Habarini ndugu zangu,
Samahani ivi nawezaje kureceive file kutoka freelancer.com? Nilijiunga freelance.com wiki mbili zilizopita; sasa nimepata client amenipa project ya kuandika article fulani...
Mvumbuzi mkubwa kuliko wote katika historia ya ulimwengu. Ubora wa maisha ya binadamu wa sasa una deni kubwa na kazi ya Edison. Elimu yake ya darasani ilikuwa ndogo, lakini aliweza kujipatia haki...
Kwanza ningependa kusema kuwa wengi tunafanya biashara huku tukisahau kuwa biashara co bidhaa....bali ni mfanyabiashara anayeisimamia
Nitashare experience kidogo ili tujifunze something(ukitaka...
Habari wapendwa nataka kwenda Dubai kununua spare part na magari. Naitaji kujua machimbo ya ununuzi na changamoto zake na jinsi ya kusafirisha
Michango yenu na ushauri tafadhali.
Sent using...
Habari wakuu wangu.
Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi, ndoto yangu ni kuja kumiliki shule kuanzia chekechea mpaka Form Six. Ni vitabu gani na inspirations zipi naweza kuzipata katika hali ya...
Mambo vipi?
Leo Jumapili kama kawaida tunakutana tena kwenye darasa la leo ambapo nitakuonyesha njia tano unazoweza kutumia kumshawishi mteja mpya anayetembelea online store apate inammi na...
Habari zenu wadau kuna hizi bubble gum za kutafuna zinatoka zambia nimesoma maelezo yake nikapata detail kuwa wana distibutors Tanzania nimefanikiwa kuchukua namba nikajaribu kumtafuta lakini...
Kama kichwa cha habar kinavyo jieleza mimi ni kijana wa miaka 24 na nina plan ya biashara (business plan) iliyo kamilika hivyo now natafuta watu wa ku join nao yaani business partners ambao naweza...
Sina mengi ya kuzungumza, kama kichwa kinavyojieleza, ninatafuta watu wake kwa waume, ambao, wamechoka kuchangia harusi na birthday, bali wanataka kuchangia maendeleo yao na kesho yao, binafsi ni...
Ndugu Mteja, Kutakua na maboresho ya huduma za Tigo Pesa leo kuanzia saa 6 usiku mpaka 12 asubuhi. Tafadhali fanya miamala yako kabla na baada ya muda huo
Hiyo ndio Sms niliyotumia jana ila mpaka...
Za leo wa ndugu,mimi ni msichana wa miaka 23 ni mwanafunzi wa chuo(must) nipo mbeya,,Nimebahatika kupata mtaji wa milioni moja,,nimewaza biashara gani ya kufanya nikaamua kufanya biashara ya...
Natafuta kampuni inayo deal na kusafirisha mazao, kuna deal ya kusafirisha mahindi kwenda Zambia.
Ni deal endelevu ila kwa kuanzia, buyer anahitaji tani 30,000 za mahindi.
Buyer yupo Tanzania...
Heshima zenu wakuu wangu, ninaomba msaada.
Nipo kwenye institutions fulani ya elimu hapa Tanzania. Nina kama elfu 50,000 hivi, ninaweza KUFANYA kitu. Nimeona nitafte vijana wangu wawili...
Jaman naitwa Emmanuel mwita napatikana mwanza ninajihusisha na uuzaji wa bidhaa za watu na makampun mbalimbali ko kama una kampun yako au una bidhaa yako nitafute tufanye biashara namba ya sim ni...
Habari wapendwa wana jukwaa napenda kuuliza jee ni kweli kuwa mpesa visa master card inaweza kufanya manunuzi mtandaoni km ebay,aliexpress,na amazon?
Jee vipi kuhusu makato na gharama za huduma...
nyanya moja kwa sasa inauzwa shilingi za kitanzania 500.
muuzaji hapepesi macho wala wamung’unyi maneno.huwezi amini ila bahari ndo hiyo.
sijajuwa bado kama nchi imewekewa vikwazo au serikali...
Hivi ni kweli pesa ndiyo mtaji pekee kwenye mafanikio yetu ya kibiashara.? Jibu ni HAPANA. Kama hauniamini acha kusoma nilichoandika huku chini maana utakuwa unapoteza tu muda wako. Kwa sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.