Nina laptop mbili zinauzwa kwa shilingi laki tatu na nusu kamili ni safi zisizo na matatizo yeyote kwa mawasiliano wasiliana nami kwa 0764435828 nipo mabibo.
Namba moja ni banda la sido, nimefurahishwa na utaalam wa watanzania wenzangu kwenye nyanja mbalimbali.
Pili ni banda la maliasili, nimeona aina tofauti ya ndege na wanyama japo kwa uchache...
ON June 30, Prof. Mahmood Mamdani made a keynote address at the East African Legislative assembly Symposium in Arusha, Tanzania. Below is a slightly edited version of his address on the topic...
Kama mjuavyo system ya mabenki yenu juu ya ukopaji ni ngumu sana, hadi uwe na hati ya nyumba au shamba nk. Bahati mbaya mie sina vitu hivi, ninayo mashamba ambayo hayana hati bado, ninao hata...
Mkoa gani una mazingira mazuri zaidi kuanzisha biashara hapa Tanzania kwa kuangalia uwezo wa watu kununua na required start up capital... bila kusahau tabia ya manispaa na TRA za mkoa huo.
NYUMBA inapangishwa
Kodi 550,000 kwa mwezi. Picha ipo hapa House for Rent in Kunduchi | 4 Bedroom House in Kunduchi
Edit Post Reply Reply With Quote
simpleways2
24th June 2011 12:15...
Jamani hebu mnijuze nimesikia leo kuwa sasa dola moja ya kimarekani ni sawa na sh 1630 ya kitanzania, je hii ni kweli? kama ni kweli basi watanzania tutajuta na CCM hii. Nadhani ni bora sasa...
Natafuta gari lenye vigezo vifuatavyo:
* Prado (EX) maarufu kama prado 2,
* Engine iwe 1KZ,
* Mileage isizidi kilomita laki moja
* Iwe kwenye hali nzuri.
Tutazungumza kwa bei atakayokua anauza...
Habari Wakuu,nategemea kufanya kilimo cha karanga ila kabla sijaanza ningependa kupata uhakika wa soko kwanza,kama kuna mtu yeyote anayelima karanga na anajua ABC zake na soko naomba data tafadhali
i am graphics designer looking for job any where around tanzania if you will be interest to work with me contact with me @ ckundawa@gmail.com, or cell no +255718656164
Habari zenu wana jamii natafuta frame ya duka yenye ukubwa wa square mtr 200 hata kama yapo maduka mawili ambayo yameshikana na yanaweza kuunganishwa yanafaa muhimu ukubwa uwe 200sqm,kwa yoyote...
Wakuu kila biashara ina risk.., na wote tunajua kwamba uwezekano wa kulima na mvua kutonyesha ni mdogo sana na ukilima mara tatu atleast mvua itanyesha mara zote tatu au mbili na utapata faida na...
BALOZI wa Kenya nchini Tanzania, Mutinda Mutiso, amesema kitendo cha nchi yake kumtangaza Mchungaji mstaafu Ambilikile Mwaisapile kuwa anapatikana
kijiji cha Samunge, Kusini mwa Kenya ni sehemu...
The Bank of Tanzania (BOT) might not agree with what is really happening. We at The Guardian on Sunday might not also agree with it if we have to stick to the characteristics of a dollarised...
While a section of the public considers foreign investors, especially in the mining sector, as looters of the countrys resources, the government has come out to denounce the claims...
Wanajamvi.
Nilimsikiliza mh Mkulo wakati wa mawasilisho ya bajeti. Bidhaa kama dizeli, petrol ziliondolewa kodi wakati mafuta ya taa kodi ziliongezwa/rudishwa. Cha ajabu, wauza mafuta tangu juzi...
Naomba msaada wenu jamani nataka frem uwezo wangu wa kodi max 150,000 na naweza kulipa miezi sita 50,000 nalipa mwaka jamani km kuna mtu unamfahamu nisaidei ndugu yenu wana jf.nawataki siku njema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.