Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Ninataka kufungua video library mahali fulani huo mkoani,naomba ushauri wenu wakuu:hug:
0 Reactions
2 Replies
1K Views
NDUGU WANAJF, NAOMBENI MSAADA KAMA KUNA MTU ANAJUA KAMPUNI YOYOYE INAYO KODISHA VIFAA VIFUATAVYO KWA HAPA DAR AU NAIROBI. TUNAHITAJI KUKODI VIFAA KWA AJILI YA KAZI YA UFUNGAJI MITAMBO Mobile...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The rising cost of living has made the need for management of personal finances more urgent than ever before. If you have a poor money habit, you should have realised by now that you need to...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wandugu nina mtaji wa 5,000,000 hebu nishaurini nifanye biashara gani itakayonilipa.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Angalia magazeti yetu fulani yalivyokuwa yakiandika vichwa vya habari na linganisha na stori yenyewe. Mheshimiwa JK Amejiuzulu Katika hali isiyokuwa ya kawaida( inaendelea ukurasa wa 4)...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani wadau, please naomba msaada mtu anaejua kampuni inayoweza kunitengenezea package za chaki (box ndogo na Kubwa) na juice (Box).,NB: Naomba location na full address if possible
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nilibahatika kumsindikiza rafiki yangu duka la jeshi ambako anaamini wanauziwa bidhaa kwa bei ya chini. Maduka yote yanamilikiwa na wahindi, Nilichoona Bidhaa zao nyingi zina ubora hafifu, Na...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nawasalimuni wanajamvi! Mwaka jana nilikuwa nikimsaidia mgeni mmoja kwenye shughuli za uwekezaji. Mbali na taasisi nyingine, alikatishwa tamaa na utendaji kazi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) pamoja...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani bei ya mafuta inazidi kupaa wiki iliyopita tulikuwa tunanunua diesel kwa Tshs1,750 kwa lita lakini jana yamefika Tshs 2,000 (ongezeko la zaidi ya 14%). Je inawezekana hii nayo ikawa moja...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Closed
Nimekuwa naangalia link ya airtel kwenye JF ambayo inasema 'NUSU SHILINGI YA UKWELI mchana kutwa, mwanzo hadi mwisho'. Nilipojaribu kuifuatilia link hiyo nikakuta ndani ya mtandao wa airtel...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana JF Katika pitapita zangu ndani ya jukwaa hili nimejionea mambo mengi sana ambayo yanaweza kutusaidia kama Watanzania kujikwamua kiuchumi. Pamoja na hayo mimi pia nimefika mahali nimeona...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Please find attached area, location and the picture of the Property. The asking price for the property is 1.2 M USD. Hope to hear from you soon. Dalali hakuna
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sijui hizi bank zimeingiwa na mdudu gani wamejaza walinzi na makamera kibao lakini hakuna kitu nina mpango wa kwenda kuwashitaki, Juzi nilidraw hela kutoka kwa teller baada ya hapo nikawa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Napenda tuulizane swali hili Maana nadhani hata sisi kwa ssis wenyewe, wanasiasa wetu, rais wetu na mawaziri wake . hatuna commo na understanding juu ya ni nini hasa ni uti wa mngongowa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kanisa Katoliki lakataa msaada wa mbunge Thursday, 03 March 2011 Mussa Mwangoka, Sumbawanga KANISA Katoliki katika Jimbo la Mpanda mkoani Katavi, limeagiza kurudishwa kwa msaada uliotolewa na...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
The cooperation and participation of the private enterprises in housing development is intended to help in effective implementation of national housing policies, to solve the urban housing...
0 Reactions
0 Replies
960 Views
Nimekuwa nikifuatilia maendeleo ya watu wanaoendelea kumiminika huko Loliondo na nimeanza kuziona fursa mbalimbali za kibiashara ambazo zikitumika vizuri zinaweza kutatua matatizo yanayojitokeza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna ndugu yangu amenipa kiasi cha Tsh 500000 nifanye biashara,je wanajamii wenzangu nifanye biashara gani?nimeisha umiza kichwa sana kuwaza lkn cjafanyikiwa,nisaidieni.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu wana JF huyu jamaa ameelekea wapi, tangu afukuzwe tbc hasikiki au amerudi bbc?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom