JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Rejea kichwa cha uzi mwanaJF umevaa nini mkononi..Tupia kwa uzi
1 Reactions
65 Replies
4K Views
Hizi mambo za kupewa albamu kuangalia picha za wenyeji wako hivi bado zipo kweli ndugu zangu? Wewe ukienda kutembelea ndugu, jamaa na marafiki ukifika wanakupa nini au wewe ukitembelewa huwa...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
kwa siku, wiki, mwezi au mwaka kwa upande wako unaspend muda mrefu na bando kubwa zaidi ya data ukiwa kwenye ukarasa upi miongoni mwa kurasa nyingi tu, za mitandao ya kijamii humu duniani...
3 Reactions
69 Replies
2K Views
wakuu ni aje. Kama kichwa cha habari kinavyojeleza hii ndio post yenye likes nyingi hapa Jf tangu ilipoanzishwa👇 Kama kuna post unahisi ina likes nyingi kuzidi au zinafuatia share hapa
7 Reactions
7 Replies
485 Views
Mtoto wa mjini kipaumbele Cha kwanza kuvaa. Huwezi kuwa mtoto wa mjini unaendekeza kula kuliko kuwa nadhifu ,unafeli mchana kweupe.
2 Reactions
13 Replies
343 Views
Wengi wetu tunakaribia kusherekea sikukuu za Pasaka na Eid el Fitr. Mimi binafsi nitaenda kufurahia sikuukuu yangu katika hiyo Coco Beach Je, nawe utaenda wapi?
5 Reactions
55 Replies
1K Views
Katika maisha zipo nyakati, ambazo naweza sema ni nyakati ngumu sana na zina misukosuko mingi, kiasi cha kwamba usipokuwa makini unaweza ukaachana na kila kitu kutokana na nyakati hizi kuwepo...
5 Reactions
6 Replies
3K Views
Mbuzi wanaokaidi sheria za fizikia, kwenye clip hii wanashuka kutoka juu ya mti, hebu wataalam wa yule jamaa yenu mzungu wa kwa nini jiwe linarudi chini kutokana na sijui gravity mara atomy of...
2 Reactions
13 Replies
604 Views
Miongoni mwa mambo ninayo yangoja kwa hamu ni kuingia mojakwamoja peponi. Naomba kuuliza wataalamu wa maandiko endapo peponi kuna nyama choma yenye pilipili kwambaali na limao. Imeandikwa...
9 Reactions
46 Replies
1K Views
leo nimeshuhudia sijui ni bifu au tuseme ni kituko gari ya tanesco yenye wafanyakazi ilipokutana na ya dawasa kwenye foleni Mwenge basi yakaanza matani dawasa wanaitwa chura nao wanawaita wa...
9 Reactions
20 Replies
708 Views
Huu ndio ukweli kuhusu wanandoa wanaoishi mbalimbali
9 Reactions
13 Replies
706 Views
Wanapozaliwa Watoto mapacha mkubwa uitwa Kulwa na mdogo Uitwa Dotto, huyu dotto automatically uitwa Doi Hili Doi lilitokana na nini? Wajuvi mtujuze
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wanaJamiiForums..!! Tukiwa tunajianda kulala nimeona niwaletee mada kidogo. Kama kichwa kinavyojieleza pale juu. We mtaje tu huwezi jua kupitia kumtaja kwako ghafla mambo yanachange na...
10 Reactions
599 Replies
24K Views
Wapendwa kmvua hakiachi toka jana. Na hivi leo Muungano pa kwenda hakuna. Wengine wasimbe hatuna babe. Basi tusaidiane hata majina ya movie za kuangalia siku ipite wapenzi. Nasubiri maoni yenu...
11 Reactions
154 Replies
3K Views
Ni mikoa gani ambayo mvua hizi hazinyeshi kwa hapa Tanzania? Tujuzane!
1 Reactions
15 Replies
638 Views
Habari zenu wakuu..... Katkit hapa, baada ya kuugua kwa kipindi kirefu (almost 3 months) namshukuru sana Mungu nimepata nafuu sasa. Ugonjwa usikie kwa jirani aisee, usije ukadharau ugonjwa...
2 Reactions
18 Replies
354 Views
Unatamani nini sasa hivi? Mi natamani nyama ya kuchoma au kuokwa,iwe ya motooooo. Bahati mbaya sehemu ambayo naweza kupata ishafungwa saa hizi. Sijui kwanini hii hamu haikunijia mapema. . . ...
3 Reactions
74 Replies
5K Views
Kauli za watu ambao wamekosa hoja hapa jamvini. 1. Badala ya kujibu hoja anakugeuza wewe hoja : "una hasira, mmeo/mkeo hivi, boyfriend/girlfriend wako vile, umeachwa " wakati hakujui. 2...
10 Reactions
198 Replies
11K Views
Uturuki itakuja kununua nguo Tanzania. Made in Tanzania. Watazigombania nguo za Made in Tanzania Ukiwa Uturuki tu utasikia "dont want if not Made in TanzaniA" Mmesikiaa wanangu?
0 Reactions
4 Replies
406 Views
Back
Top Bottom