JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu, Hivi huyu member wakuitwa Tatiana yuko wapi? Niwahi kua napenda michango yake na alikua decent kupita maelezo. Hapatikani na najaribu kuangalia ni kama hayuko active. Wanaomfahamu...
0 Reactions
4 Replies
225 Views
Habari zenu na poleni kutokana na jitihada za kujikinga na ugonjwa wa kukosa pumzi Huyu jamaa mkwepu nimetokea kumpenda bure tu jamani yaani kila post au koment nayoiona mjamaa kashaitembelea...
29 Reactions
64 Replies
4K Views
MAJINA YA GIRLS/WOMEN NA SIFA ZAO KWENYE MAPENZI 1.Nancy - Muongo 2.Julieth - Kicheche 3.Mary- Anapenda mwanaume kwa kitambo kirefu 4.Precious - Anapenda kusikilizwa kuliko kusikiliza...
4 Reactions
162 Replies
102K Views
Eti wanaume wenzangu ni mrembo gani humu jf unatamani sana awe wako wa milele?
0 Reactions
72 Replies
6K Views
Mambo vipi wanachit chat.Bila shaka mko Salama. Kupitia Uzi huu hebu tueleze ukweli ni jukwaa gani ukiingia JF lazima liwe la kwanza kuperuzi??. Naanza na Mimi mwenyewe .Binafsi kuna vitu huwa...
0 Reactions
32 Replies
2K Views
Habari wana MMU je, wewe mwanaume wa JF ni mwanamke gani wa JF ungependa kukutana naye hivyo hivyo kwa mwanamke ni mwanaume gani wa JF ungetamani kukutana naye?
12 Reactions
683 Replies
23K Views
Nawasalimu kwa jina la katiba mpya#Mbowe siyo gaidi. Huu ni uzi wa memes kali.Screenshot memes kali then uzitupie kwenye uzi huu ili tufurahi pamoja lkn,tuendelee kumuombea Mh.Mbowe kwa kuwa yupo...
1 Reactions
17 Replies
6K Views
Nimeshangaa kuona kuna watu wana likes zaidi ya laki na nikashangaa wengine hawana hata likes 20 hawana na ukute account ina miaka 10. Sasa mimi ni wakuja humu, najua Kuna wenyewe ombi langu...
17 Reactions
43 Replies
2K Views
Mwana jf yeyote aliyekaribu na MAMIZ pub mwanza. Karibu tuage mwaka.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za muda ndugu zangu, Mimi ni mpenzi wa nature naombeni mnitajie sehemu nzuri zenye nature kama milima, bustani za maua, miti, camps, beach ambapo zinafaa Kwa honeymoon, vacation zenye...
7 Reactions
76 Replies
2K Views
Wadau nataka nihamie Sinza niambie Sinza ipo nzuri yenye watoto wakali na Bei elekezi ya master
0 Reactions
7 Replies
543 Views
Niko JF tangu kitambo na wengi sana humu mmenikuta nishaijua hii mitaa sema sikua active sana kwenye huu mtandao pendwa ila katika kuishi humu nimegundua kuna watu wenye ushawishi sana humu JF...
13 Reactions
181 Replies
8K Views
Kauli ipi ilikishangaza toka kwa Kondakta wa Daladala?
1 Reactions
16 Replies
875 Views
Wakuu Heshima mbele. Kwa kweli miaka ya nyuma kidogo kabla ya kupoteza akaunti yangu ya Jamii forums. Nilikuwa napenda sana kumsoma jamaa mmoja anaitwa barafu. Kwa waliokuwepo jamii forums miaka...
0 Reactions
1 Replies
254 Views
Nimekuwa namfatilia mrembo huyu kwa muda mrefu huwa ananikosha sana kwa komenti zake, ucheshi wake na hata masihara yake. Mahondaw njoo hapa nikuhonge mgodi wangu wa hapa Kiwira ili nikuoe na...
23 Reactions
722 Replies
101K Views
Ukitaka kupata tikiti lenye ladha nzuri i mean tamu, basi chagua lile lililo kubwa kubwa.Hii kitu ni ukweli mtupu, huwezi kulinganisha ladha ya tikiti dogo (hata kama limekomaa) na tikiti...
2 Reactions
143 Replies
21K Views
Hadi nikawa namlisha kwa mikono, kijiko asije kukimeza lakini wapi!? 😂 👇👇 Titirika kwenye comment mwanawane ukimalizia na lakini wapi. Tucheke wote😆
1 Reactions
3 Replies
207 Views
Tofauti na binadamu kuna wanyama wengine wanapiga Mgalala Hawa ni wanyama 9 wanaopiga Mgalala 1. sokwe 2. tembo 3. Popo 4. konokono 5. nyangumi 6. walarasi 7. panya 8. mjusi 9. Ngwini Na...
2 Reactions
13 Replies
470 Views
  • Closed
Huyu memba nampenda sana, mimi ni yule yule kijana wa makamo 40+. Wewe member nakupenda sana sijali watakachosema mimi na wewe mpaka kiama. Nakupenda Eph kwanza hueleweki mchumba wako ni nani...
1 Reactions
15 Replies
642 Views
Tuorodheshe tabia za waTanzania halisi 1 Anakukopa hela kiupole ila ukidai automatically unakua mtu mbaya kwake asiyefaa 2 Kabla hajajua cheo chako au wadhifa wako anakutreat kama takataka ila...
3 Reactions
11 Replies
302 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…