JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Tunakumbushana tu maana dunia imekuwa na mambo mengi sana Kwako Benjamin Netanyau wa Jf
0 Reactions
0 Replies
210 Views
I feel like many people who grew up with strict parents tend to become more adept at lying and manipulation. These individuals can deceive you, and it's often difficult to identify or catch them...
3 Reactions
39 Replies
793 Views
Hili swali linawahusu wale ambao hawatumii majina yao ya kweli hapa ukumbini. Je, jina lako lina maana yoyote? Kuna sababu yoyote ile iliyokufanya uamue kutumia jina hilo!? Nilikuwa nimeamua...
53 Reactions
3K Replies
232K Views
We mdada wa CRDB tawi la Mwanza customer care desk, kwanza nakuombea kwa mungu uzidi kukupa afya njema vingine nitafanya mimi, ninafanya juuchini nikupate, iwe ni kwa upendo, dua, viringe ama...
5 Reactions
13 Replies
543 Views
Ni muda mrefu sasa mwana Jf Suzy Elias haonekani humu jukwaa la Siasa na isivyo kawaida! Yu wapi ndugu yetu?
5 Reactions
12 Replies
450 Views
Hii kitu ina addction moja mbaya sana unanunua kopo kubwa la elf 6 (kwengine hadi elf 8), unapanga ule kwa siku 3 lakini ukionja kipande tu nakuapia unaweza kufuta lote mda huo huo, ukionja ni...
11 Reactions
55 Replies
2K Views
Hiyo ni salamu wanaume tunapokutana, hasa pub, cafe au kwenye jumuiko lolote. Haya semeni kati ya hayo mawili, lipi linawasumbuwa?
1 Reactions
16 Replies
554 Views
Weekend tulienda kupata mbili tatu tukawa nzwii,sasa akishalewa yeye si kama wale wengine ati zinashukia chini!. Yeye akilewa ni amapiano Tu!. Atafungua muziki na anataka mcheze mapiano! sasa...
25 Reactions
80 Replies
3K Views
Mzuka wanajamvi! Matumaini yangu muwazima na buheri wa afya. Kwa upande wangu really I cant complain. Moja kwa moja kwenye mada. Kuna majina mengi ya vitu tofauti wengi hatufahamu kwa...
12 Reactions
129 Replies
6K Views
Kutokana na majukumu yaliyo nje ya uwezo wangu nawatakia kila la kheri na mwezi May. Majukumu kwanza mengine baadaye, c ya!
2 Reactions
15 Replies
462 Views
Eti ni maziwa gani yanakupa ladha murua kati ya haya mawili?
5 Reactions
37 Replies
1K Views
Pombe ni tamu sana. Its Tuesday btw Yani msomi kama mimi nipo ndani ya taarabu and i dont care. Mtu amualike janabi kwenye pombe siku moja moja. naona ana miss out. Janabi nipo na students...
0 Reactions
7 Replies
334 Views
Aje Mazee Hapa kijijini niishipo hapa hakuna kijana wa lika langu anaemiliki gari Sasa ndugu bwana Fene nipo mbioni kumiliki gari Nitakuja hapa WanaJf munipe muongozo Nipo njiani kumiliki...
8 Reactions
28 Replies
662 Views
Hello folks just looking for a someone from uganda who is Living or Working here in Dar es salam Dm me for more details
0 Reactions
1 Replies
425 Views
Wakuu leo nimeona huu ukweli niuseme kwamba hapa JF bila kujali itikadi, dini wala jambo lolote binafsi la mtu tukubali kwamba kuna wanaJF wanajua vitu vingi. Ingawa baadhi huandika kiujanja...
21 Reactions
77 Replies
4K Views
Mzuka wanajamvi! Yuko london Ungereza endeleeni sasa kuroga na kumuombea mabaya. Anachowaombea tu ni mawili muishi maisha marefu na msiwe vipofu. Kufa hamfi lakini cha moto mnaona.
5 Reactions
35 Replies
1K Views
Ni kitendo cha kiwango cha ki mauaji Si kila mtu anaweza kawaza haraka haraka hili. Yaani hapa ataitwa meneja au polisi au mjumbe. Sio jambo dogo. Sasa watakuwa wamekuudhi au unawachezea tu??
6 Reactions
8 Replies
509 Views
Wakuu habari? Natumaini wote mko wazima huku mkijiandaa kusherehekea ufufuko wa bwana. Humu ndani kuna mabingwa wa kutunga nyuzi za uongo uongo; ukisoma mstari wa kwanza mpaka wa mwisho, unakuta...
16 Reactions
120 Replies
4K Views
Je Ulijikausha? Uliomba samahani? Ulijifanya kuibiwa simu? Ulichomokaje kwenye hii soo?
1 Reactions
18 Replies
572 Views
Hahahaaaa taja faida kwa ñini unaishi single!
2 Reactions
85 Replies
4K Views
Back
Top Bottom