Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kama kuna mtua ana-supply samaki wa ziwani - Mwanza au unamfahamu mmoja, tafadhali naomba tuwasiliane au nitumie contact zake. Natanguliza shukrani. Ahsante
0 Reactions
38 Replies
10K Views
A delegation of British investors has briefed President Jakaya Kikwete on a plan to put USD 10 to 20 billion in the economy to develop infrastructure to exploit the country’s huge gas reserves...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima zenu wakuu? nilipata dili katika kampuni hii Perdue Farms, hawa jamaa walikuja hapa Tanzania kutaka ku invest lakini mpaka leo ni zengwe kutoka wizara ya Mifugo.. nimeamua kuja na wazo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tanzania ya leo imejawa na vijana wengi ambao wamekuwa wakiiga mfumo wa maisha ambao hawajui adhari zake. Kwa mfano mijini utakuta vijana wengi wanataka kufanya kazi ambazo ni laini laini tu...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Hatimaye wafugaji waliogeuka masikini wa kutupwa baada ya ukame wa kati ya mwaka 2008-2010 kuua mifugo yao yote, sasa neema imeanza kuwashukia kutokana na Serikali kutambua janga lililowapata na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau wa Forum hii... hivi mnaonaje suala la ununuzi wa magari kwa Installment kama nchi za wenzetu kama Uingereza. Hii itarahisisha kupunguzo tatizo la usafiri... Maana unakuta Kampuni au mtu...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu nawasalimu wote, Naomba mwenye kuelewa namna ya kutengeneza mishumaa anidokeze. Nafuatilia hili kwa ajili ya kikundi chetu pale kanisani. Heshima mbele wakuu.
0 Reactions
7 Replies
10K Views
British oil firm Tullow Oil yesterday signed a long-awaited multi-billion shilling deal bringing French and Chinese industry players into the Ugandan oil sector. Tullow Oil’s $2.9b (Shs 6.4...
0 Reactions
2 Replies
744 Views
Habari zenu bana.Ninaomba kueleweshwa kuhusu mikopo ya benki na riba zake.mf : nikichukua mkopo wa 100m kwa kutumia hati ya kiwanja wakati wa marejesho nimefanikiwa kurejesha 75m nikapewa notice...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Welcome and join our group called engineers so as we can xchange ideas and make the world a better place to live for me and for you.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Pamoja na mbwembwe Kibuli, Jeuri,Kejeli za JOAN PONG MALOCK Kuhusu sakata la ongezeko la Nauli, Mapato yamepungua kwa siku pamoja na kwamba hata zile takwimu za awali aliongopewa na watendaji wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Katika ripoti ya Doing Business inayotolewa kila mwaka na World Bank. (http://www.doingbusiness.org) Tanzania imeanguka kutoka namba 125 hadi 127 kati ya nchi 183 zilizopimwa. Kenya imeanguka...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Duh, jamani precision Air wamezidi, lazima kila wiki wa-cancel au kusogeza mbele time za kuondoka hasa route ya Dar-Mwanza. Hebu jiulize mtu unatakiwa kuondoka leo Jumatatu saa 8.40 alasiri...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
The project will help ease congestion at the Dar es Salaam port. Picture: File By LEONARD MAGOMBA Posted Saturday, February 18 2012 at 16:12 Tanzania, Uganda, Burundi and Rwanda have...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Three conditions must be present for oil reservoirs to form: I. a source rock rich in hydrocarbon material buried deep enough for subterranean heat to cook it into oil...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Rais Jakaya Kikwete azindua ujenzi wa hospital ya kisasa ya CCBRT Dar es salaam, ujenzi huo unategemewa kufanyika pembeni mwa eneo lao kubwa la iliyopo hospital ya sasa.
1 Reactions
35 Replies
5K Views
Wakuu habari za miangaiko mimi ni kijana mwenye shahada ya mazingira ( Bachelor of Science in Environmental Management) baada ya kusaga sana viatu kutafuta ajira nikajikuta nakuwa na wazo la...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Watu wanapenda idea ya kupata discount hata kama hiyo discount sio ya ukweli. Kwa mfano ukiuza kiatu cha 100,000/= chenye discount ya 30% utauza vingi kuliko ukiviuza kwa 70,000/= bila discount...
0 Reactions
2 Replies
993 Views
Wachaga,wapemba,wadigo,wamasai Mgosi:Habari yakho mamushiii? Mamushi:Nzuri tu mgosi Mgosi:We um-beba khapuu la matunda mie nzani dondokaaaa,njoo nkupeee bhukuuuu Mmasai: Hatiendi kunywa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwandishi Wetu, Namtumbo MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Mohammed Gharib Bilal, amesema mradi wa uranium katika Mto Mkuju, wilayani Namtumbo, Ruvuma utakuwa wa manufaa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom