JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Salaam wana jukwaa Jamani mwenzenu nina tatizo linalonisumbua ni zaidi ya mteja wa unga na hili tatizo limeshaniletea matatizo na aibu kama mara kibao mpaka nyumbani na mke wangu Mimi uteja wangu...
2 Reactions
103 Replies
7K Views
joseverest. Huyu jamaa kila uzi yupo, hakwepeki aisee kama MAJI vile. Afu mara nyingi yeye ndio huwa wakwanza kureply kwenye kila uzi atakaokatiza. Mimi binafsi namuelewa member huyu,sijui wenzangu?
4 Reactions
54 Replies
3K Views
Unalike 99 kupata iyo moja tu ufikishe 100 unaweza subiri miezi 3. Unajikakamua kujibu Mada with evidence ila bado unapondwa tu unajitaidi kucomment kila post mwishowe watu wanakuja na post hivi...
4 Reactions
32 Replies
2K Views
Jamani sasa huku tunakoelekea siko kabisaa hata kama ndio biashara but mmezidi sasa imeanza JAZA UJAZWE sasa imekuja WEKA UTIWE[emoji38]
1 Reactions
31 Replies
4K Views
*Asubuhi wakati wa kuingia kazini* SAIMON SIRO kampigia saluti bosi wake ERNEST MANGU. *Jioni wakati wa kutoka kazini* ERNEST MANGU kampigia saluti bosi wake SAIMON SIRRO. hapa sasa ndo...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
UNAJIITA MKRISTO LAKINI UNATAKA MWANAUME MWENYE GARI [emoji117]DADA ULIBATIZWA KWA DIESEL AU PETROL...
0 Reactions
5 Replies
793 Views
Ndg zangu tushirikiane maajabu ya mji wa Dar Mimi naona watu hawatembei mahali kwa mguu hata kama umbali ni Mdogo Kila sehemu nyumba zimejaa yaani hatupumui Bodaboda wa Dar pamoja na watembea...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Matatizo ya kulala bila nguo usiku baba,mama,na mtoto wame lala Gafla mtoto kaamka Mtoto:mama nataka nikakojoe Mama:chukua tochi hapo uende Mtoto:akanyoosha mkono anaazakupapasa kumbe baba...
6 Reactions
14 Replies
4K Views
Jamani nimeona tukumbushane kidogo kuhusu hizi namba za magari Tanzania. Maana kuna vifupisho vyake vingine vinabeba maana halisi ya maneno yanayotumika ktk maisha yetu ya kila siku. Kama na wewe...
1 Reactions
56 Replies
13K Views
*Ukiona mpenzi wako mpya anataka kujua habari za mpenzi wako wa nyuma* *Huyo hayupo kimapenzi ni mwandishi wa habari mwambie sikuwahi kurecord [emoji23][emoji23][emoji23]*
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Tp zinaanza mapema Wa saba kwa vyuo mbalimbali ..ila walimu mjue tumewamisi hivi mnaripoti link??
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Je utajiskiaje kama huyu ndiye real Donald "the billionaire" yule wa kila siku ni fake..
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Napenda kumuulizia huyu mdau... Simuoni Humu jamvini
1 Reactions
85 Replies
5K Views
Eti katika pitapita yako hushakutana na Masai anaongea sauti ya besi?? :D
0 Reactions
7 Replies
696 Views
Habari Kuna ka mtindo hapa kameanzishwa na memba humu kututishia kwamba wanaacha kutumia jf Katika uchunguzi wangu niliofanya nikagundua yafuatayo: 1. Unatumia simu, laptop, au mfano wake ila...
12 Reactions
83 Replies
5K Views
Asalaam Alaykum Twamshukuru allah Leo tukiwa Katika Swaum Ya 4 alhamdulillah Tangazo Maalum kwa waislam woote Siku Ya Jmosi Ya mwisho Wa Week Hii Nitazindua Rasmi Muhadhara wangu Wakwanza...
0 Reactions
2 Replies
627 Views
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Angalia neno gani au jina unalolijua likifanyiwa kifupisho ni kituko???
1 Reactions
17 Replies
2K Views
1.nduna songea mbano 2.ngonyani 3.mbilinyi 4.ngatunga 5.katembo 6.mapunda 1.mwakahenga 2.mwakiatu 3.mwakatobe 4.mwakamvua 5.mwakatukuyu 6.mwakibete 1.akwitundu 2.mataka 3.mpili 4.atingala...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…