JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
"SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA" Leo nimekumbuka mwaka 2020 kipindi cha Pasaka, Jijini Arusha, hapo dili la ku-design michoro ya Majengo kadhaa ya Taasisi ya Kanisa limetiki na nka kabidhiwa pesa ya...
34 Reactions
114 Replies
5K Views
GENTAMYCINE pole sana ila upunguze mdomo na uongo uongo, Simba msimu huu hakuwa na kikosi cha maana.
5 Reactions
83 Replies
2K Views
Siku moja mume akondoka asubuhi kwenda kazini na kumuaga mke wake anaenda kazini. Jioni akarudi akiwa na msongo wa mawazo. Mke akamuuliza kulikoni mume wangu. Mume:- Kazini ofisi imeungua na...
0 Reactions
0 Replies
376 Views
Mimi nawaza mambo ya connection, yani kupeana mashavu / michongo ya maisha, wewe je?
1 Reactions
8 Replies
276 Views
Ukiona hivi vitu basi jua upo Bongo Tanzania Tupia aina kibwagizo
10 Reactions
55 Replies
1K Views
Ni ushauri tu kwa ndugu zetu Chadema wazee wa Chopa Kutokana na mabadiliko ya Tabia nchi Chopa siyo za kuziamini tena Tunawapenda nyote Mlale Unono 😀
3 Reactions
10 Replies
322 Views
Jf salaam. Kwa namna Moja ama nyingine naweza kukukwaza ama ukaingia kwenye Moja ya watu Hawa nitakao wataja hapa. Mimi ni binadamu kama binadamu wengine napenda na kusitopenda pia. Kwahiyo kama...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
1. Box Jelly Fish 2. King Cobra 3. Blue Ringed Octopus 4. Marbled Cone Snail 5. Stone Fish 6. Death Stalker Scorpion 7. Inland Taipan 8. Brazilian Wandering Spider...
3 Reactions
59 Replies
11K Views
Johnson Mshana (28) amehukumiwa miaka 25 kifungo cha nje kwa kujaribu kuvunja gereza la Halden nchini Norway ili aingie ndani. Mshana ambaye aliachiwa huru mwezi mmoja ulipita kutoka gereza hilo...
1 Reactions
5 Replies
614 Views
Kwetu bwana , kulikuwaga na pikipiki ya babu, miaka hiyo mzee alishindwa kulitengeneza, likawa limekaa tu, sasa linalazwa ukumbini. Asubuhi mnaamka nalo kulitoa kwanza liwapishe, jioni ndo kitu...
10 Reactions
30 Replies
1K Views
my name is Yohana, a young man and I am twenty one years old. I have many big dreams in my life, although my dreams are many, but they are all about my success when I was very young. At the age...
1 Reactions
10 Replies
464 Views
Hii ya Jana nimeipenda mheshimiwa. Tunakushukuru Waziri wa habari Kwa kutuhabarisha, maisha hayataki complications.
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Katika Kila mtaa hua Kuna mtu mmoja ke au me anakua na umaarufu Mkubwa Sana na nguvu ya ushawishi either kwa mabaya au mazuri. Anaweza kua mcheza mpira, kibaka, Malaya, bondia, mwanasiasa...
3 Reactions
6 Replies
569 Views
Popote ulipo pokea salaam,rudi kwenye kituo chako cha kazi🤣🤣🤣 Kambi ni popote mkuu uwalimu ni wito
4 Reactions
16 Replies
534 Views
Habari za mwisho wa weekend wanajamii. Naamini kila kila mtu ana aina yake ya starehe,lakini hapa nimejikita zaidi kwenye starehe yenye kuhusisha Pombe. Je,kwa Mara ya kwanza ulivyotumia...
9 Reactions
18 Replies
795 Views
Binaadamu tunatofautiana katika uendeshaji wa maisha yetu ya kila siku Kwa Upande wa usafi wa mashuka, wapo wanaolalia siku moja , wengine kila baada ya wiki , wengine wanaenda mbali zaidi mpaka...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari za jioni wanaJF, kwanza nitangulie kusema sina mgogoro wowote wa kifamilia, kuhusu kazi sio mwajiriwa ni mchakalikaji wa mtaani, sina madeni ya kutisha ambayo may be yanaweza kunipa stress...
2 Reactions
28 Replies
773 Views
Wakuu, poleni na masuala ya hii nchi isiyokua na kiongozi. Jana kwenye mishe zangu, nikaingia Baa flani nikapiga valuer zangu mbili then akapita muuza mayai ya kuchemsha nikanunua mawili nikala...
3 Reactions
22 Replies
868 Views
Back
Top Bottom