Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Leo asubuhi sana kuna jamaa nilienda mpelekea bidhaa maeneo ya Posta nikamkuta ana ndinga kali anaoshewa na jamaa ni wale ambao wanaoshaosha magari town, nilivyopewa changu nikaona nimuulizie...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanabodi, Kwenye mazuri tupongeze, mabaya tukosoe na panapostahili ushauri au angalizo tutoe. Hatua ya rais Magufuli kuzuia kusafirishwa kwa kinachoitwa mchanga wa dhahabu kupelekwa nje ya nchi...
12 Reactions
100 Replies
12K Views
Niko mbioni kuachana na mambo ya kuajiriwa, sasa naitaji kumiliki biashara zangu lakini cha kwanza naitaji kununua bajaji kwa mtu ili niendeshe mwenyewe kusafirisha abiria. Nini changamoto na...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari wadau, wataalamu wa mapaa tunaomba ufafanuzi na faida ya hiden roof na hasara zake kitaalamu zaidi. Na mfumo upi katika hiyo miwili ni mzuri na wenye tija kwa jengo.
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Salaam waungwana, ndugu zangu nina wazo la kutaka kufungua biashara ya kuuza mabegi aina zote yaani mabegi makubwa ya nguo, saizi ya kati, ya mgongoni na hand bags za wadada. naomba mnisaidie...
1 Reactions
13 Replies
9K Views
Naomba msaada kwa wachumi na Wajasiriamali mliopo humu ndani. Ninapanga kuwa naweka akiba kidogo kidogo benki kutokana na kipato kidogo nachokipata kwenye biashara yangu ndogo. Plan yangu ni...
2 Reactions
6 Replies
39K Views
Habari zenu wadau. Kwa wale wazoefu wa online payment naombeni msaada bank gani ni nzuri kufungua Visa card ili kufanya malipo online?
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wapendwa, poleni na majukumu. Kuna jambo naomba mnisaidie kuhusu biashara ya viatu vya mtumba, hususani akina mama. Kuanzisha hiyo biashara ni vitu gani muhimu napaswa kuwa navyo? Na je, kati...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
As many of you know, Tanzania isn't well set up to allow the flexibility of online businesses. I just wanted to know, is there anyway I can receive money online into my bank account from foreign...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanabodi habari za usiku. Natumai mnaendelea vizuri katika ujenzi wa taifa letu. Naomba kuuliza pia tujadili, kipi ni bora (kuzingatia uimara, gharama za ujenzi) kujenga nyumba flat roof au hizi...
0 Reactions
29 Replies
11K Views
Kunauwezekano wa kufanya MALIPO kwa KUPITIA digtal wallets mfano PayPal au skrill bila kuwa na bank account? Na kama uwezekano upo ni njia gani unaweza tumia?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wa JF, bila shaka mu buheri wa afya natafuta "Business Partner" ili tufungue kiwanda kidogo cha Waste Recycling (Kuchakata taka) na kuzalisha bidhaa mbalimbali zitokanazo na taka...
5 Reactions
6 Replies
2K Views
Programmer wa Vodacom upande wa m pesa mnaonaje mkatuletea menu ya kuweka pesa iwe Kama kibubu. Yani muweke mfumo mteja awe na uwezo wa kutengeneza account ya muda fulani Kama ilivyo "m-pesa...
1 Reactions
1 Replies
744 Views
Kuendelea kukua kwa teknolojia kumeleta chachu na kupunguza baadhi za adha tulizokuwa tunazipata enzi hizo ilikuwa ikifika mwisho wa mwezi kwenye ATM mashine unakuta kumefurika watu balaa. Kwa...
0 Reactions
21 Replies
18K Views
habari wana jamii.... Msaada kwa wenye uelewa na hili. Ktika pitapita zangu mtandaoni na kwenye magazeti nikiangalia exchange rate za kila siku kwa kila nchi naona thamani ya fedha yetu ipo...
1 Reactions
1 Replies
797 Views
Ningetaka kuunda kampuni ndogo ya kujenga nyumba nzuri lakini ya bei sawa kwa ajili ya watu. Lakini ninahitaji skills na watu ambao wana mawazo yale pia.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Baada ya kupitia nyuzi kadhaa humu jamvini nimegundua kwamba wapo baadhi ya wadau wanaotaka kujua baadhi ya mambo kuhusu namna ya kuwa wakala wa premier betting, kwasababu mimi najua baadhi ya...
6 Reactions
8 Replies
20K Views
Hivi hii kampuni ya Alliance Global ni kweli inasaidia kujikwamua kimaisha au ni utapeli unaotendeka pale? Kwa yeyote anayejua kuhusu ili anisaidie. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Mwanzoni mwa mwezi huu wa Januari 2020, Naibu Waziri katika Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Atashasta Nditiye (Mb) alilitaka Shirika la Posta nchini (TPC)kujikita katika matumizi ya...
0 Reactions
0 Replies
665 Views
Back
Top Bottom