WAFANYABIASHARA wakubwa wa korosho, wawekezaji na watafi ti 169 kutoka nchi 13 duniani zikiwamo nchi zinazoongoza kwa ununuzi wa korosho, India na Vietnam, wamekubaliana kuzuia uuzwaji wa korosho...
Lengo la uzii huu ni kueleweshana juu ya biashara za migahawa, changamoto zake, na jinsi ya kuzitatua.
Na mpango wa kufungua mgahawa wa kuuza chakula naombeni ushauri wenu ni vipi vya kuzingatia...
The value of goods and services rose by 5.2 percent to over $9 205.2 million by Sept this year according to the BOT monthly bulletin. Gold accounted for 48.6% …. ……. more below follow the link...
Jamani samahanini, mimi ni mgeni humu JamiiForums. Kwa sasa nipo Bagamoyo nimemaliza Advance mwaka huu lakini chuo nitaenda next year.
Baada ya kurudi jeshi mujibu wa sheria, nimefungua duka...
Nahitaji kufungua Juice bar. Nipo mkoani, nina mtaji wa laki mbili, nina freezer na banda la biashara ninalo. Naomba ushauri na mbinu mbalimbali za kuendesha biashara hii. Juisi ni za natural...
SERIKALI kupitia Wizara ya nishati imesema Tanzania ina akiba ya gesi futi za ujazo trilioni 57.54 huku matumizi ya rasilimali hiyo kwa sasa ni futi za ujazo trilioni 0.5 tu.
Kutokana na hayo...
Kumekuwa na wimbi kubwa sana la watu kujinadi kwamba wanaweza kutengeneza pesa mitandaoni na wapo tayari kuwaelekeza wengine kwa ada ya kiasi flani (mtonyo).
Njia wanazotumia kupata Wateja
1...
Kama wewe una account kama Facebook page, Twitter au LinkedIn na zina followers waliofika 10,000 na zaidi, ni PM nikupe mchongo.
Mfumo ndo naendelea kuuweka sawa, tumeshaongea na makampuni kadhaa...
Moja ya miradi mikubwa ambayo serikali ya awamu ya TANO unatakiwa kupongezwa ni connection ya mradi wa Reli ya mwendokasi na mradi wa kufua umeme wa Nyerere hakika ni perfect kwa sababu ya value...
Introduction:
Hisham Hendi (born in 1980) is an Egyptian currently living and working in Tanzania. He is currently the Managing Director of Vodacom Tanzania Plc, a multinational telecommunication...
Mimi ni mwenyeji humu niwe mkweli.
Course niliyosoma ni Antholopology and Tourism.
Nilibahatika kuanya kazi kampuni moja ya wachina kama customer services department ya sale and marketing kwa...
Habari,
Natoa huduma ya matengenezo ya computer (desktop na laptop) na malipo utatoa baada ya computer yako kufanya kazi.
Kama kuna kifaa kitakuwa ni cha kununua, gharama ni juu yako.
Kwa wale...
Habari wana Jf,naombeni mnijuze umuhimu wa Instagram page yenye followers wengi let say kuanzia 10k to 100k hii hasa kwa business page. Mkinijuza ma umuhimu mengi na mimi naweza nikafanya mpango...
Nataka fungua biashara ya restaurant lakini nataka muweka mtu ndo awe manager wa pale wakati huohuo awe ni mfanyakazi.
Biashara itauza vyakula
1. Asubuhi vitafunwa aina zote na chai/maziwa
2...