Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Nimekuwa nikiathirika sana na hili suala. una baadhi ya sehemu wanakataa kabisa kupokea Dola za Kimarekani ambazo ni za mwaka 1999 kurudi nyuma, mfano Exim Bank pale Mliman City wakati sijawahi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wana JF? Nina kampuni yangu nimeisajili kila kitu, ilikuwa vizuri kimtaji kabla ya kuiacha na kwenda kutafuta elimu zaidi. Gharama na maendeleo ya shule yote nilikuwa natoa kwenye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Dear Sir I refer to the recent death of the Technical Manager at your company and wish to apply for the replacement of the dead manager. Each time I apply for employment I am told there is no...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi punde nimetokea mitaa ya kati kuutafuta mchana mwema, hapa NMB morogoro Rd. branch kuna foleni kubwa ndani kiasi kwamba Binti mmoja ameshindwa kuhimili amedondoka na kuzirai hivi nimepishana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani cjaelewa kabisa yaani P.A.Y.E kwa wafanyakazi ni kubwa mno! Yaani inatisha, mie kila nikipokea salary slip yangu nazidi kuichukia serikali kwa kunikata pesa zangu tele na huku maisha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hizi pembejeo za kilimo zinazo tolewa nchini!ni matatizo tupu.mkoa knjaro wilaya ya HAI MACHAME MASHARIKI 50% ya wajane yatima wamekosa.na nimojawapo ya watu wenye mashamba.chakushangaza,30% ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Elimu siasa lugha biashara mawasiliano ya barabara/reli/bandari teknohama changamoto
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Huwezi kuamini NBC mlimani city Dar hua inatakiwa iwe imefunguliwa kuanzia saa 4 asubui,ila mpaka sasa hawajafungua.Wateja wamejaa hata ATM hazifanyi kazi.NBC imekua inafanya vibaya sana kwa...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Wandugu kuna ndugu yangu kaibiwa fedha zimechotwa kwenye account yake na kuwekwa kwenye account za watu wawili tofauti, Hili limetokea bank ya NMB halafu wahusika wa bank wamepewa taarifa lakini...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
serikali ya mtaa wa Oysterbay inatoza ushuru wa ku park magari coco beach Tsh 700 Hizi pesa zinaishia wapi? Ili serikali ya mtaa itoze ushuru wa maegesho , bylaws zinatungwa au ni wazo la...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Smuggled gold ‘seized at Dar port’ Send to a friend Sunday, 06 March 2011 14:00 digg Part of the Dar es Salaam port which is said to be one of the...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu naomba kwa wenye uzoefu watujuze juu ya uimara na ubora wa gari hizo mbili. Ni ipi inaweza kufaa zaidi katika biashara ya kubebea maji maeneo ya Mbezi beach na salasala Dsm?
0 Reactions
4 Replies
4K Views
jamani wadau natafuta hizo battery baada ya zile nilizokuwa nazo kuisha.nimejaribu kutafuta sehemu mbalimbali bila mafanikio.anayefahamu wapi napoweza kuzipata tafadhali!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kushindwa kwa serekali kusimamia uwajibikaji kwa umma kumesababisha Ugumu wa maisha nchini kwetu. TRA kama moja ya vyombo muhimu sana katika uchumi wa nchi imekuwa ndio kikwazo kikubwa sana cha...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mbona inawezekana!! soma maelezo zaidi click hapa
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Unainua simu yako bila kujali upo nchi au nchi ya nje unaamua kumpigia jamaa yako aliopo TIGO wakati unasubiri muito wa simu, ghafla unasikia kwa kuchagua nyimbo bonyeza moja. Huu na mitindo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kesho mh john mnyika atafanya mkutano wa hadhara viwanja vya tanesco kesho nasema tena tena mpaka kieleweke tukutane kesho wale wote nyumba zitakazovyunjwa bila malipo'matatizo ya maji'na mengneyo
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Usually when people are sad they don't do anything they just CRY over their condition but when they gel Angry they bring about a change" (MALCOLM X)
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Jamani nauliza kama naweza kupata redio yenye CD tatu,na iwe na uwezo wa kusoma USB kwa bei ya 350000 Tsh,haraka sana
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naombeni ushauri. Nina mtaji wa Tshs 3 million, nahitaji kuwekeza kwenye biashara ya mikate a.k.a bakery, je inatosha?
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Back
Top Bottom