Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Hivi wadau hili kampuni la tigo si la kifisadi kweli? TCRA ni wanahisa? Customer hotline yake naambiwa kuwa ni kama bahati nasibu na ukiipata unalipia. Je sheria za TCRA zinasema hivyo...
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Biashara ya pub mbeya inalipa? MI kwa sasa nipo UK ila ningependa kufungua pub kule kwetu kwa sababu hapa vifaa ni bei rahisi kama tv kubwa ,music systms nk.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii biashara inalipa sana kwa hapa tz garama za ufugaji siyo kubwa kama wanyama wengine, mwezi uliopita nilitoka na mbwa wangu mdogo kijijini nimemuuza juzi 80,000/= Nafikiria kuanza rasmi kufuga...
0 Reactions
7 Replies
10K Views
JF heshima kwenu, kutokana na utaalam, uzoef, exposure n.k naomba kwa dhati kabisa mnishauri. Siku zote hua natamani sana niachane na kazi ya kuajiriwa. na ni ndoto yangu kujiajiri na kuwaajiri...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hi wana JF wote, Natafuta watu wa kununua kuni za jumla. Nina shamba jipya nalisafisha, hivyo kuna miti mingi sana kwa ajili ya kuni. Eneo lilipo shamba hilo ni mkoa wa Pwani, umbali wa kilometa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
kukiwa kuna anaguko kubwa la uchumi lililosababishwa na wizara ya Ngeleja kwa kutukosesha huduma muhimu ya umeme, wanyabiashara wa majumba ya biashara (Frem) wameendeleza ubabe wao wa kuongeza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
manajamii wenzangu nauliza, hii biashara ina faida gani?.. nimesika hawa jamaa wanapata shilingi 100;- kwa lita ya diesel au petrol. na ni waarabu na wahindi wanao jishuhulisha na bia shara...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Habari jamani.ninapenda kufahamu kuhusu gharama za kuanzisha,na kundesha mradi wa kutengeneza matofali ya mchanga.pia gharama za mashine zinazoweza kutumika na mahali ambapo zinauzwa.kwa yeyote...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Salam Mtu mwenye ujuzi wa kushona lakini hana kazi wala maarifa tafadhali kama ndiye au unamjua yeyote naomba uwasiliane na mimi kwa PM
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mimi ni mkazi wa morogoro.nina viwanja viwili ,vyote vina ukubwa wa ekari moja kila kimoja.kimoja kipo karibu na mjini na kingine mbali kutoka mjini.sina pesa ya kujenga nyumba kwenye viwanja hivi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana JF long time huko nilikuwa na katabia ka kutoa article moja inayohusu investment kila baada ya mwezi, katabia kale kakafa.. Leo nakarudisha tena na kuunza na hii " Jee ni lini unatakiwa uanze...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naomba mnijuze gharama za kuvuta umeme wa TANESCO kwa sasa ziko vipi kwa single phase na double phase maana ninafikiria kuweka umeme kwenye kibanda changu, Nguzo ya karibu ni ya single phase...
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Habali za asubuh ndugu zangu napenda kujifunza zaidi maswala ya biashala je ni mitandao gani inayohusika kutoa elimu kama hiyo
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hukumu ya Mahakama Kuu kwenye kesi ya TANESCO Vs Dowans inatufundisha nini? Nani mshindi? Kutofautiana kwa Mihimili inayoongoza nchi kwenye suala la Ajira ya Mzee Jairo nani alaumiwe? Je nafasi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
IF YOU NEED A DESIGN FOR A RESIDENTIAL,COMMERCIAL BUILDINGS AS WELL AS THEIR COSTS, AT A REASONABLE PRICE FOR QUALITY ASSURANCE. CONTACT: nyenze1@yahoo.com +255712833135
0 Reactions
1 Replies
1K Views
asalaam wanna jamii nilikua nahitaji msaada na swali nifwatalo Explain how a limited company's financial statements are influenced by the legal and regulatory framework to meet the needs of users
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hapo zamani za kale kulikuwa na kijiji Fulani, kilikuwa kizuri sana kwa kuishi isipokuwa tatizo hakukuwa na majim ya uhakika mpaka mvua inaponyesha. Hili kutatua tatizo hili wazee wakijiji...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nipo Dar es salaam, nataka kufuga punda. Naombeni mwenye kujua wapi nitawapata kama watatu(3) na bei yake ili tufanye mchakato wa kuwapeleka kwenye boma langu. Asanteni sana bandugu!
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Kutokana na tatizo la ajira katika zama hizi za sayansi na teknolojia watu wengi ktk nchi zinazoendelea wamelazimika kufanyabiashara ndogondogo ili kupambana na hali ngumu ya maisha inayotokana na...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nimejaribu kutafuta sana maana nzima ya insurance na siipati kabisa. Sijawahi ona au kusikia jamii fulani hapa Tanzania au mtu fulani kapata kanufaika na bima hizi za mali. Labda tuwaulize ndugu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom