JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hilo nimeliona siku za karibuni. Hivi sasa wife kasafiri siku ya tatu leo na kaniacha na mtoto miaka miwili, dada ndo anashughulika nae kwa kila kitu. Kwa kweli wapewe maua yao. Najiepusha sana...
4 Reactions
17 Replies
757 Views
Habari wanajamvi? Tukiwa tumebakiza siku takribani 15 kupindua mwaka, kuongeza thamani ya upendo miongoni mwa member JF. Taja memba yoyote unayempenda mpe na sifa yake na cheo Mimi naanza hapa👇...
17 Reactions
147 Replies
4K Views
Naam wana JF, katika maisha yetu ya kila siku huwa tunakumbana na mengi sana ambayo yanaweza kukufanya umpende au kumchukia mtu flani kwa sababu amekutendea hiki au kile na wakati mwingine hutokea...
6 Reactions
122 Replies
7K Views
Miaka mitano hadi Saba iliyopita kulikuwa kuna "interviews" za wanachama maarufu hapa JF. Ambapo wanachama wangemuuliza maswali "host" Maswali mbalimbali kumhusu na "Host" anajibu vizuri tuu...
10 Reactions
79 Replies
2K Views
Mimi nikikosa pesa Huwa najishangaa nakuwa mkali mkali sio kwa watoto hata kwa watu wengine wanao nizunguka huwa sielewi hii hali
1 Reactions
7 Replies
376 Views
  • Closed
Habari za jioni Wana JF, Nimegundua watumiaji wa iPhone asilimia kubwa Wana ushamba na ulimbukeni. Yani akiwa nayo atataka watu waione wajue kama ana iPhone, ulimbukeni wenyewe ni huu huwa...
66 Reactions
254 Replies
9K Views
Kupanga ni kuchagua. Uzi tayari
1 Reactions
15 Replies
582 Views
Habarini wapendwa, Niende moja kwa moja kwenye mada mimi niniaminishwa kuwa kusoma kwa bidii na kufaulu vizuri sana moja kwa moja unafanikiwa ila jamani yote nimeyafanya ila mafanikio sasa duh.
3 Reactions
19 Replies
908 Views
Mara yako ya kwanza kufanya mapenzi ulikua na miaka mingapu,ilikua ni wapi, ulimuanzaje na baadae ikawaje.
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Huyu ni Mwanaume kutoka Nigeria ambae amejibadilisha na kuwa na muonekano wa kike. Jina lake ni Daniel Anthony Nskan.
10 Reactions
230 Replies
12K Views
Kila nchi ya Afrika uwa ina vitu vyake fulani hivi ambavyo ukisimuliwa unajua moja kwa moja hii ni Nchi fulani... Mfano Ukizungumzia Somalia unazungumzia Pirates (Mabaharia wezi), kazi yao kuteka...
0 Reactions
17 Replies
753 Views
Kwako mpendwa, Vile uliniambia unakuja nyumbani, basi kamankawaida ya wanawake wa kiafrika ukarimu wa kwanza ni kukaribishwa chakula. Na raha ataipata mpishi pale utakapokula chakula chake hata...
7 Reactions
45 Replies
2K Views
Njiwa🐦 peleka salamuu kwa yule wangu muhibu 🥰 Umueleze, afahamu... yeah ndio wangu wa kuzikana...😇. Hali yangu hamuhamu, Mahaba yamenisibuu.. Mchana kutwa nachekaa (tabasamu), na yeye ndio...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Asubuhi na mapema baada ya kuamka, mtoto anamfuata mama yake kwa bashasha. Mtoto: Shkamoo mama Mama: marahaba hujambo Mtoto: sijambo mama. Mtoto: Mama kwani tumenunua gari? Mama: kwanini...
1 Reactions
6 Replies
403 Views
Mie nilijiapiza sitopenda tena toka moyoni nitapenda juujuu tu, we bhana weee☹️ ndo nimejikuta nimependa toppest. Yaani nimepitiliza kama ni temperature basi imekuwa 45 C. NB: Najua tutaachana🙄...
32 Reactions
386 Replies
12K Views
Mwalimu GENTAMYCINE: Lamomy Kwanini umechelewa kuja shule? Lamomy: Kwasababu ya maelekezo ya kibao barabarani. Mwalimu Genta: Maelekezo ya kibao yanahusianaje na uchelewaji? Lamomy: Kibao...
8 Reactions
16 Replies
742 Views
Kupendeza hasa unapotoka ni katika namna ya kuisherehekea, mim nitatokelezea kwa namna hii( T-shirt nyeupe, surual ya kadeti na raba nyeupe). Vip kwako, mtoko upi utatokelezea nao..?
1 Reactions
19 Replies
461 Views
● Anapekuapekua simu yake ● Amejichomeka visikiliza masikio (earphone) anasikiza mambo mengine ● Nayeye anaongea na mtu mwingine ● Anakuongelesha wakati hujamaliza kuongea (wewe unaongea na...
1 Reactions
4 Replies
307 Views
Ikitokea umefungwa, upo gerezani bafuni unaoga na wafungwa wenzako, bahati mbaya sabuni ikakudondoka, Achana nayo usiiokote. Utakuja kunishukuru baadae.
5 Reactions
35 Replies
1K Views
Najua humu sio kila mtu anagombania Daladala/Mwendokasi, niambie usafiri wako wa kwanza ulinunua ukiwa na umri wa miaka mingapi..? Mimi 25 niliagiza Mkoko toka Japan. Funguka Mkuu..!
3 Reactions
164 Replies
4K Views
Back
Top Bottom