Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Nafikiria kuanzisha day care hapa Dar lengo hasa likiwa ni kwa ajili ya watoto ambao hawajaanza shule. nimepata tu wazo ila kwa kweli sijui ni wapi ntatakiwa kuanzia namaanisha kwa vitu kama...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
  • Poll Poll
Salaam, mimi ni mteja wa huduma za mtandao wa TIGO kwa muda mrefu.nimekuwa nikitumia mtandao huu tangu enzi za mobitel ,buzz,na sasa Tigo. Kwa masikitiko yangu mtandao wa Tigo pekee ndio hauna...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Wizi kupitia huduma ya M-Pesa ulioanza kujitokeza nchini kenya si ajabu akaanza kufanyika pia ndani ya nchi yetu hivyo tujitahidi kuchukua tahadhari!! soma visa vifuatavyo hapo chini ili yasije...
0 Reactions
5 Replies
25K Views
Serikali yadaiwa sh bil. 7 na TTCL na Bakari Kimwanga SERIKALI pamoja na idara zake inadaiwa deni la sh bilioni 7.2 na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
TRL sasa kuongozwa na Watanzania asilimia 100 • Waziri mpya wa uchukuzi aponda menejimenti ya Rites na Betty Kangonga...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Serikali kupitia EWURA imeridhia ongezeko la 18% ya bei ya umeme kuanzia January mwakani. Hilo ni pigo kwa mtumiaji na tayari ongezeko hili litakuwa na athari katika uchumi wetu. Wahanga wakubwa...
0 Reactions
55 Replies
5K Views
Wanajamvi, Magazeti mengi ya leo yameandika juu ya hali hii ya kutisha ya kupanda kwa bei ya UMEME kwa asilimia 18.5 ya bei ya sasa...Zoezi hili linaanza mapema Januari 2011, na lina baraka zote...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Gavana wa Banki Kuu alipokuwa anatangaza kuanza kwa matumizi ya Noti mpya hapo January Mwakani 2011, alisisitiza hakuna mda maalumu wa mwisho kubadilisha matumizi ya hizi Noti zinazotumika sasa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tuesday December 21, 2010 Local News...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
By ALVAR MWAKYUSA, 19th December 2010 @ 23:07, Total Comments: 0, Hits: 87 AN international charity organization, ActionAid, has released a scathing report accusing the Tanzania Breweries Limited...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kitendo cha kubadilisha notes ni sawa na kuongeza fedha katika mzunguko huu wa kasi ndogo uliopo sasa. Na hii inahashiria kutokuwa na usawa katika Pato la Taifa, thamani ya bidhaa pamoja na huduma...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau kuna tetesi kuwa leo BOT wanazindua noti mpya. Wenye data zaidi watujuze!
0 Reactions
61 Replies
8K Views
Hivi majarida ya matangazo kasma Advertizing Dar,Buy&Sel nk yanasajiliwa wapi,MAELEZO au TLS.? Wenye kujua wanijuze,hapa nataka kupata ISSN number
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ggggg
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Juzi nilikuwa ktk maduka ya kubadilisha fedha za kigeni (Bureau de Change) maeneo ya posta, nimeshangazwa sana jinsi madafu ya bongo yalivyokomaa dhidi ya US$, nilitegemea ningebadili kwa Tsh...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nasikia BoT wanataka kuanzisha noti nyingine, tena ni noti ya shilingi elfu hamsini? Kama ni kweli hii ni dalili ya nini kwenye uchumi na dhamani ya sarafu yetu?? Msaada wajameni
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Zamani SIDO ilikuwa inasimamia na kuendesha viwanda vidogo vidogo ambavyo kwa kweli ni muhimu katika kutia chachu ya maendeleo ya Viwanda vya ndani. Kwa bahati mbaya katika pitapita zangu, sioni...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Nawatahadharisha wafanya biashara wote wanaotumia bandari ya Tanga au boda ya Horohoro kupitisha bidhaa zao.Na kama ukitaka kufilisika basi puuza onyo hili Kama wote mnavyojua utaratibu wa TRA...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
GrEattHinkErs, Inanikera sana kuona Foleni kutokea kisongo inaanzia Kilombero na barabara ni naona ni Finyu, Inanikera Sana kuona Foleni inaanzia kijenge nikitokea Njiro na hakuna uwekekano wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wale jamaa wa ngoma za kienyeji kitoka Botswana wameletwa tena! kutafuta fedha za Watanzania .Hiki ni kielelezo kingine cha uduni wa fikra zetu!Ukichunguza kwa makini kinachofanywa na hili kundi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom