Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Nianze kwa kusema 'much respect to you all hustlers'. No matter what you're going through.... but you're the future billionaire. Hiyo ni salamu yangu kwenu watafutaji mliojipata, ambao hamjajipata...
12 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari wana JF.. Naomba Kuuliza Je ni kuna faida/hasara gani za Kutumia Jina Moja kwenye Biashara Tofauti tena zilizopo Mkoa/Willaya Moja Mfano 1 JUNDOX FURNITURE'S 2 JUNDOX BARBERSHOP 3 JUNDOX...
3 Reactions
5 Replies
948 Views
Wakuu natarajia Mwezi June 2024 nichukue mkopo wa 7ml kutoka saccos Malengo ni kufungua duka ya reja reja hapa kijijini kwetu Moshi Kilimanjaro plus vinywaji vya barid na moto hasa nyakati za...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
MASEGA YA MAGARI AINA HIZI HAPA[emoji1370][emoji116] Toyota aina zote Benzi aina zote BMW Aina zote Nissan Aina zote Ford aina zote Isuzu aina zote Honda aina zote Volvo aina zote Volks wagon...
0 Reactions
14 Replies
953 Views
Wadau habari, Hii bar ina jina zuri sana la kuhanikiza jitihada za raisi wetu mpendwa Dar Samia katika suala la utalii ila ina hudumqa za hovyo sana, nyakati za usiku haswa jumatatu meneja huwa...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari wana Jf Kwa muda mrefu sasa nilikuwa nikifuatilia ndani na nje ya JF kuhusu mali alizoacha mjeruman kipindi anaondoka nchini miaka mingi iliyopita. Kila mtu alitoa mtazamo wake juu ya mali...
16 Reactions
104 Replies
17K Views
Habarini. ngeomba kujua naweza tumia njia zipi kutoa hela kutoka paypal ukiwa Tanzania au ushaur wowote jinsi ya kutoa hela paypal bila ya account ya benki ya nchi husika. asanteni.
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Wakuu kwema, Katika mizunguko yangu hapa Dar nimeona sehemu roundabout nzuri, nimepata idea ya kujenga hotel ya kifahari na njia za juu za kufika bila kusababisha ajali pia ntajenga parking...
1 Reactions
16 Replies
783 Views
Mji wa Songea pamoja na kuwa mkubwa bado hiace ndio dala dala zinazopiga shanting za hapa na pale. Kwa kuwa kiwango cha 70,60,50 hadi 40 kinapelekwa kwa mwenye gari kwa siku narudia tena matajiri...
8 Reactions
55 Replies
3K Views
Wakuu habari za mida? Mzee wangu anataka kufungua pharmacy tulikuwa tuna omba kujua utaribu wa kufungua pharmacy ! Pia gharama za kumlipa pharmasia kwa mwezi kwajili ya kuweka leseni yake dukani...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Ilikuwa April 2017, Niliamka Asubuhi nikiwa na mawazo mengi sana,Haikuwa mara ya kwanza mm kuamka asubuhi ila siku hii ilikuwa tofauti.Wawili kati ya watu niliokuwa nafanya nao kazi ambao...
6 Reactions
11 Replies
1K Views
Wana Business and Economic Forum, First of all i would like to commend you for all the effort in educating us on potential opportunities on investment as well as duly technical materials that...
3 Reactions
34 Replies
14K Views
Mimi ni kijana wa miaka 25, katika kupambana kwangu nimepata mtaji wa milion 15 nataka nianze biashara ya duka la vifaa vya umeme. Sasa naombeni muongozo (kupata mlango, kuagiza mzigo, maeneo...
12 Reactions
71 Replies
8K Views
Wadada hupata attention sana huko instagram kutoka kwa wanaume kupelekea kuwapa wadada hisia ya security. Wakaka hutumia muda sana kuangalia porno huku waki-idolize wanawake kuwa wako nao bila ya...
4 Reactions
4 Replies
474 Views
Inakadiliwa wasomali tanzania ni 77,000 mwaka 2007 na kwasasa wanakadiriwa kua 200,000 au zaidi. Kwa mkakati wa hawa jamaa wakuzaliana sana inakadiliwa Mwanamke mmoja wa kisomali anazaa watoto...
17 Reactions
223 Replies
25K Views
Habari zenu woote Naamini niko jukwa sahihi kushare uzoefu wangu kwenye biashara. Sasa leo napenda kushare nanyi uzoefu wangu kwa kuangalia circle yangu, nimegundua ngazi 3 kiuchumi: 1. Uchumi wa...
11 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nahitaji kuanza ku-import mafuta ya kula kutoka nje, naomba kujua yafuatayo, 1. Document au vibali vinavyohitajika nikienda toa mzigo bandarini? 2. Bandari yenye unafuu wa kuingiza...
0 Reactions
9 Replies
414 Views
Ndugu Zangu Habarini Nina wazo la kufungua kampuni ya ukusanyaji na uzoaji taka ngumu katika sekta mabali mbali kama taasisi, mashule, majumbani nk. Lakini naomba kujua ni zipi changamoto za...
0 Reactions
0 Replies
452 Views
Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa baadhi ya marafiki zangu manufacturers kutoka nchini India ambao hutengeneza na kuuza vifaa vya hospitali. Kuna...
3 Reactions
5 Replies
513 Views
Habari za kwenu wana jamii nauliza kama kuna mtu anajua nawezaje pata vibali vya kuexport nyama nje ya Tz naomba msaada tafadhali.
1 Reactions
10 Replies
744 Views
Back
Top Bottom