Wakuu, sijui ni mimi mshamba au uhafidhina unanisumbua.
Yani kwanza naona ambao husherekea sikukuu hasa wanaume ni kama walaini vile au hujifanya maisha ya kizunguu.
Kwanza siku yenyewe ya...
Nilichogundua humu ndani jf watu wapo tayari kueleza hisia zao na changamoto zao zinazowasibu bila kuficha hata neno moja kuliko kumueleza ndugu, jamaa au rafiki wa karibu.
Zipo baadhi ya nyuzi...
Ndio, kila mtu anajua hawa ni watu wenye akili kubwa mno na inaaminika ni Mungu kawajalia huo uwezo. ni watu wanaoaminikaa kufanya mapinduzi ya kisayansi duniani na inaaminika nyuma ya teknolojia...
Nataka nioganaizi JF get together party, tuonane pale wote live, tufahamiane, tupiane michongo, deal, tufurahi, tunywe, wakubambiana na kupata wachumba hapo kazi kwao, Nina watu tayari washasapoti...
*Kuna dem Kaweka status kua "Alichonipa Mungu Mwanadam hawezi kukiondoa" Nikamuuliza kwa Upole Bikra yako iko wapi..??*
*Ghafla namtumia sms haziendi nadhani mtandao utakua unasumbua*...
When a lady is pregnant, all her friends touch her stomach and say "Congrats!". But none of them come and touch the man's Penis and say "Well done!". Kwanini jamani kina dada?
Funzo: Hard work is...
*Mwalimu kaniulizaa kama mtoto mdogo anaitwa mchanga... Je mtu mkubwa anaitwaje? ... Nikamjibu anaitwa kokoto..... Ameniitaa staff room labda atakuwa ameniitia chai*
*Huyu mwalimu ana roho...
Nilimsikia mshikaji mmoja akisema "Uzuri wa mwanamke sura....tabia nitamnyoosha"
wakuu naombeni na nyie mtupie kauli ambazo ziliwaacha hoi mlipozisikia kwa mara ya kwanza.....!
Huu ni uzi huru ukiwa na wazo unaloona linafaa Kuwa wazo la siku tupia hapa. ..kijiweni
Mfano tuanze na
"Kadri unavyozidi kupanua ndivyo watu wananyozidi kutamani"
kuna katabia kamezuka, vijana unawaona wamebeba mibegi, TV, stuli wanaelekea sehem tofaut tofaut kama katikati ya barabara, aidha msituni wao wanaita Location kupiga picha, Je nako nikukosa kazi...
Tukumbushane Maelekezo mbalimbali kutoka juu
Usiiibe
Usizini
Usishuudie uwongo wee Weka tu
Maelekezo yoyote yale kutoka juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nna rafiki wangu wa kike, Mara nying huwa anapenda kuwa karibu na mie, kunipigia simu na text za mara kwa Mara..
Bt nmegundua mara nyingi nkiwa nae huwa nakuwa kama sina "swaggz" na naishiwa...