Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Amani kwenu wadau, natumai mpoa wazima.. natafta printer ambayo inaweza kuprint directly on tshirts. kwa yeyote mwenye information wap naweza nikapata tafadhali naomba msaada! thanks.
0 Reactions
0 Replies
852 Views
Je kwa wanaojua taratibu za Dsi hivi unaweza kununua hisa kwa njia ya mtandao? Au kila kitu bado uwepo in flesh.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Benki nyingi zilidharau eneo hili kiuchumi. Huenda kwa kujipa moyo kwmba ni jirani na maeneo ya posta yalipo makao makuu ya benki nyingi. Lakini kigamboni ni sehemu unique iiyotakiwa iwe na matawi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jana jioni nimeenda kituo kimoja cha mafuta nikiwa nataka lita 50 za petrol, nikaambiwa kwa magari wanatoa lita 20 tu, kwa pikipki lita zisizozidi 5!!! Sababu:"Ndio maelekezo tuliyopewa na maboss...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Huduma za usafiri zimesimama mjini Songea kufuatia kukosekana kwa Petrol na Disel katika vituo vya uuzaji mafuta hayo kwa madai kuwa wameishiwa source ITV
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wadau, Kuna jamaa yangu anahitaji kusafirisha mizigo tajwa hapo juu kwenda sites(minara ya simu) 21 Mkoani kagera... jumla ya mzigo ni kama tani 39... Inahitajika Kampuni yenye uwezo wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kufuatia tangazo la ewura kushusha bei ya mafuta hapa nchini, nishati hiyo imeadimika mkoani ruvuma na kusababisha tatizo la usafiri mkoani humo hususan daladala.hii ni hujuma inayofanywa na wenye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naibu Katibu Mkuu Mtendaji Ofisi ya Rais Kamisheni ya Tume ya Mipango, Bw. Clinfford K. Tandari ameayasema hayo kwenye majadiliano yaliyohusu Utekelezaji wa Mpango wa Istanmbuli kwa nchi maskini...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Jamani ninaomba mnisaidie ni Bank gani ambayo itanipa mkopo kwa kipindi kifupi? Ninahitaji BANK ambayo watanipa mkopo ili nilipe deni kidogo la mkopo wa Bank fulani kama 3.7 million ili nipate...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Passengers disembark from newly leased Air Tanzania's Boeing 737-200 on Saturday last week, at Mwanza airport, shortly after arriving from Dar es Salaam. ATCL plane to cost Sh1.1b 3 months By...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana JF, tafadhari niambieni nitapata wapi, na kwa masharti gani mkopo wa milioni 3, collateral yangu ni gari yenye thamani ya tsh 8 millioni? marejesho kwa mwezi hadi miezi 10 PIA, JE kuna mtu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Zaidi ya Shilingi Bilioni 35.7 zikiwemo fedha za matumizi ya ofisi shilingi bilioni 5.7 na maendeleo Bilioni 30 zimetolewa hazina na kuingizwa kwenye tume hewa ya ushirika kwa kutumia voti namba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Transport Minister Dr Harrison Mwakyembe yesterday received the report of the team which investigated the source of inefficiency at the Dar es Salaam Port, promising that its recommendations will...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
hii ndiyo message niliyopata baada ya kuapply mkopo wa vyombo vya usafiri kwa wafanyakazi wa serikali. KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
0 Reactions
18 Replies
7K Views
hAbari wana JF Nimezunguka takirban shell za mafuta 7 sasa bila kupata mafanikio ya kuweka mafuta kwenye gari..... ~ je mnaweza kunisaidia yanapatikana wapi sasa? ~ je ni kwanini shell...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
The world of Internet surfing has expanded over the years. The days of needing a big chunky PC are far behind us and the Internet has moved from just being at the desk to being in every part of...
0 Reactions
0 Replies
695 Views
Je nitapata wapi bank ambayo itakubali kunikopesha million kama 15 ili nilipe deni kama 3.7 milion deni lingine kwenye bank fulani kisha nipate tofauti yake? Nina shida imenipata ya daharura...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
guardian.co.uk, 19 October 2012 12.01 EDT Tanzania's plan to sell ivory stockpile is 'ludicrous', say conservationists The east African country has formally requested permission to allow it to...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tanzania is set to launch a credit bureau databank in four years through World Bank-sponsored funding. The databank will allow banks to share their clients’ information, enabling small firms...
0 Reactions
0 Replies
933 Views
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akongea wakati wa mkutano na wanahabari Ikulu jijini Dar es salaam leo kuhusu sekta ya Gesi asilia nchini. Nyuma yake mwenye laptop ni Meneja wa Sekta...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…