JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu habari..!!!ivi ile saund track kile kimlio kwnye kipindi cha njiapanda cha Isack Maro wa Clauds Fm ile nyimbo inaitwaje na kaimba nani..?? msaada tafadhari......
0 Reactions
2 Replies
692 Views
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Kareeebuni Wakuu Futari Haya Ndio Maisha ya Ubachela Nimeona sio Issue kula kwa mama ntilie futari Kwani sitapata Nikipendacho Nakinacho stahili . Hivyo Nimeingia mwenyewe Ulingoni...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Nataka niwe na nywele za kusimama kama baadhi ya mastaa nchini Nipake mafuta gani au nitumie nini?
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Tangu Nimejiunga Na JF miaka 2.30 iliyopita Nimejifunza Mengi Ila Hili Lina Nishangaza Asilimia 95% threads Zina 5[emoji106] Like Tu? Au comment Zina 5[emoji106] Like Tu? ...je huo ni Utaratibu...
0 Reactions
4 Replies
654 Views
MUME: Bibie nifanyie chai. MKE: We hauna mkono MUME: Nina mikono Na Nina nafasi #tatu bado za kuongeza wake MKE: Nikufanyie ya #maziwa au ya #tangawizi **WANAUME HATUPIMWII**
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Mh!
1 Reactions
10 Replies
992 Views
Unaenda kwa jirani yako unakuta tv anayo ona ni yako ukitaka kutoa simu upige polisi unakumbuka hiyo simu ni ya huyo jirani inabidi utulie tu. ;>;> :D:D:D
2 Reactions
21 Replies
2K Views
TANGAZO Nasikitika sana kuwaharifu ndugu zangu jamaa na marafiki wote kuwa sintaweza kuendelea kutumia mtandao wa TIGO hii ni kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimevumilia sana ila...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
*#Ujinga_ni_nini [emoji2][emoji2][emoji116][emoji116]* *[emoji117]Ujinga ni kujikunja kubinua makalio, nywele feki, kucha feki, nyusi feki , makalio feki, vyeti feki [emoji6], ukakataa...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
[emoji23][emoji23][emoji23] *Ushawahi fanya mtihani halafu msimamizi kasimama sana nyuma yako akiangalia unachoandika kisha unamsikia akitangaza "jamani hakikisheni mnasoma vizuri...
3 Reactions
4 Replies
886 Views
Vuta picha umelala mida ya alfajiri hivi... Usingizi ule wa kukesha jana yake, halafu kuna mtu anakuja kukugongea mlango kwa fujo sana kwenye mida ya kama saa moja moja hivi. Ile unaamka na hasira...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Matatizo ya kulala bila nguo usiku baba,mama,na mtoto wame lala Gafla mtoto kaamka Mtoto:mama nataka nikakojoe Mama:chukua tochi hapo uende Mtoto:akanyoosha mkono anaazakupapasa kumbe baba...
6 Reactions
17 Replies
2K Views
Kuna mashindano ya kula Ugali yalitokea na kuhusisha washindani watatu. 1.huyu mshiriki kwa mbwembwe zote alikula ugali na chumvi pakti ya kilo moja 2.huyu yeye alikula ugali na maji ya kunawa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Hayaaaa sasa kwa waleee wapenda malayaa na mademu wakareeeee wakuje huku Durban /Kangaroo tuwafaidi mademu mara mwisho mwisho mweeeeeeeee
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Hivi ukitaka ban unatakiwa ufanye makosa gani mimi naitaka iyo ban ili nipumzike ila nataka ban ya mwezi mmoja mpaka mwezi wa ramadhani uishe ndio nirudi nipeni ushauri basi nahitaji Ban.
0 Reactions
18 Replies
958 Views
Mf Nenda kalale,kanyonye mara anaulizwa"shule inafunguliwa lini?Mara likizo inatujazia seva,Kalale ukue.Balehe inakusumbua,Mwingine akichangia utasikia"Bado tu upo kwa shemeji?Yaani hawa watu...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Alhamdulillah Bado siku 29 tuu Eid mubarak[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Asalam Waleykum ndugu zangu,Mimi na familia yangu tunawatakia kheri katika mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani nawakumbusha Waislamu wenzangu kujitahidi kufanya ibada kwa wingi,ikiwemo kusoma...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
.." Jamani taarifa zilizozagaa mitandaoni kuwa nimeteuliwa kuwa waziri wa Nishati na Madini mzipuuze siyo za kweli.! [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Back
Top Bottom