JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Inakuwajeee Kuna kitu nimekiona hapa Nimeona sisi Magreat thinkers, matajiri wa Jf kuna haja siku moja tukutane mahali fulani, itakuwa mahali gani? Ndo tukubaliane hapa. Je kila mtu aje na mkoko...
8 Reactions
79 Replies
2K Views
Nina jamaa zangu wa makabila haya kwakweli kusoma chats zao huwa ni mateso sana. Wenzangu mmewahi kumbana na hili? Unaweza weka screenshot bila kuonesha namba au jina la mhusika.
7 Reactions
62 Replies
1K Views
Vipi weekend yako inaendaje na umepanga kuimalizia location ipi? Mliopo kidimbwi tutafutane[emoji4]
7 Reactions
67 Replies
2K Views
Hapa kIpaumbele changu Kikubwa ni kusoma tu Comments zenu Matajiri, Wasomi na Masikini Wenzangu hapa JF sawa?
4 Reactions
15 Replies
956 Views
Hivi huyu jamaa maneno huwa anayatoa wapi?😣 Tafadhari usini tusi wala kunitishia usalama 😂🤣🤭
0 Reactions
4 Replies
394 Views
Hebu share hapa kinywaji chako ukipendeleacho zaidi na kwa nini unakipenda. Anza Mshana Jr
10 Reactions
136 Replies
4K Views
Habari zenu wana JF? Natafuta marafiki wakuchati nao, waliokomaa kiakili. Kama wewe ni KE ruksa kuja PM
0 Reactions
47 Replies
6K Views
Kwenye maisha tunakutana na Mambo mengi yapo yenye kutufurahisha na kutuhuzunisha. Japo Kuna baadhi ya vitu ambavyo huwa vinatupa nafasi ya kuwa watu wengine kabisa. Mfano 👉I kwangu ni jamii...
38 Reactions
873 Replies
20K Views
Acheni kunitenga
10 Reactions
47 Replies
729 Views
Alikuja akaniazima ghetto,bila hiana nikamuazima alikuwa na pisi yake moja maridhawa! mtoto mchongoko,uno la kigoda ngozi nyepunyepu halafu kamdomo kale kakuombea miamala!.. ujinga wa huyu rafiki...
19 Reactions
58 Replies
2K Views
Hii nyimbo maanaake ni nini?🙊 Sielewi kingereza
0 Reactions
7 Replies
448 Views
Habari wadau wangu, Namshukuru Mungu kuiona siku ya leo wengine hawapo duniani ila ni mapenzi ya Mungu kuniweka hadi leo kufurahia siku ya kumbukizi ya kuzaliwa kwangu kwangu naona ni neema ya...
12 Reactions
48 Replies
986 Views
Hapo zamani kuku na mwewe walikuwa marafiki. Siku moja kuku akaenda kuazima sindano ya kushona nguo kwa mwewe iliyokuwa ikitumiwa na ukoo mzima wa mwewe. Kwa bahati mbaya ile sindano ikapotea...
4 Reactions
11 Replies
8K Views
Karibuni wana jukwaa tukumbushane tukio hili ambalo ni gumu kusahaulika kwenye maisha ya mtu. Pia, kuonyesha utofauti wa aina ya utongozaji wa zamani na sasa [emoji23][emoji23] Dhumuni la uzi huu...
8 Reactions
243 Replies
39K Views
Kutoka Guinea, mwamba mwenyewe Grand P amevuta kifaa cha nchi jirani mwenye umbo namba nane. Pesa inaongea na haijawahi shindwa 👇👇
4 Reactions
30 Replies
1K Views
Je, unajiskiaje wenzako wa rika lako wakiwa mbele kimaendeleo Yani wamekuacha. Je, utakuwa Karibu nao kwa kujipendekeza ili wakupe connection Au utaamua kujitenga nao?
4 Reactions
39 Replies
1K Views
Ingawa mimi sio mtu ninayeamini sana katika ndoto ila kama wewe unaamini basi watalaam wako wa mambo hayo ya kutafsiri ndoto wamesema Uvuvi na ndoano katika ndoto ni ishara kwamba mtu anayeota...
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Ebu wabongo kuweni seriously kidogo na maisha jamani khaa🤣🤣🤣 Otikii otikiii hii imeenda
3 Reactions
41 Replies
1K Views
Back
Top Bottom