Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Ujio wa Hizi huduma za kifedha kupitia simu za Mikononi ukiacha kurahisisha uchukuaji, utumaji, uhifadhi na uwekaji wa Fedha, pia umetengeneza Ajira kwa watu wengi tu ambao labda kabla yake...
7 Reactions
48 Replies
8K Views
Nina Ekari kadhaa nataka kulima ufuta, naombeni kama kuna soko wapi na mbegu wapi zinapatikana. Nani wanunuzi wakuu
0 Reactions
0 Replies
4K Views
wadau, this is good news kwa wote amabao ni wafanyabiashara na kwa aslimia kubwa biashara zao zipo dar es salaam, Je unahitaji kua boosted financially? ili kukidhi mahitaji yako ya kibiashara or...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
ahsanteni sana wanajf mimi ninahitaji kuingia katika biashara hii ya ufugaji wa kuku hasa hawa wa kienyeji nimekamilisha kila litu ikiwemo kutengeneza banda na utaalam wa kisasa ila kwa bahati...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Samahani, kwa wazoefu wa mambo haya ya magari naomba mnisaidie, nahitaji kuwa na angalau kiasi gani kupata gari (used) zuri la kutembelea lenye gharama nafuu za uendeshaji pia?
0 Reactions
41 Replies
20K Views
Heshima kwenu wadau, Ningependa kufahamu soko la hisa inapofika mwaka wa uchaguzi huwa linakuwa lina hali gani? huwa lina panda au huwa lina shuka. Kama huwa lina panda ni kwanini na kama huwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Lg optimus l713 4 gb internal android 4.1.2 update to android 4.4.2 camera 8 mp with secondary camera. For the best price. 190,000 find me up here +255765838708
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MWAJILIWA NI MTUMWA WA PESA! JE NINI CHA KUFANYA KUONGEZA KIPATO CHAKO? Ndg zangu ukitaka kuongeza kipato chako kila mwezi lazima utambue kwa thamani ya muda wako katika kuitafuta pesa. Ukisha...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Habari wakuu. Naombeni ushauri ktk hili Nina options mbili, either kununua kiwanja au kufungua mradi kidogo miezi michache ijayo. Vyote ni vya muhimu na siwezi kuvifanya kwa pamoja maana...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Miradi mikubwa miwili chini ya NSSF yenye thamani ya mamilioni ya dola za marekani, imeiweka juu NSSF kwa kuthubutu na kutekeleza kile ilichodhamiria katika mipango yake! Angalizo; ceteris...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ukifuatilia kwa karibu utaundua viongoi wengi hasa wa serikali wapo bize sana na mambo ya kitaifa,kikanda& kimataifa hivyo si rahisi kukumbuka mambo ya SALOON, vijana tuchangamkie fursa hii...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Jaman nna shamba langu huko rufiji kata ya kitembo,sasa nlikuwa naomba kama kuna surveyor humu ndan akansaidie kupima nsije nkawa nmenunua eneo la makaburi.....!!!
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani wana Great thinkers, Mimi nimejaribu kufanya research yangu binafsi ya biashara na kugundua sehemu ninayoishi biashara ya mikate inalipa sana kwani huwa inafuatwa mbali ili ije kuizwa hapa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimeiona hii sehemu nafikiri sio mbaya nikiileta hapa kwa sisi wafanyabiashara ambao usimamizi ni mdogo kutokana na majukumu mengine System ya Candela ambayo inatumia alama maalum za kutambua...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
natafuta ipad ya sumsung mimi Niko mwanza
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Natafuta mdau anaefuga samaki sato naomba . tuwasiliane tubadilishane mawazo namba zangu 0768492968
0 Reactions
0 Replies
975 Views
NJIA ZA KUKUTOA KATIKA KIFUNGO CHA UMASKINI. Habari za leo ndugu msomaji wangu. Nisiku nyingine tena tunakutana apa kwa lengo la kuelimishana na kuabalishana ili tuweze kuakikisha tunamtokomeza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Natumai mnaendelea vyema na harakati za kusukuma gurudumu la maisha. Wakuu kuna watu humu wana pesa hawana idea nzuri za biashara,na kuna wengine wana idea nzuri lakini hawana...
3 Reactions
42 Replies
8K Views
NUNDOS INVESTMENT AND CLEANING SOLUTION LIMITED:, Ni kampuni iliyosajiliwa na uzoefu wa kutosha katika huduma za usafi katika maeneo mbalimbali kama >ofisini >nyumbani >hospitalin >hotelin na...
0 Reactions
0 Replies
971 Views
BIASHARA ya Mtandao ni njia ya kisasa ya usambazaji wa bidhaa kutoka kiwandani hadi kumfikia mteja au mtumiaji moja kwa moja. Hivyo, kiwanda kinazalisha bidhaa tu. Halafu kuna mtu mmoja tu ambaye...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom