Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Ndugu wanajanvi naomba msaada kwa anaeifaham vizuri biashara ya mbao zakupaulia nyumba. Naomba kufaham nitaifanyaje ili iweze kunilipa? Mtaji wake ili niweze kuanza vizur nianze na Tsh ngapi...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Niliona mahali juu ya habari kuwa. Zitto Kabwe ameanza kutoa mikopo kupitia zitto kabwe fundation. Nikapita katk link waliyoweka.ila nataka pata uhakika je ni ukwel au ni wajanja wajanja wa mjin...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Amani iwe Kwenu wapendwa, jana nilitembelewa na jamaa angu akiomba ushauri. Alikuwa amekopa mkopo bank miezi 6 iliyopita, sasa kuna asasi ya mikopo eti inataka kununua deni alilokopa bank ...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Closed
alijitambulisha kwa jina la joseph, yeye anahusika na mbegu za vitunguu pamoja na kilimo chake bagamoyo na mikoan. Naombeni namba zake zinazopatikana ile 0655003510 haipatikani.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimefanikiwa kuhudhuria kwa miaka mitatu mfululizo maonesho ya nane nane Morogoro,kwa kweli napenda kusema wahusika hawavitendei haki viwanja hivi,hawawatendei haki waudhuriaji na hata...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
========== WARNING: This is a conman, beware! DO NOT be tempted. TAHADHARI: Mtu huyu ni tapeli na ameripotiwa kwenye vyombo vya dola ========== Dear JF Members! I live in Arusha, married and...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Kwa wale walioogopa kuwekeza swala. Watu wamewekeza mpaka hisa za ziada. Tuwekezeni wadau bila ya hivyo tutakufa maskini. UPDATE - SWALA TANZANIA INITIAL PUBLIC OFFER (IPO) Swala Energy...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
KUMBE WAKIWA NJE YA EAC SIO COW NI JUMUIA YA AFRICA MASHARIKI WAKIREJEA WENGINE NI VIGEUGEU.........
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni sawa na tshs ngapi?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamvi. Nimefanikiwa kusoma au kuendelea kuiona au kusikia hii kitu inayoitwa Hisa. Na mara nyingi ninasikia hasa kwenye shughuli za kibenki na biashara zingine kubwa kubwa...
0 Reactions
6 Replies
10K Views
Salaam. Mimi ni mgeni katika mambo ya mikopo sijawai kukopa benki yoyote,nimekua nna nia ya kuchukua mkopo benki nnayo hati ya kiwanja tu,afu kwa sasa sina biashara yoyote as in hiyo hela...
1 Reactions
10 Replies
8K Views
Wanajamii ninaomba msaada wa kibiashara nina milion hizo nashindwa nifanye biashara gani kwa wale wataalamu wa biashara wanishauri
0 Reactions
61 Replies
16K Views
Wadau hapa mjini kuna kila namna ya utapeli hivyo kwa wale wenye uhakika na hich kitu au hawa jamaa wanaojitambulisha kama hisa tanzania tumegeeni na sisi kidogo,hii chini ndo adress yao...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Naira moja Nisawa na Tshs ngapi?
0 Reactions
2 Replies
11K Views
habari za muda wakuu. nilikua nimepita pita huku na kule, nikawa nafikiria kuanzisha hii biashara maeneo ya usa river arusha. naombeni ushauri wakuu, kwa wale wenye experience kuhusu biashara...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama ukiangalia vizuri nchi yetu ya Tanzania inatengeneza mabadiliko fulani ya kibiashara na kiuchumi na mabadiliko haya yatakuwa na athari na faida zake. 1. Kwa sasa serikali imeamua...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
SPECIAL REPORT: How NHC plans to transform Tanzania's cities Artistic impressions of some of structures planned for Salama Creek satellite city in...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Habari zenu wana JF.mimi ni Mwanafunzi wa chuo kikuu hapa Tanzania na nina mtaji wangu wa mil 3.naombeni mawazo yenu.biashara gani naweza fanya kwa mtaji huu nikiwa chuo?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naombeni mnijuze hao TRA wanatozaje ushuru kwa bidhaa kutoka Ulaya?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…