Hivi ni vitu gani The Memorandum of the Company na Articles of Association?
hasa hii article of assciation inahusika na nini?
na je ni lazima hata kama sijaanza biashara nisajili au nianze...
Habari wadau!
Nahitaji mtu mwenye registered company, location ya biashara na contacts za wateja wa bidhaa hizi ani pm
Construction / Building Materials
Aluminum Composite Panels
Aluminum...
wadau naomba msaada wenu kuna hawa jamaa wa button pay wanatoa huduma za uwakala wa luku star times na vocha za kurusha na modem topup mitandao yote je kamishen zao zimekaaje na vp uhakika wao...
Im looking forward to sharing posts from time to time about things Ive learned in my career at Microsoft and the Gates Foundation. (I also post frequently on my blog.)
Last month, I went to...
Hi, JF,
Ninaamini JF ni jukwaa lenye watu wengi wanaoishi sehemu tofauti tofauti ndani na nje ya Tanzania. Naombeni msaada kwa anayefahamu sehemu ambayo naweza kupata sustainable supply ya Ngano...
Kutumia ATM za CRDB zilizopo kwenye supermarket ,petrol station au zilizojengwa eneo mbali na branch ni hatari ,kadi ikizama unahipata after one week kama uko safarini ni hatari sana kuzitumia...
Habari wakuu, naomba mwenye kujua biashara ya kuuza na kusupply vitabu na vifaa vya maabara katika mashule mbalimbali anisaidie mwongozo kuhusuiana na biashara hii kwa yale anayoyajua...
131.Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2013/14 jumla ya shilingi bilioni 5,674 zimetengwa kwa ajili ya matumizi ya maendeleo, ambapo kiasi cha shilingi bilioni 2,982 kitagharamiwa kwa fedha za...
120.Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya marekebisho katika Sheria ya
Usalama Barabarani, SURA, 168 ili kuongeza viwango vya Ada ya mwaka ya leseni za
Magari (Annual Motor vehicle Licence...
Hivi benki za hapa nchi kwetu zinanunua ATM mtumba au vipi? kwa sababu wanatuibia sisi wananchi kwa kutoweka pesa kwenye mashine husika ndani ya muda mwafaka pindi zinapoisha au kupungua kana...
1.
Business name to be registered.
Where a business name is carried on under two or more business names, each of these names must be stated.
Postal address...
How can SME's increase employee Engagements under Economic/Resource constraints
Changamoto ya kufikia Uwajibikaji, Utendaji bora, Uadilifu, Umahili na Ubunifu(Effective and Efficient...
Nilifungua account benki ya CRDB mwezi wa March 2013. Waliniahidi kunipatia kitabu cha hundi baada ya wiki mbili.
Imebakia saa moja kuingia mwezi wa june 2013 wameshindwa kabisa kunipatia kitabu...
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti na Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge
KWA UFUPI
Hata hivyo, katika majibu ya Serikali, Waziri Mgimwa alisema Serikali imeanza kulipa na...
Ndugu wanajamvi naombwa kujuzwa taratibu za kukopa Katika taasisi zetu za kifedha upoje kwa dhamana ya title deed/hati ya Kiwanja..
1: Je nahitaji kuwa na business plan ili nikopesheke?
2; Je...