Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Tarehe 23/07/2013 niliamisha sh 300,000 kutoka M-Pesa kwenda Akaunti yangu ya CRDB. M-pesa, katika muda huowa kuhamisha, walinithibitishia kuwa hela yangu imeenda CRDB katika akaunti yangu.Cha...
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari wakuu, Nipo kizamani kidogo, nilikuwa nahitaji modem ya zantel ile ya zamani ambayo ipo kama sim ya mezani(almaarufu TTCL) Mwenyenayo anicheck kwenye
0 Reactions
5 Replies
978 Views
A group of residents close to African Barrick Gold’s (LON: ABG) North Mara mine in Tanzania have filed a lawsuit against the miner in London claiming the company is responsible for deaths and...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam wakuu, nahitaji sh milioni za mkopo wa haraka kwa dhamana ya nyumba hapa dar. Kwa mwenye kujua mahali ninapoweza kupata nitashukuru..nawasilisha
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wakuu, nahitaji mkopo wa haraka wa shilingi milioni mbili. Dhamana nyumba hapa dar,kwa anaeweza kunifahamisha wapi naweza pata tafadhari nawasilisha
0 Reactions
1 Replies
891 Views
Tanzania ready to launch EAC’s first fuel reserve Posted Saturday, July 27 2013 at 15:42 In Summary The plan, which would make Tanzania the first...
0 Reactions
0 Replies
772 Views
Good sunday evening wapendwa watanzania wenzangu katika kujenga uchumi wa Taifa Ndugu zangu mimi mwenzeni maji iko shingoni nimeshachoka kubeba Box.Sasa nimeona niwekeze kwenye news...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Una kumbuka mara ya mwisho kununua mafuta ya gari lita moja kwa sh 1700? Xtreme fuel treatment ina kurudisha kwenye huo mda. Pia ungependa kuijali na kuilinda injini yako, ifanye kazi zaidi...
0 Reactions
0 Replies
890 Views
By IBTimes Staff Reporter on July 25 2013 6:25 AM A general view is seen of the container terminal at the main port in the Kenyan coastal city of Mombasa. Reuters/Joseph Okanga...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
A petrol station in Dar es Salaam. Tanzania is ready to pick a firm to supply oil for its strategic reserve to cushion consumers against supply shocks. Photo/FILE By JOSEPH MWAMUNYANGE Special...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau wa biashara nimepata taharifa kuna mfuko umeanzishwa na serikali wa vijana..huu mfuko unatoa mikopo nafuu isiyoitaji mali isohamishika kupitia halmashauri zote nchini..Sina details za...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Tanzania ina kila aina ya utajiri. Katika ardhi yake kuna madini ya dhahabu, Tanzanite, makaa ya mawe, gesi, na sasa watafiti wamebaini kuna madini mengi ya urani. Madini ya urani yanatajwa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari za mida hii wakuu, Nilikuwanoomba msaada wa ushauri namna ya kufanya packing nzuri:- -Biashara ni ya viungo(Spices),kwa sasa na pack kwenye mifuko ya plastic kama ,sasa nilitaka angalau...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu! Natafuta milioni tatu (3,000,000) kwa ajili ya kuanzisha biashara ya ufugaji kuku wa nyama (Bloilers). Nimeamua kuanzia na mtaji mdogo ili nijifunze changamoto za biashara hii na...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
fursa ya biashara Mwanza. Kampuni mpya ya Network marketing inayoanza hapa Tanzania kwa mara ya kwanza tuko mwanza na tunahitaji brand new leaders ambao watakuwa top earners hapa Tanzania. Ni...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
by JOHN BUKUKU on JULY 26, 2013 Na Miza Kona Maelezo – Zanzibar Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wameishauri Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kupiga marufuku bishara ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu nlichokiona ktk jiji la Dar-es-salaam na tatizo la ajira, ivi serekali, mabenki na taasisi kubwa za fedha zimeshindwa kabisa kujenga masoko km Buguruni, Tandika Stand, na Tegeta kuwa ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
CRDB dodoma branch haiwezekani maelfu ya wanafunzi dodoma kuhudumiwa kupitia dirisha mojo uku wale ambao sio wanafunzi kuhudumiwa kupitia madirisha sita kwani huku ni kupotezeana muda kwani...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua kampeni ya miezi miwili na nusu kwa ajili ya wateja wake wa huduma za kibenki zinazofuata sheria za Kiislamu, ili kupata washindi wawili watakao...
3 Reactions
106 Replies
9K Views
Mtazamo Binafsi: Uwekezaji wa Makampuni ya Kimataifa (MNC) na Ukwepaji kodi katika nchi wanakowekeza vinazidi kuwa changamoto kila siku. Hii siyo changamoto ya nchi zinazoendelea tu bali hata nchi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…