Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Nahitaji msaada wa majibu ya maswali yafuatayo; 1.Je ni kweli kuwa siwezi kudraw zaidi ya mil 10 cash kwenye personal account? 2. Kuna kiwango ambacho nikidraw kwenye personal account nahitajika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jf. Tafadhali naomba msaada wa ushauri. Ni kiasi gani cha pesa naweza kuanzia kama mtaji katika biashara ya kukopesha pesa kwa wafanya biashara wadogo, na je ni process gani za kufuata...
1 Reactions
9 Replies
9K Views
hata wewe unayedhani huwezi tapeliwa be warned; matapeli wako wengi sana, na sio lazima uwe unataka cha urahisi, bali kuna wakati inatokea katika situation ya kawaida tu maishani.
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Mara nyingi watu wamekuwa wakiuliza ni biashara gani inalipa ambayo wanaweza kufanya na wakapata mafanikio. Jibu la uhakika ni kwamba kila biashara inalipa. Hata baada ya kujua biashara...
1 Reactions
5 Replies
5K Views
Wasalam wana bodi; Kuna wazo ninalo, niina mpango wa kuuza viatu vya mtumba kwa kutumia baskeli, mfano Kama wa zile za Azam wanazouziaga Ice cream. Ipo hivi; Nataka kuunda baskeli kwa mfumo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana JF, Mimi na mjumbe mwenzenu wa humu ndani,, Nimepata wazo la kufanya biashara ya simu na hivi karibuni nataka niende China kutafuta simu ambazo nitaweza kuja kuziuza hapa nchini...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Hivi mabenki yetu yanatusaidia wajasiriamali wadogo kwa hizi huduma zao za mikopo, au ndio wanazidi kutukandamiza.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Olcomlabs (T) - Apollo HIS in 5 Minutes - YouTube
0 Reactions
0 Replies
805 Views
Olcomlabs (T) - Apollo HIS in 5 Minutes - YouTube
0 Reactions
0 Replies
951 Views
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 22 nina kiasi hicho cha pesa mkononi naombeni kuuliza nifany biashara gani ili pesa yangu izalishe elimu yang ni diploma ya IT pia nina nina computer 2 zeny spesc...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wanajamv habari, Naskia ukitka kupata suruali(kadeti) kali naambiwa mtumbani zipo nguo kali sana na durable. Sasa hebu nijuzeni wapi naweza pata kadeti za grade 1 zilizo kali zenye bei reasonable
0 Reactions
3 Replies
2K Views
We provide efficent software solutions, easy to use,scalable enough to take your business next level. View our portfolio Olcomlabs (T) - Software Development | Mobile Development Tanzania, Data...
0 Reactions
2 Replies
817 Views
Wapendwa nahitaji hiyo simu tajwa hapo juu, ila iwe katika hali nzuri na isiwe clone. Nina laki 3 tu.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu, 1.Naomba kujua kwa mtu mwenye kuelewa gharama za kununua mitambo midogo ya kukoboa na kusaga nafaka hasa mahindi.nk. 2.Gharama za uendeshaji wa mitambo n.k. ASANTEN
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wakuu nimejaribu kupitia mada mbalimbali kuhusu biashara hii ya kukodisha magari hapa jamii forum lkn hakuna mada hata moja yenye ushauri uliojitosheleza,Kitu nachotaka kujua zaidi kwa wale...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Habari wana jamii forum,Ni hv mfano mm naagiza gari kutoka Japan then nataka nishushie Dar es salaam halafu nisajilie malawi yaani bongo zipite kama IT,je kuna gharama ambazo nitatakiwa nilipie...
0 Reactions
0 Replies
859 Views
Habari wakuu!,Ni hv naomba kwa wale wenye uzoefu wa kuingiza Engine Used nchini,Hasa nahitaji kujua mambo haya; 1;Ni nchi gani hasa engine zipo cheap Japan au Dubai? 2:Kila Engine inagharimu...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari wadau,narudi tena kwenu kuomba msaada wa ushauri namna ya kufanya biashara kwa mtaji wa kuanzia mil.1.5 NATANGULIZA SHUKRANI!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Natafuta mtu wa kufanya Naye kazi katika kutengeneza filamu, vipindi vya Radio na Television.
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu. Nyumba hii ipo maeneo ya sinza kijiweni ni dk 1 kutoka barabarani (hayo ni makadirio ya juu), ipo mkabala na Habari House. Nyumba ina documents zote za kiserikali. Kwa sasa nyumba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom