JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Je huyo uliyeoana naye ndio wa ndoto zako ? Eti mkuu? Au tukuache kwanza?
1 Reactions
6 Replies
338 Views
Habari zenu waungwana wa humu ndani, Nina jambo lanitatiza sana, kila nikiishi pahali lazima nifatwe na Paka, yaani atokee Paka aweke kambi kwangu, nikianzia kwetu kwa wazazi alikuja kipaka...
17 Reactions
189 Replies
9K Views
Leo niko huku kanda ya ziwa Mwanza. Nitakuwa huku kwa siku tatu,kwa wenyeji wa Mwanza ni sehemu gani unaweza kupiga bia vizuri huku ukizungukwa na totoz nyingi za maana,nimezoea sana maisha ya...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Seriously, niliwamiss guys... Kuna jamaa nakusaka,sijui umechange avatar...oyaaa nicheki mwanangu...
1 Reactions
4 Replies
213 Views
Tulimaliza robo mwaka March, zile resolution zako ulizosema mwanzoni mwa mwaka utafanya hiki na kile, Mpaka sasa umefanya nini? Umeaccomplish mikakati yako? Mimi nilisema nitafanya savings, ila...
15 Reactions
107 Replies
2K Views
Binafsi niliwahi kusinzia kwenye usafiri wa daladala hadi kupitilza kituo nilichokusudia kushuka. So, sikuona kama ni jambo la kushangaza sana. Lakini leo hii Anti yangu ananisimulia kwa...
0 Reactions
6 Replies
408 Views
Hatari SIMBA WA KWENYE LOGOO KAKIMBIA KACHOKA NA MATESO.
5 Reactions
10 Replies
470 Views
Ni lipi jukwaa ambalo limekupa somo au shule ya maana, ushauri, maarifa, ufahamu na uelewa kutosha au kukukwamua juu ya masuala mbalimbali ya maisha, kisiasa, kiuchumi, kijamii, kitaifa na kimataifa?
5 Reactions
48 Replies
1K Views
Wote tunajua kuwa Basi bora duniani ni Scania tu achana na mabati yale kutoka asia mashariki Wanambeya mpo tayari kumpokea mfalme Katarama kwa route zote muhimu to Dar? Kama wanambeya mtasema...
2 Reactions
8 Replies
389 Views
Wengine tulikuwa tunakata ile miguu mirefu harafu tunajenga kama zizi hivi tunawawekea na majani ili wale, Asubuhi unakuta wengine wameshakufa na sisimizi juu, mwingine yupo hoi, kwakweli panzi...
3 Reactions
6 Replies
255 Views
Mimi naona kikubwa kazi iwe inakulipa na kukuwezesha kumudu maisha yako tu inatosha wajameni au sio
2 Reactions
7 Replies
283 Views
Nauliza tu wazee, Nimecheki kwangu CRDB naona maluelue tu hamna fedha. Vipi kwenu tayari?
1 Reactions
8 Replies
431 Views
Je kabila lako lipo au tukuache kwanza?
6 Reactions
89 Replies
4K Views
Nategemea kutembelea mji wa Kigoma mwanzoni mwa mwezi wa tano mwaka huu. Kwa mwenye uzoefu na mji wa Kigoma, naomba kufahamishwa sehemu nzuri ya kufikia na maeneo ya kutembelea kwa wiki tatu...
1 Reactions
5 Replies
707 Views
Nimeupdate: Mi naishi Nje ya Nchi tokea mwaka juzi tokea mwaka juzi (2016). Nilipata bahati ya kusoma master Nchini ubeligiji miaka ya 2013 baada ya hapo nikaja bongo nikatafuta kazi sikubatika...
47 Reactions
188 Replies
26K Views
Unapoingia mlangoni na kuufunga mlango, ni sawa na kuingia kaburini na kujifukia. Ndio maana asili ya viumbe hai, iwe wanyama n.k hawana nyumba zaidi ya kukaa na kuishi sehemu za wazi, na mwisho...
9 Reactions
47 Replies
1K Views
Kulikuwa kuna haja gani ya kuweka picha ya mwanamke mweny matrako makubwa kweny tangazo la mikopo. Hadi matangazo ya mikopo yanakuwa sexualized🔥🔥
3 Reactions
7 Replies
332 Views
Kwa umri uliofika. 1. Kama una miaka 30s Kuwa bilionea sahau/Waza mambo mengine. 2. Kama una 30s na hauko na hujawai kuingia kwene siasa bas we huwezi kuwa Rais hadi unakufa. 3.Wewe siyo Super...
8 Reactions
48 Replies
1K Views
Hi! Kinywaji niliwahi ipenda sana, hasa nikiwa na drive safari ndefu. Majuzi nikajaribu kuulizia mkata hola yale ma hotel barabaran hola. Nikaenda Liverpool, hii, wakasema atuuxi pombe, nikasema...
0 Reactions
4 Replies
454 Views
Asalaam ndugu zangu, Hakika natumaini ya kuwa wote nyie ni wazima wa Afya baada ya mihangaiko ya week nzima. Anyways, niende moja kwa moja kwenye mada, Jumapili ya leo tarehe 21/4/2024 una enjoy...
1 Reactions
0 Replies
192 Views
Back
Top Bottom