JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Katika mboga inayoaminika kuwa Na umuhimu kweny uongezaji wa damu mwilini basi MCHICHA ni miongoni mwa mboga hizo. Mchicha ni muhimu kwa wanaume wenye tatizo la upungufu wa nguvu za kiume...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Wakuu kuna habari kuwa nahodha wa Taifa stars anayecheza Genk-Beligium anatoka na mwigizaji Elizabeth Michel, Lulu. Habari hizo zimeibuliwa na mtu wa karibu na Lulu hapa Tegeta. Je ni kweli na...
1 Reactions
65 Replies
9K Views
HATA USIPANIKI mwanaume mwenzangu, ukimwita msichana kwa ajili ya mtoko akaja na rafiki zake ili akukomeshe.... Wewe wajali sana wale rafiki zake.... piga nao story, waonyeshe picha zako kadha wa...
6 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari, Wakuu, naomba kuuliza kwa anayemfahamu mtangazaji wa East Africa radio Scola Kisanga. Sihitaji details zake lakini aweke picha yake tu kwani namzimia huyu Dada alafu nilimfollow IG...
2 Reactions
50 Replies
17K Views
[emoji68]‍[emoji65]‍[emoji65][emoji68]‍[emoji66]‍[emoji65][emoji68]‍[emoji66]‍[emoji65] Nani kama mama ?? Utajuaje kama mama ako ni mtanzania......... -Ni pale unapo mkopa hela alafu uki...
23 Reactions
98 Replies
10K Views
:cool::cool::D:D
0 Reactions
2 Replies
574 Views
wanabodi nimekuwa nashangazwa sn km sio kustaajabu!au inaonyesha humu wengi wetu ni betri low mtu anaweka thread yake nzuri lakini mwisho anasema sitaki matusi! Au kama ukiona limekukera mezea na...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Kuna jamaa alikua dereva wa fuso akawapa lifti wasambaa nane, akawapandisha kwenye bodi lakini akawaambia kwa kuwa sheria haziruhusu gari ya mizigo kupakia abiria tena nyuma basi itabidi wakae...
3 Reactions
7 Replies
4K Views
Museveni anawashauri Mia Moja kumi na nne (114) ila baadhi yao hawafahamu na akikutana nao yeye Ndo anawapa ushauri.. By teacher mpamire.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
....Kama Jina Lako Alex Na Una Miaka 24 Na Uliomba Kazi Kiwanda Cha Nguo. Napenda Tu Kukuarifu Kuwa Nakula Chapati Hapa Zilizofungwa Kwenye Barua Yako Ya...
3 Reactions
4 Replies
973 Views
*Niko na demu hapa natongoza. Ananiambia kwanini nakuja kumtongoza yeye wakati nna mke wangu? Na mie nimemjibu kwani ukienda kununua nguo unaenda uchi?* Anacheka tu hapa nadhani ashanielewa...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
*Leo ni siku njema sana kwangu nimeenda kupima ukimwi kitu ambacho wengi wenu mnaogopa nimerudi na furaha tele baada ya kukuta hospitali imefungwa.![emoji23][emoji23][emoji23]* 2 Timotheo:4.2...
0 Reactions
3 Replies
963 Views
Salamu wa jf Nina jirani yangu anampenda sana mkewe anamfanyia kila kitu ambacho kina stahili kwa mke anampa kila kitu kama mume ila mke wake anawivu balaa leo asubuhi mke kamuamshia dude mumewe...
1 Reactions
38 Replies
2K Views
Juzi kati tulipata mwaliko wa harusi Mimi na yule shost wa kusukana nywele Huku kwetu Kwamtogole. Shost ni housegirl kwenye nyumba ya pedeshee, sasa mtoto wa boss wake anaolewa ndiopo Sky...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Hot news iliyopo sasa ni tukio la mwanamama aliyeshindwa kuhimili pressure na misukosuko hivyo aliamua kwenda kwa mganga ili amsaidie nyumba waliyokuwa wanaishi isipigwe mnada. *Awali ya yote...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu haina haja ya kutapeliana... Unataka Assist? Njoo omba hapa upewe... ha ha ha ha... Nampenda mke wangu shansarie!! She is the Best assistant I never had.
11 Reactions
237 Replies
11K Views
Mwanaume Kutokuawa na Pesa Hakukufanyi usiwe mwanaume, Ila na Ukiwa nazo Hunogesha na kuimarisha uwanaume wako, Nyoka Mzee[emoji216] Povu Ruksa
2 Reactions
33 Replies
4K Views
Wakuu leo nimeona nivute UZI huu hapa kwa miniajili ya kutubu baadhi yetu tuliowahi kufanya makosa ya kuharibu mali za shule ikiwa ni kuharibu vitanda, milango, viti madawati, nk kwenye shule...
1 Reactions
56 Replies
5K Views
Wasalaam wakuu na wasiowakuu humu ndani ya ngome.mlioniulizia ni kwamba nilikua nje ya nchi kuwasalimu baadhi ya wanangu sasa nimerudi na mapene.njoeni tujidai hapa sinza kamanyora Sent using...
0 Reactions
11 Replies
761 Views
1. Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha 2.kama unajua kufundisha kuliko mimi njoo mbele ufundishe wewe. 3. Wengine hapa mmekuja kukua tu. 4. Kichwa kikubwa lakini kichwani amna kitu...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…