancroid) nilishangaa sana kwamba nilikuwa na date na kimboka type. Leo embu tuambieni...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Sitasahau siku niliyoondoka nyumbani jioni huku nikiacha wanachambua #mchele ... Na kurudi usiku na kukuta #ugali.....[emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
8 Reactions
17 Replies
2K Views
*Leo admn kwenye group flani iv kasema wanawake ni kama vocha ukishatumia unatupa tuu* *Nikamuuliza mama yake ni mtandao gani* *Nashangaa naambiwa* *You can't send massage to this group because...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
*Kama utakipenda chochote hapa njoo Inbox tuzungumze biashara* 1. Freezer aina ya philips Tsh 80,000/=. Haina mlango wala mtungi wa gesi . 2. Feni ya chini Tsh 8,000/=. Inawaka kwa machale...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mambo members! Leo in the house tunaye miss Natafuta! Karibuni sana!!! muosha rungu
7 Reactions
1K Replies
46K Views
Habari zenu Wakuu! Ni matumaini yangu wote mpo salama salimini. Nimerejea tena baada ya kutumikia adhabu ya wiki nzima.
3 Reactions
13 Replies
762 Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Husika na kichwa cha habari hapo juu Kuna wale ambao kutokana na sababu mbali mbali hatukupata kulelewa na mama zetu wazaz bali tulilelewa na mama zetu wa...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Mambo! Ilihali weekend inaendelea kutambaa Na clubs,bars viunga vingine bata za batani zikiwa mwake Mwake, DJ sepetu show inaendelea Kukinukisha mbaya pande hizi za chitchat,ni mwendo Wa bandika...
8 Reactions
139 Replies
8K Views
Habari wanadungu wa jf, Leo nipo kuwambia ukweli,yani humu ndani kuna Mdada nampenda mpaka basi, pamoja na msimamo wangu wote wangu wakutopenda wanawake nimeshindwa kuvumulia, huyu Dada yupo...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwani kuna ulazima gani yawe na rangi nyeupe, kwanini hayana rangi nyekundu, blue, au walau hata kijani?
3 Reactions
58 Replies
6K Views
Tunacheza kombolela afu woote tunapatikana lakini mkaka mkubwa na mdada mkubwa hawaonekani saa nzima tunangoja waje kutuokoa lakini hawaji. Shenzi kabisa sijui kwa nini sikushtuka mapema. Ila...
8 Reactions
17 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…