Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

At 44.3 per cent, Tanzania’s performance in tax collection in the East African region has been rated best for this year, surpassing all its neighbours and a number of other African countries...
0 Reactions
2 Replies
980 Views
Wadau habari za jioni Nimeomba mkopo NMB tawi moja la mkoa wa kilimanjaro..nikapewa form na kukamilisha taratibu zote ndani ya siku mbili na kurudisha form tar 15/Nov na yule loan officer...
0 Reactions
35 Replies
9K Views
Habari zenu wakuu? Poleni na majukumu na mihangaiko ya kila kukicha,mimi ni kijana mwenzenu ambaye ni mkulima wa zao la vitunguu na pia nafanya biashara ya kuuza na kununua zao hilo,nimekuwa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
wanajamvi pole na kazi. kwa wajuvi wa mambo ya usajili wa kampuni naomba kufahamisha je kuna advantage yoyote ya kusajili kampuni kama sole proprietor au limited company katika masuala yafuatayo...
0 Reactions
24 Replies
8K Views
Meli ya mv victoria ambayo hufanya safari zake kati ya Mwanza na Bukoba sasa ina wiki nzima haijafanya trip yoyote. Inasemekana moja ya engine yake ni mbovu na alhamisi iliyopita ilibidi abiria...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tafadhali wandugu tusaidiane kukokotoa mahesabu ya mshahara hapo chini kama yapo sawa. Ni mojawapo wa mishahara katika chuo fulani jijini Dar. Basic salary 2,160,000.00 House Allowance 216,000.00...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Scenario iko hivi tuchukulie Subash Patel ana nyumba kariakoo ambayo inayo title anatafuta mtu wa kufanya naye JV Anatokea bwana Mwambulukutu anasema kuwa anaweza kupata finance ya kujenga kwa...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Ni wachache sana wanaoweza kutoa siri zao jinsi walivyoweza kupata mafanikio. Maisha ya siku hizi unatakiwa uwe kama mwanajeshi ambaye yuko vitani, kwa hiyo umakini, nidhamu, mikakati, uvumilivu...
4 Reactions
34 Replies
13K Views
Nasikia NBC Bank, mambo magumu, benki ipo kwenye hatua za Kufilisiwa! Wenye Taarifa za Ndani, tunaomba msaada, tukavute Marupurupu yetu mapema.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natumaini wote wazima,mimi ni muuzaji wa kuku wa kienyeji toka Singida na Dodoma na naifanyia biashara hiyo Dodoma kwa sasa. Natamani biashara yangu niilete Dar Es Salaam na tatizo sina soko...
0 Reactions
15 Replies
10K Views
Nimechukua fremu ya biashara maeneo ya kimara lakini umeme una madeni na migogoro ,sasa mwenye nyumba amenishauri niweke LUKU yangu sasa naomba kujua gharama za kununua meter na kuweka ni silingi...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
A renewed plunge in oil prices is a worrying sign of weakness in the global economy that could shake governments dependent on oil revenues. It is also a panacea as pump prices fall, giving...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari, Nahitaji kujua kushona aina mbalimbali za mavazi. Je, ni njia ipi bora ya kujifunza kwa mtu au kwenye chuo cha tailoring? Na please kwa anaefahamu kuhusu vyuo bora vya mafunzo hayo...
0 Reactions
2 Replies
13K Views
Mabalozi wa DSE kwenye kampeni ya wekeza inalipa kutoka kushoto ni Slim Omary, Rose Ndauka, Yobneshi Yussuph aka Batuli na mwisho kabisa ni Richie Mtambalike. Richie Mtambalike...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Nimepigwa pesa katika benki ya NBC , Jmosi niliweka kama 1.7m tawi la NBC DODOMA, kwenda kuchukua pesa benki jtatu nikakuta nimepigwa 1.5m kupitia NBC tawi la Tegata kwa kutumia ATM card yangu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
A jobless man applied for the position of 'office boy' at Microsoft. The HR manager interviewed him, then gave him a test: clean the floor. The man passed the test with flying colors. "You are...
6 Reactions
6 Replies
1K Views
http://businessafrica.net/africabiz/ezine/frontpage.php#africa
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu. Hembu nipeni njia ya hawa Majembe jinsi wanavyofanya kazi. Kuna gari zangu Carry zimo kwenye biashara. Niliwahi kwenda TRA na Halmashauri kuhusu kuomba vibali wakaniambia...
2 Reactions
21 Replies
5K Views
Salaam Wakuu, Nafurahi kupata pahala kama hapa, ambamo tunapata Maarifa. Niko kwenye initial stages za kufungua Microfinance, Nina mtaji wa wastani. Nataka ni -deal zaidi na wakopaji wadogo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mimi ni mhandisi wa ujenzi (Civil Engineer), ambaye nimekuwa katika fani hii kwa miaka ipatayo kumi hivi. Katika kipindi chote hiki, sijaona kampuni ya kitanzania iliyoweza kupata mafanikio na...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…