JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
1. Kuangalia zile movies zinazoelezewa kwa kiswahili. Ukikuta mtu mwenye Elimu anafanya hivi jua ndo vile vyeti ....vileeeee. .. 2. Kuangalia tamthiliya za azam zinazungumzwa kiswahili wakati...
22 Reactions
93 Replies
5K Views
Chabo vyuoni wanaita deo, yaani nimeleta wapangaji hawana miezi miwili ikifika saa sita naanza kuhondomola shemeji yenu nasikia kama panya anakwaruza ukuta. Mwanzo nkavumilia nkahisi pakaa sasa...
0 Reactions
13 Replies
537 Views
Ilikuwa nishuke kituo A ila hakuna tatizo hata nikishukua kituo B au C
7 Reactions
18 Replies
558 Views
Hawa jamaa wanaotengeneza meme huwa wana waza nini?😅😅😅
33 Reactions
73 Replies
3K Views
Kukata gogo ni moja ya kutoa uchafu mwilini. Katika mambo ya kiroho kukata gogo ni moja ya kutoa mikosi, nuksi na majanga katika mwili wa binafamu. Kwa maana hiyo watu tunashauriwa usipendelee...
7 Reactions
32 Replies
961 Views
Kwetu smart thinkers
3 Reactions
18 Replies
565 Views
Tafadhali, Usifungue kama ukoo chiini ya miaka 18 🔞 unaweza cheka ukakosa nguvu.
0 Reactions
1 Replies
314 Views
Nilikuwa nakataa kuwa duniani Watu wanafanana lakini baada tu ya kuwaona hawa Wawili Wafananao nimekubali.
3 Reactions
34 Replies
1K Views
Ni miezi takribani 2 sijaona andiko lolote kutoka kwa Mshana Jr vipi, mwenye taarifa atugaie. Huyu mtu tunaye au hatunaye?
7 Reactions
33 Replies
1K Views
Ni siku mpya hii, pia kwa ndugu wengine ni siku muhimu ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwao. Kama umezaliwa siku kama ya leo tujuze basi maana sisi ni familia. Japo hatuwezi kukumwagia maji...
2 Reactions
2 Replies
263 Views
PERSONAL HYGIENE: Guys This Is Just For Common Knowledge And Understand, Kindly Share Experience. Have You Ever Accidentally 'Cut' The Upper Layer Of The 'Crocs' Skin While Trimming Your...
4 Reactions
33 Replies
1K Views
Mimi vitu vya kishamba ambavyo nimewahi kuviona ni kama ifuatavyo. 1. Hii ilikua kipindi Cha redio za cassette msukuma ameweka Kanda na amenyanyua antenna kana kwamba anasikiliza radio stations...
1 Reactions
6 Replies
284 Views
Kuna majina mengi ya bar ya ajabu mengine yana maneo makali sana Nitaanza na mfano 1. Kidimbwi 2. Toroka uje Weka jina unalofahamu
0 Reactions
23 Replies
850 Views
Hii ni hadi lini? Mwenzenu naona umri unasonga tu lakini beki hazikabi, yaani jitihada bado hazizai matunda kila nikijaribu kujizuia.
6 Reactions
34 Replies
901 Views
Hii imeenda nasema hii imeenda kabisa eti Nini nipoooo kwakweliiii 🤣🤣
6 Reactions
47 Replies
2K Views
Kama sio mfuatiliaji wa mambo au mvuvi unayefika kina kirefu ndani ya ziwa Tanganyika huwezi kujua hii inshu. Siku moja saa 8 usiku tulikuwa tuko katikati tunarekebisha nyavu, tukakutana na...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Naombeni majibu wandewa. Kuna mmoja aliniambia wanafanya hivyo kwasababu ma boss wao huwa wanawasumbua. Je, kuna ukweli kwenye hili?
0 Reactions
11 Replies
553 Views
wakuu naomba kuuliza je kuna mtu mwenye data kuhusu mmiliki wa sh ammon Kama kuna mtu ana data atusaidie
0 Reactions
42 Replies
21K Views
Nyumban ni nyumbani, nina line za mitandao yote, miezi miwili iliopita, Voda walibadilka wakawa hawana kazi nikahamia tigo na airtel ambayo ili nipate kazi nzuri kwa eneo nilipo, ni lazima...
1 Reactions
3 Replies
287 Views
Back
Top Bottom