Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kwa mahitaji ya Diesel generators,Battery chargers,AVR-5,AVR-20 na zingine wasiliana nasi simu namba;0772740565 Pia mafundi wazoefu kwa kazi za generator installation na service wanapatikana
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Spirits are likely to be calmed in the country following the report of an offer by Dowans (T) Ltd to waive aside its right to the 94bn/- settlement awarded by an international court of...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau wa JF nimeamua kuachana na Tanesco na Bili kubwa za Luku,huduma mbovu ya mgao,usio eleweka,Osterbay umeme haukatiki(nimeona mara 2 mfululizo-u may correct me on this),mgao wa upendeleo...
0 Reactions
36 Replies
7K Views
Wana JF Nimedokezwa jioni hii kuna ESCUDO NEW MODEL (2002) inauzwa kwa bei nzuri - Tsh 12,500,000/=, kutokana na mmiliki wake kutaka kusafiri nje ya nchi siku ya jumapili (27/2/11).
0 Reactions
21 Replies
5K Views
I am working in a software, our products are very good, just have a try RZ Video Converter, it can convert any videos or audios between different formats with good quality, have a try by yourself...
0 Reactions
1 Replies
903 Views
Jamani waungwana hapa jamvini nimerudi tena. Hivi juzi juzi nimenunua lorry la tani 10 ambalo linafanya kazi zake kuanzia saa moja asubihi hadi saa 12 jioni? Huwa linapumzika mchana tu pale...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Gari Ssangyong Korando Jeep KJ6 ya 1990,Diesel,Manual transmission 5 gear,LHD,Lina hali nzuri na linatembea linauzwa.Lina power windows,4WD,2.3lt engine,metal grey colour. Bei 3ml negotiable.Kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
ZAIDI ya makontena 101, yalikamatwa hadi kufikia mwaka jana yakiwa na bidhaa bandia na bidhaa hizo kuharibiwa huku wahusika wakifikishwa mahakamani. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Lazaro...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu zangu naombeni ushauri, kuna kitu kinanipa changamoto sana, nina wazo la bishara ambalo nimelifanyia utafiti wa kutosha tatizo sina mtaji kwa maana ya cash/pesa taslimu Naomba msaada wetu...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Leo jambo hili nalirudia hapa kwa mara ya pili. Hapa Golden Plaza "joint venture " wa NHC anatufanyia maajabu. anatutoza Huduma za umeme wa TANESCO, maji ya kisima chumvi tupu na walinzi wasio...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nini maana ya kuwa mhitimu katika fani au sekta husika? Je Watanzania wasomi tunaelewa maana halisi ya kujishughulisha na fani/utaalamu fulani au kusomea fani hizo kama ijulikanavyo na wengi wa...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Kuna kamtindo ka watu kupenda kujionyesha kwa kuvaa labels - ati Gucci, Prada, Versace,dolce & Gabana etc..etc....tabia hii inanifurahishaga sana maana sijaelewa sana hii obsession inatokana na...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wanajamii, soma habari hii chini. Nimeichukua toka TIJA. WATANZANIA TULISHINDWA NINI KUENDESHA HII BANK, MAKABURU WANAWEZAJE[/I][/B] QUOTED: "Nakumbuka miaka michache iliyopita hii bank ikiwa...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Part 2 Shukrani kwa wanajamii ambao mlichukua adha ya muda wenu kusoma sehemeu ya kwanza ya topic hii...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Salaams wana JF, Tafadhalini sana, naomba ambaye ana contract za wauza mbao wa Msumbiji, au wa TZ wanao import mbao kutoka Msumbiji, anipatie. Nahitaji Mahogany, Afrormosia, Mninga, Panga panga...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
The Tanzania Communication Regulatory Authority (TCRA) should do something about mobile phone subscribers being bombarded with unsolicited SMS from network operator. Mobile phone companies have...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
wanajamii, Nimeona niwataarifu WANAJAMII tatizo hili linaloweza kukupata pindi utumiapo NMB mobile kununua say LUKU. Jana nili-login kununua umeme nikapata alert SMS kuwa NOT AVAILABLE...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
PART 1 Kuna msemo usemao pesa uliyonayo mkononi leo ina thamani zaidi ya pesa utakayokuwa nayo mkononi kesho. Pia kutoka katika nadharia ya Gordon (1959) kuna msemo mwingine usemao ndege...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani tusaidieni sisi wapangaji wa NHC ndani ya jengo la Golden Plaza -Posta. HUyu Joint venture wa NHC amesainisha wapangaji mkataba wa kulipia huduma za umeme wa TANESCO, maji ya kisima...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WADAU Hapa chini kunatable ambayo inaonyesha ni jinsi gani nmb, ilivyopata faida kubwa kuzizidi bank, nyingine kubwa hapa tanzania, karibuni tujadili, but make sure unaangalia kwa umakini , net...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…