Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari wakuu, jana nilileta bandiko hapa kwa wale wasio na kazi au wenye kupata japo masaa mawili kwa siku kuwa kwenye mtandao kutengeneza pesa kupitia simu zao wengi walibeza, lakini...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Wandugu utu uzima dawa.. Hebu tushauriane kitu kwenye hili la mishe za kutafuta shilingi Ajira hakuna na changamoto za maisha ni nyingi sana.. Kila kitu ni hela hasa kwa sisi tunaoishi mijini...
26 Reactions
112 Replies
12K Views
Mimi siyo expert wa kutangaza online kwenye Facebook na Insta lakini nina uzoefu kidogo wa kama miaka miwili hivi kutangaza huko. So niulize swali lolote kuhusiana na sekta hiyo nami nitakujibu...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Habarini wana group, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. mwishoni mwa mwezi huu nina mpango wa kuanza biashara ya NGUO, akiba yangu ni elfu 50. Sehemu nilioiwaza ya kununua mzigo ni...
8 Reactions
34 Replies
12K Views
Wana Jamii forums naomba kwa ambae ana uelewa au kwa ambae amewahi kufanya hii biashara ya kukamua mafuta ya alizeti, nahitaji kujua machine zinazitumika kukamua, bei zake kama kunae...
5 Reactions
11 Replies
2K Views
Tafadhali naomba msaada kwa mwenye uelewa,wapi naweza kupata huduma ya Alipay hapa Tanzania
1 Reactions
19 Replies
3K Views
SIRI/KANUNI 21 ZA MAMILIONEA WALIOJITENGENEZA. (Tafsiri ya kitabu The 21 Success Secrets Of Self Made Millionaires- by Brian Tracy) ************ Utangulizi: Kanuni ya Kisababishi Na Matokeo...
3 Reactions
7 Replies
3K Views
habari wakuu,naomba msaada kwa mwenye kujua wapi naweza kupata mkopo kwa dhamana ya nyumba isiyo na hati.Kwa yoyote mwenye ufahamu tujuzane wakuu.Sijaajiriwa so plz lieleweke hilo.
0 Reactions
0 Replies
633 Views
Salamu ziwafikie wana Jf wenzangu. Ninaomba msaada katika uwekezaji wa fedha benki. Ni hivi mimi nina mzee wangu anayetarajia kustaafu mwaka huu. Sasa kama kijana wake wa pekee na anayeniamini...
10 Reactions
123 Replies
7K Views
Habari wakuu, natumai mko poa kabisa. Nahitaji kufanya biashara ya hardware nikiwa kwenye upande wa vifaa vya Bomba pekee yani nahitaji niwekamili katika upande huu kabiaa. Ni vitu gani vya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nina ela yangu kama laki tano ila sijui nifanye biashara gani au investment gani ili niweze kupata faida kwa mwaka ya milioni 30
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa B.O.T mwaka 2018 noti za shilingi elfu kumi zilikuwa trillion tatu na mwaka 2023 zimeongezwa tena kwenye mzunguko na kufikia trillion sita, hiyi inaleta picha gani?
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu nimeongea na seller alibaba kama watatu nataka kuagiza smartwatch 30 pcs akanipa mchanganuo wa cbm 30*5.65=169.5usd naona kama gharama kubwa zaidi ya bei ya bidhaa au mimi ndo sijaelewa...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Wakuu JF kwema? Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu, nahitaji msaada wa kujua ni balo aina gani la nguo za watoto, na nguo za Origin ya wapi zinakua quality nzuri kuuza kwa hapa Dar es...
4 Reactions
21 Replies
4K Views
Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inaendelea kuboresha reli ya TAZARA pamoja na reli ya kutoka Dar es Salaam ,Tanga mpaka Kilimanjaro ili reli hizo...
0 Reactions
4 Replies
402 Views
Husika na mada tajwa hapo juu, Mimi ni mtumishi katika Secta Binafsi hapa nchini Tanzania. Katika utumishi wangu nimefanikiwa kujichanga mpaka kufikia million 50. Hizi pesa ziko kwenye account...
1 Reactions
33 Replies
2K Views
Wakuu nataka nifungue maabara ndogo. Elewa hapo ndogo! Ila nina mtaji wa laki tano je unatosha kufungua Maabara ndogo ya kuanzia nikipata hela nitakuwa naongezea vitu! Wataalam wa Afya nawaomba...
5 Reactions
55 Replies
2K Views
Kreti za serengeti zipo 100 zinauzwa na chupa zake. Kwa wanaofungua stoo ya bia za jumla. Elfu 10,000 kwa kreti moja.karibu sana.
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Leo nimeona nisaidie baadhi ya trader wenzangu ambazo tunastrugle katika level tofauti tofauti...ambao wanastrugle kutime market na kukaa mda mrefu kwenye screen kwa kuogopa kumiss trade. Kuwa...
3 Reactions
14 Replies
972 Views
Ukibadilisha umiliki wa biashara binafsi kwenda kampuni inabidi upate tin no nyingine ya kampuni ambayo ni tofauti na ile ya mwanzo (biashara binafsi) swali. Endapo tin no ya mwanzo ina deni...
0 Reactions
1 Replies
756 Views
Back
Top Bottom