Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Naombeni ushauri Wakuu nina mtaji wa milioni 2 nahitaji kufanya biashara Dar es Salaam, ni biashara gani itayonifanya niweze kupata faida.
10 Reactions
141 Replies
18K Views
Mfanyabiashara na tajiri bwana Elon Musk aliokoa takribani dola za marekani bilioni 25 kwa kubadili jina la twitter kuwa x . Sasa ipo hivi: Kwa pale Marekani, unapokuwa na public company...
6 Reactions
7 Replies
705 Views
Ninasikiliza DW hapa, kuna bwana mmoja anasema, "kufungwa kwa Maduka hayo mtaani kumepekea bei ndani ya mabenki kuwa kubwa, pia anasema dola ipo mtaani tatizo watu wanashindwa kuzibadili sababu ya...
1 Reactions
32 Replies
1K Views
Nina kiwanja sehemu za Kwembe nataka kujenga sijui nianze vipi! uwezo wangu wa kuweka hela ni kuwa kila baada ya mwezi mmoja naweza kuwa na laki mbili mpaka nne tu si zaidi ya hapo.Hivi yawezekana...
2 Reactions
22 Replies
7K Views
Hili nalo jambo gumu kati ya mengi yanayotukabili watanzania kipindi hiki kigumu. Dola ya kimarekani ina shoot kwa kasi na punde si punde tunaweza kujikuta tunazoe mahesabu ya 1:3000. Tuzidi...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Habari wakuu, Mimi ni kijana mjasiriamali na nimeamua rasmi kujikita huko katika harakati zangu za utafutaji na kuongeza kipato. Na nimejaribu kufuatilia sana kuhusu biashara ya juice ya miwa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu a-saamu aleykum... Niende moja kwa moja kwenye mada. Nina mpango wa kuwekeza kwenye biashara ya bodaboda. Nipeni ushauri, aina gani ya pikipiki ni nzuri, ntapataje dereva na kwa siku...
9 Reactions
322 Replies
31K Views
Habari wakuu, nipo kwenye kisiwa cha maisome kilichopo Sengerema, nina mwezi sasa nafanya biashara ya uchuuzi wa samaki aina ya sato natoa huku napeleka Mwanza ila faida sipati kwasababu nilikuwa...
23 Reactions
123 Replies
5K Views
Wakuu nataka kufungua account ya kikundi (familia) NMB. Ni vitu gani vinahitajika tofauti na mtu anapofungua account binafsi?
0 Reactions
6 Replies
14K Views
Anasema miaka 10 iliyopita serikali iliamua TANESCO ibinafsishwe; anatoa historia ya mgao; walipokuja NETGROUP solutions kuendesha TANESCO, walitumia maji mengi kuzalisha umeme.Hawakuwekeza kwenye...
0 Reactions
51 Replies
6K Views
Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank Foundation, Tully Esther Mwambapa, Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson...
0 Reactions
0 Replies
657 Views
Habari wakuu, kuna kipindi nilipost Uzi kwa wanaotaka kufanya biashara ya mafuta ya alizeti. Kuna watu wengi walinitafuta kuniulizia lakini kwa bahati mbaya hawakwenda na msimu ulivotaka...
1 Reactions
11 Replies
7K Views
Wanajamvi nawasalimu kwa jina la Muumba. Ninaomba kujua juu ya biashara ya bembea za kisasa, mtaji wake, faida na changamoto zake.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mbunge Stanslaus Nyongo: Lini Serikali Itaanza Kununua Pamba toka kwa Wakulima Pindi Bei ya Pamba Inapoporomoka katika Soko la Dunia SERIKALI ipo katika hatua za awali za uanzishwaji wa Mfuko wa...
0 Reactions
1 Replies
654 Views
Ni ukweli usiopingika kwamba kwa sasa hizi Bank mbili ni wababe ktk sekta ya Biashara ya kibenki Tanzania na hii ni kutokana na ukubwa waliokua nao na pia kutopishana sana kwny baadhi ya takwimu...
13 Reactions
82 Replies
5K Views
Habari wakuu! Niliwahi kuandika hapa kuhusu biashara ya alizeti na mafuta yake! Kwa mwaka huu kama unataka kufanya biashara fanya hii na itakulipa! Mafuta yameshuka Sana bei Hadi kufikia 48000...
11 Reactions
36 Replies
6K Views
Nimpya Ipo kinondon Cm 0712690760
0 Reactions
3 Replies
161 Views
Katika dunia ya leo hakuna kitu unachokiona na kikawa hakina thamani,kwa wale waishio miji mikubwa wameona jinsi watu wanavyo okota makopo ya ma maji, vyuma, mawe, na hata zile nywele sinazotupwa...
1 Reactions
26 Replies
16K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…