Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kodi ni jambo la msingi, na sioni tatizo la mashine za risiti za EFD Ila naona haki kubwa walionayo wafanya biashara kugomea hizi mashine. Juzi tu hapa tulisikia wote mshahara wa Rais mkubwa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Hakuna kitu kinaniuma kama kupata kwa jasho kali (Serikali kukamua walipa kodi) na kisha kutumia kwa DEZO?????????!!!!!!!! Mfanyakazi wa sekta binafsi na umma hususani mwalimu na baadhi ya idara...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari!!! Kwa mwenye ufahamu: Naomba kujua bei ya mchele "SUPA", unauzwaje huko Mbeya mashambani? Nataka kufanya biashara hiyo.
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Ninauza bata wa kawaida wa rangi nyeupe na rangi mchanganyiko (nyeupe na nyeusi......) kwa bei ya Sh 15,000-25,000. Anayehitaji anitafute kwa namba hii hapa : 0718424824. Karibuni sana
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kiwanja kinauzwa kiseke b mwanza kina hati sqm 900 . bei ya mwisho 23m.kina mawe trip 10 na maji na umeme yapo hapo hapo. ~~pm kwa mawasiliano zaidi
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ninauza bata wa kawaida wa rangi nyeupe na rangi mchanganyiko (nyeupe na nyeusi......) kwa bei ya Sh 15,000-25,000. Anayehitaji anitafute kwa namba hii hapa : 0718424824. Karibuni sana
0 Reactions
0 Replies
932 Views
hi wanajamii, naomba wenye experience na gari hili wanipe data za kulihusu eg durability, maintanance, fuel consumption etc etc Asante
0 Reactions
10 Replies
1K Views
SAOM INVESTMENT LIMITED BRELA REG,# 73521 PLOTS, FARMS FOR SALE IN BAGAMOYO AND KIGAMBONI. 1. Bagamoyo PLOTS A.Plots zipo Kitopeni,Kilometer 5 toka Bagamoyo mjini,Kilometer 2.5 toka barabara kuu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wakuu Naomba msaada, mwenye kujua hatua za kufata ili kuweza kununua nyumba za TBA zinazojengwa Bunju au eneo lolote hapa Dar anifahamishe. Kama mimi ni mfanyakazi wa serikali nahitaji...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana mmu. Naomba wenye uzoefu namalorry aina yaScania itakayofaa kwakazi yakubeba kokoto namchanga ni ipi kati ya 113h,112h, 114h 93m au 93h 124L hapa nahitaji ulaji mafuta , service...
0 Reactions
1 Replies
887 Views
Ifuatayo ni Technique tunayotumia kuiba kodi kupitia mashine hizi zilizoletwa na sirikali na TRAAAA; Unanunua mashine 2 unaingiza settings zinazofanana isipokua moja inakua ina act kama client na...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Mazungumzo ya Soko la Pamoja EAC yakwama Faraja Mgwabati Daily News; Thursday,November 13, 2008 @21:15 Mazungumzo ya kuanzishwa kwa Soko la Pamoja la Afrika Mashariki yamekwama baada ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jema Africa Limited aggregates crushing plant iliyopo Msata Mazizi inawakaribisha wote wenye ujenzi wa nyumba binafsi au makampuni yanayojihusisha na ujenzi.Tunazalisha kokoto nyeusi zenye...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Tanzania Minerals Audit Agency (TMAA) Gemstones worth billions of shillings were recovered from foreigners in a joint operation by security forces between September and early this month, it has...
0 Reactions
0 Replies
921 Views
Maduka mengi leo yamefungwa,wanunuzi wamekaa nje huku wakiwa wameshika tama!!.Kisa mashine za kodi!!!!! Tanzania nakupenda kwa moyo wote!!!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Yaani nimefika hapa yapata 1 hr ago nikakuta ATM moja inafanya kazi but haina hela, nimeulizia customer service akaniambia itachukua 1 hr mambo yatakuwa shwari. Nikapiga simu kwenye hotline yao...
1 Reactions
47 Replies
6K Views
nimepakumbuka sana kwetu, nyumbani kwa baba na mama, where i was born twenty something years ago.. niko kwa muda kwa ajili ya salam za hapa na pale, ndugu zangu, maisha ya raia wenzetu huku...
0 Reactions
0 Replies
835 Views
Akiongea kwa kujiamini,bilionea Mengi leo wakati akikabidhi zawadi kwa washindi wa shindano la ujasiliamali,ametoa darala na kujibu hoja ya waziri Muhongo kwamba wafanyabiashara wa tanzania hawana...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wandugu, Nimeona cement mpya ya twiga plus. Napenda kujua ina nini cha zaidi kulinganisha na ile ya zamani. -Je inatoa tofali nyingi zaidi au imara zaidi? -Je ni kukauka haraka? Tafadhali mwenye...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Wawekezaji njooni Kusini{Lindi na Mtwara},Umeme wa Uhakika upo kusini,Ukatiki,njooni mjenge Viwanda Tanzania kusini#Umeme wa Uhakika Upo# NB:sehemu ambayo Tanzania umeme ausumbui ni hiyo...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…