Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wadau, nakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan aliwahi kusisituza vijana kucheza Bitcoin. Kuna kampuni ya Bitcoin imeniimgiza huko. Na inanitaka nianze Kwa kuwekeza $200 kwamba nitavuna $360. Je Kuna...
2 Reactions
13 Replies
958 Views
Habari zenu wadau wa Uchumi na biashara. Nielekee kwenye mada moja kwa moja. Nimejikuta nastuck hapa maana kuna biashara naifanya ambapo watu wanabook online na kulipa then nawahudumia. Kumetokea...
5 Reactions
86 Replies
12K Views
Poleni na majukumu wadau, me naomba kwa yeyote mwenye uzoefu wa biashara ya dagaa (wakavu) wa mwanza kupeleka Dar, naomba kujua gharama za kununulia kwa wavuvi, gharama za kuwakausha pamoja na...
5 Reactions
647 Replies
248K Views
MBUNGE CONDESTER Atembelea Eneo Lenye Madini ya Sodalite Kukagua Utafiti Unaoendelea Kijiji cha Chindi Mbunge wa Jimbo la Momba, Condester Sichalwe (Mundy) ameambatana na Afisa Madini mkazi Mkoa...
0 Reactions
5 Replies
489 Views
Ni vyema Serikali ije na ukweli kuhusu NHIF na siyo maneno tu Shirika limezidiwa, 1. Wanachama mpka sasa ni wangapi? 2. Michango ya NHIF inayokatwa Kwa waajiriawa na waajiri inapelekwa Kila...
2 Reactions
7 Replies
721 Views
Nazungumzua hizi pombe za 2000 kwa mfano ukiagiza Mzigo wa kampuni ya MATI SUPER BRANDS LIMITED wenye vinywaji kama vile Zed na strong spirit unapata faida kubwa sana. Ukiagiza katoni 500 kwa...
4 Reactions
38 Replies
13K Views
Mkoa wa Arusha ni moja kati ya mikoa yenye mzunguko mkubwa wa pesa ila una tatizo moja. Arusha ikiwa ni jiji lina tatizo la kuwa na asilimia kubwa ya vipanya (hiece) ambazo madereva wake nusu...
4 Reactions
28 Replies
5K Views
Mwaka 2018 mimi na jirani yangu tuliuziwa plots kwa bei ya 350,000(laki tatu na nusu) kila mmoja kwa maana kiwanja kimoja kimetoka viplot viwili. Kwa wakati huo mfuko wa cement ulikuwa unauzwa kwa...
12 Reactions
34 Replies
2K Views
Wakuu habari? Kuna watu nilikuwa nachat nao wako huko nje, wakawa wananishawishi niingie kwenye hii biashara; wao watakuwa wanachezesha akaunti, na baada ya kama siku saba kuna gawio la faida...
5 Reactions
74 Replies
3K Views
Habari wadau Airtel sasa wameanza kuvuruga mfumo wao wa biashara.. Airtel matangazo mengi kwa maana ya promo na sasa mmefikia hatua mmeanzq kuharibu biashara.. yaan imefikia hatua mmeanza...
0 Reactions
0 Replies
316 Views
Wakuu niaje,mko poa...mi mafanya biashara ya ladies shoes na mikoba,niko location mwanza.nilianza kwa kukata baloo za viatu mwenyewe na pochi,kwenye viatu nilikuwa nafungua grade number moja ila...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndugu zangu nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nimepatwa na changamoto ya kushindwa kulipia malipo mtandaoni kupitia visa card, nimetumia card ya TIGO,VODA na CRDB lakini...
1 Reactions
6 Replies
372 Views
Kumekuwa na utaratibu mbaya sana watu kuchukuwa mikopo mabenkI bila kuwa na utaratibu sahihi utakaowawezesha mikopo hiyo ijilipe wenyewe bila ya kuathiri vipato vyao ila wengi wamekuwa wakifanya...
0 Reactions
0 Replies
297 Views
Habari wadau. Naomba kujifunza kwa mtu aliendelea katika masuala ya cryptocurence. Mimi ni mfanyabiashara wa p2p binance. Mtaji wangu nj mdogo bado, ni laki tano pekee. Changamoto niliyokutana...
1 Reactions
4 Replies
666 Views
Leo nimetoa pesa kwa wakala, kwenye simu nilikua na 50000. Wakala akanambia tumia njia ya kawaida Kama unatuma pesa akanipa namba ya kawaida, kwenye kiasa akanambia weka 49550 kweli nikaweka...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
Hakuna kitu kinarudisha Nyuma maendeleo ya wafanyabiashara wengi kama utapeli wa Mtandaoni. Mtu unafanya kazi unajikusanya alafu mtu anakuja kukutapeli. Nimekutana na tapeli ambaye anaishi Dubai...
2 Reactions
7 Replies
983 Views
VISINGIZIO HIVI VIMECHELEWESHA WENGI KUFANIKIWA KIFEDHA. Achana navyo mara moja. "visingizio ni kichaka cha watu waliojikatia tamaa ya mafanikio." Ukiona mtu yeyote anajivunia visingizio huyo...
3 Reactions
6 Replies
995 Views
Naombeni kujua jinsi ya kufanya matangazo na mauzo mtandaoni kwa bidhaa za chakula Yani kuandaa tangazo ni vitu gani nizingatie na vipi havina umuhimu, maana nataka nianze biashara kwa kutangaza...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Naomba kuuliza kama naweza pata wazoefu au wafanyabiashara ya Marashi hasa Oud aina zote, Misk na mamb mengine kama hayo vipi kuhusu mtaji na soko lake likoje!?
0 Reactions
7 Replies
619 Views
Habari wana JF! Tukumbuke kabla ya tarehe 01/06/2019 nilikuwa na wazo la kufanya "waste plastic pyrolysis" yaani nichakate mifuko ya plastic kuwa bidhaa zenye manufaa kwa watanzania harafu...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom